Gari zuri kati ya Subaru Forester, Toyota rumion, Nissan x-trail

Apr 6, 2019
19
11
Wakubwa habari za jioni? Poleni na majukumu pia hongereni kwa kazi. Kubwa zaidi Naomba anayejua anisidie hapa. Nauliza lipi ni gari zuri,bora na imara kati ya Subaru Forester, Toyota rumion, Nissan x-trail,.

Upatikanaji wa spare, nakadhalika kwa matumizi binafsi Kama vile kwenda kazini. Pia Kama lipo gari lingine zuri kuliko bei kimo Cha mil. 12 na kushuka.

Naomba ushauri na maelekezo zaidi.

Ahsanteni Sana.
 
Wakubwa habari za jioni? Poleni na majukumu pia hongereni kwa kazi. Kubwa zaidi Naomba anayejua anisidie hapa. Nauliza lipi ni gari zuri,bora na imara kati ya Subaru Forester, Toyota rumion, Nissan x-trail,.

Upatikanaji wa spare, nakadhalika kwa matumizi binafsi Kama vile kwenda kazini. Pia Kama lipo gari lingine zuri kuliko bei kimo Cha mil. 12 na kushuka.

Naomba ushauri na maelekezo zaidi.

Ahsanteni Sana.
Hizo gari zote nzuri ukiinunuwa mpya, brand new.


Mitumba yote ni mabomu.
 
Wakubwa habari za jioni? Poleni na majukumu pia hongereni kwa kazi. Kubwa zaidi Naomba anayejua anisidie hapa. Nauliza lipi ni gari zuri,bora na imara kati ya Subaru Forester, Toyota rumion, Nissan x-trail,.

Upatikanaji wa spare, nakadhalika kwa matumizi binafsi Kama vile kwenda kazini. Pia Kama lipo gari lingine zuri kuliko bei kimo Cha mil. 12 na kushuka.

Naomba ushauri na maelekezo zaidi.

Ahsanteni Sana.
Ongeza Raum
 
Back
Top Bottom