Mfumo mpya wa namba za siri si salama

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
Habari wakuu leo nataka kujuza kuhusu mfumo mpya wa namba za siri zinazo tolewa si Rafiki kwa mtumia/mteja.

Rejea taarifa ya TCRA.
Ndugu Mteja, Kuanzia July 1, 2021 laini zote mpya zitatolewa zikiwa na namba ya siri. Mteja atatakiwa kuweka namba hizo kila atakapozima au kubadili simu yake.
Baadhi ya mitandao ishaanza kutoa laini hizo.
IMG_20210419_203914_5~2.jpg
IMG_20210419_203855_7~2.jpg

IMG_20210419_170452_4.jpg

Sababu ya mfumo huo kutokuwa salama ni kwamba Namba za siri zimebandikwa katika laini pamoja na kasha la laini hivyo mtumiaji akidondisha au kupoteza laini mtu ataye okota laini hiyo anaweza kuangalia namba za siri nje ya laini na kufanya miamala.
Hivyo mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA inatakiwa wafanye maboresho ya kutozionyesha namba za siri kwenye laini
 
Habari wakuu leo nataka kujuza kuhusu mfumo mpya wa namba za siri zinazo tolewa si Rafiki kwa mtumia/mteja.

Rejea taarifa ya TCRA.
Ndugu Mteja, Kuanzia July 1, 2021 laini zote mpya zitatolewa zikiwa na namba ya siri. Mteja atatakiwa kuweka namba hizo kila atakapozima au kubadili simu yake.
Baadhi ya mitandao ishaanza kutoa laini hizo.
View attachment 1756813
Sababu ya mfumo huo kutokuwa salama ni kwamba Namba za siri zimebandikwa katika laini pamoja na kasha la laini hivyo mtumiaji akidondisha au kupoteza laini mtu ataye okota laini hiyo anaweza kuangalia namba za siri nje ya laini na kufanya miamala.
Hivyo mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA inatakiwa wafanye maboresho kutozionyesha namba za siri kwenye laini
Utaokota hicho kikasha lakini line itabaki kwa muhusika, hapo nadhani itamlazimu kubadilisha number ya siri pamoja na puk, sasa muokotaji hatakua na acses tena
 
Habari wakuu leo nataka kujuza kuhusu mfumo mpya wa namba za siri zinazo tolewa si Rafiki kwa mtumia/mteja.

Rejea taarifa ya TCRA.
Ndugu Mteja, Kuanzia July 1, 2021 laini zote mpya zitatolewa zikiwa na namba ya siri. Mteja atatakiwa kuweka namba hizo kila atakapozima au kubadili simu yake.
Baadhi ya mitandao ishaanza kutoa laini hizo.
View attachment 1756813
Sababu ya mfumo huo kutokuwa salama ni kwamba Namba za siri zimebandikwa katika laini pamoja na kasha la laini hivyo mtumiaji akidondisha au kupoteza laini mtu ataye okota laini hiyo anaweza kuangalia namba za siri nje ya laini na kufanya miamala.
Hivyo mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA inatakiwa wafanye maboresho kutozionyesha namba za siri kwenye laini
Usihofu....
Unapo sajili line kuna option ya kubadili namba za siri ambazo zipo tayari na kuweka namba unazohitaji wewe.
 
Habari wakuu leo nataka kujuza kuhusu mfumo mpya wa namba za siri zinazo tolewa si Rafiki kwa mtumia/mteja.

Rejea taarifa ya TCRA.
Ndugu Mteja, Kuanzia July 1, 2021 laini zote mpya zitatolewa zikiwa na namba ya siri. Mteