namba

Namba (難波, Nanba, IPA: [namba]) is a district of Osaka, Japan. It is located in Chūō and Naniwa wards. Namba is regarded as the center of so-called Minami ("South") area of Osaka. Its name is one of variations on the former name of Osaka, Naniwa. Namba is best known as the city's main south-central railway terminus: JR, Kintetsu, Nankai, Hanshin, and three Osaka Metro subway lines have stations there.
Some of the most famous images of Osaka, including the Glico Man and the Kani Doraku Crab, are located around the Dōtonbori canal in Namba. Namba is also known as an entertainment district, and hosts many of the city's most popular bars, restaurants, nightclubs, arcades, and pachinko parlors. The area is also known for shopping, with the Takashimaya department store (for older styles) and the sprawling underground Namba City shopping mall (for newer styles).
Namba Parks is a new development consisting of a high office building, called "Parks Tower," and a 120-tenant shopping mall with rooftop garden. Various kinds of restaurants (Japanese, Korean, Italian, etc.) are located on the 6th floor, and shops on the 2nd to 5th floors. Parks Garden features enough greenery to help visitors forget that they’re in the middle of the city. There is also an amphitheater for live shows, as well as space for small personal vegetable gardens and wagon shops.
Namba was once the city of adult deliquents.Now,namba gathers some of the young deliquents.
There are sex trade shops and discos,but namba is also the pub restaurants city.
The namba's amusing commerce culture gathers many people.
canals in osaka created the commere culture.namba was near the center of osaka in Edo.
namba is also the center of owarai culture.
NMB48 bases in Namba.

View More On Wikipedia.org
  1. Shadow7

    Dkt. Faustine Ndugulile: Mafundi simu wenye tabia ya kufuta namba ya IMEI kuchukuliwa hatua

    Serikali imesema kuwa itawachukulia hatua kali mafundi simu wote wenye tabia za kufuta namba ya kipekee inayotambulisha simu husika (IMEI) wanapopelekewa simu na wateja wao kwa ajili ya matengenezo. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine...
  2. Shadow7

    Diva amenyanyulia mikono Diamond, ndio msanii namba moja kwa sasa Tanzania

    Habari wadau, Kupitia Instagram yake ameandika haya:- “Mtangazaji namba 1 wa kike Tanzania niliwahi Piga Picha Na Msanii Namba 1 Tanzania saa Hii na tuna wimbo wetu unaitwa Piga Simu .. so acha nipost. Apa tulikuwa Marafiki sana apa …sana… semeni ukweli asa hivi ni msanii gan anamshinda...
  3. LUCKSON MNYENGU

    Jamani naombeni msaada hivi ukitaka kupata namba yako ya NIDA unafanyaje?

    Jamani msaada ukitaka kupata namba yako ya nida unafanyaje kwa sasa hivi manake nimejaribu ussd code(*152*00#) imekataa sehemu ya nida siioni.
  4. funluverx

    'Serikali ya Wanyonge' ndiyo adui namba moja wa maendeleo. Eti simu/video kupitia wavuti marufuku kupitia 'Bando'!

    Hata salamu sitoi.:( Leo nina hasira kupitiliza Ninaweza kumzaba kibao yeyete ambae naweza kukutana naye barabarani nikihisi tu kuwa kwa namna moja ama nyingine amehusika na 'Utopolo' huu, bila ya kujali yeye ni nani ama ana nini. Ni hivi; kwenye uchambuzi wa magazeti asubuhi hii ya leo...
  5. Maleven

    Nikimuacha mwanamke kwa kutoa namba kwa mwanaume, nitakua nakurupuka?

    Ikiwa mtu anajua fika kuwa huyo mwanaume anamtaka, kisha akampa namba, binafsi naichukulia kama nia ya wazi ya kusaliti in the near future Je kumpiga chini ni uamuzi wa kukurupuka? Moja ya utetezi wake ni kua ameghafilika na hata mimi naweza kughafilika Nilijaribu kumsamehe ila katika...
  6. J

    TCRA wakomesha wizi wa kwenye mitandao tuma ujumbe kwenda namba 15040

    Endapo umetapeliwa au umetumiwa ujumbe wa utapeli, tuma ujumbe husika na namba ya aliyekutapeli au kukutumia ujumbe wa utapeli kwenda 15040. Huduma hii ni bure. Tushirikiane kutokomeza utapeli kupitia simu za mikononi. Sambaza ujumbe huu cc @TCRA_Tz @ConsumerCcc
  7. Upepo wa Pesa

    Chuo cha Sokoine (SUA) chashika namba moja Tanzania (Citations)

    Moja kati ya kazi kuu za chuo chochote duniani ni TAFITI. Chuo chochote hapa duniani kitaonekana bora kama kina wana sayansi (academicians) bora walio tuliza akili na kuandaa tafiti na ku publish tafiti zao kwenye juornal za kitaifa na kimataifa! Kwa kuongoza kwenye citation ni ishara wazi...
  8. Sky Eclat

    Kufuta namba ya simu ya marehemu inauma sana

    Awe mume, mke, mtoto, mzazi babu au bibi hata rafiki au mpenzi. Marehemu akisha kufa inauma sana kufuta namba zake za simu. Wakati ule wa simu za mezani za Shirika la Posta na Simu, jirani zetu walifiwa na mama yao ambae ndiye alikua na akaunti ya simu. Walikaa miaka mingi wakilipa ankara...
  9. R

    Naomba namba za mbunifu wa machine ya umeme wa sumaku wa Kawe Dar es Salaam

    Kama kuna mtu humu aliye na mawasiliano ya mbunifu wa machine ya kuzalisha umeme inayotumia mfumo wa sumaku, Tafadhali anisaidie.
  10. Mromboo

    Vodacom sasa hii imezidi, tunaomba msitishe huu ujumbe wenu ambao unachukua zaidi ya sekunde kumi kuhusu uhakiki wa namba

    Wanajukwaa jumapili njema, Hivi hii kitu vodacoma wameleta wakati mtu unapiga simu kwenda voda mnaionaje? Wameshindwa kutuma ujumbe mmoja kwa kila mteja waache kutupigia kelele kila tunapotaka kupiga simu? Inafikia kiwango mpaka sasa mtu unaona tabu kupiga simu. Muda mwingine unapiga unaweka...
  11. Mwita Mtu Mrefu

    Car4Sale Suzuki Auto namba C kwa 2.5 mil only

    Jipatie gari hii ndogo ikiwa katika hali nzuri. Full Document Njoo ukague gari na fundi wako. Loc: Zakhem, Dar: 0744033555 Picha zaidi njoo whatsapp
  12. Leak

    Ukweli usemwe: Nandy ni msanii namba moja wa kike ambaye tumebarikiwa kwa sasa

    Wasalaam wanajamvi. Kama mnakumbuka ujio wa Nandy alianza baada ya Ruby kukorofishana na Clouds media. Watu wengi nikiwapo mimi walikuwa wana doubt sana kipaji cha Nandy toka awali.. na kama kipindi kile watu walikuwa wakimsikia Nandy basi utawasikia wakisema hamna kitu huyo ameletwa kumfunika...
  13. Mwita Mtu Mrefu

    Car4Sale Noah namba D kwa bei Chee

    Nakusogeze gari hii kwa bei poa sana Noah namba D kwa 5.5 million bila udalali Gari ina Kadi yake Low mileage Njoo magomeni Dar uikague Nipigie 0744033555
  14. Faana

    Asante kwa kuchagua Vodacom, Namba ya Mtumiaji unayempigia haipatikani kwa sasa

    Huu ujumbe umekuwa unasikika mara nyingi sana hata kama unapiga simu kutoka Tigo kwenda Tigo au Halotel au mtandao mwingine usiohusiana kabisa na Vodacom. Je kuna kuhujumiana kunafanyika humo mitandaoni?
  15. excel

    Car4Sale Vitz namba D for 5.6 mil

    Cc 990. Engine iko vizuri. AC inafanya kazi. Inafanya uber mpaka sasa. Imetunzwa vizuri tu haina tatizo Njoo na 5.6mil uchukue chombo Mbezi Dar es salaam: 0744033555
  16. Leak

    Mrembo namba moja nchini(Diva-Loveness-Love) atokwa na machozi baada ya kushuhudia wananchi wakigombania daladala

    Wasalaam wana jamvi, Mrembo namba moja nchini na mtangazaji mahiri kabisa nchini Diva-Loveness -Love leo ameshea hisia zake kwa wananchi baada ya kushuhudia wananchi wenzie wakigombea daladala uko Tanga na wengine wakisubiri usafiri bila mafanikio..hali iliyomfanya Diva kusikitika sana na...
  17. R

    Naomben kujua nawezaje kujua namba ambao haijasajiliwa katika mtandao husika ili niisajili mm

    Habar wadau Hope kila mmoja anajua namba ya simu ni kitu muhimu sana na unapaswa kuishika sasa kwa hapa nchin mitandao ya simu ipo ming sasa kwa akili za kawaida mtu huwez shika namba zote yaan namba yako ya tigo,voda,airtel,TTCL Halotel na zantel zote umezishika hapana hii sio sawa japo...
  18. Bexb

    Nipe IST namba D ya sh 6.5m

    Habari wadau, nahitaji Toyota IST yenye namba D yoyote ile hata iwe DAA iliyopo Dar. Budget yangu ni Milion 6.5 TU!! Hiyo ndiyo hela iliyopo ni vema likazingatiwa. Kama unalo hilo gari nicheki whatsapp kwa namba 0755963775
  19. N

    Wanaofanyakazi ya kupamba kumbi za starehe, kusherehesha (Ma-MC), wapishi wa sherehe na wapiga picha, watatakiwa kulipa ada na ushuru

    WATU wanaofanyakazi ya kupamba kumbi za starehe, kusherehesha (Ma-MC), wapishi wa sherehe na wapiga picha, watatakiwa kulipa ada na ushuru. Ni baada ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema jijini Mwanza, kupitisha sheria ndogo za ada na ushuri ambazo tayari zimepata baraka za Wizara...
  20. Mangi wa Rombo

    Car4Sale Toyota IST namba DDE, 2005 Model inauzwa

    Habari wakuu! Nauza gari yangu mwenyewe, Make: TOYOTA, Model: IST, Year: 2005, Transition: Automatic, Engine CC: 1290, Engine type: VVT-i, Milleage: 81,900KM. Sport Rims, New Tires zimefungwa December 2020. Radio, Bluetooth Bei 7,500,000 TZS Bima kubwa hadi October 2021. Gari imetunzwa vizuri...
Back
Top Bottom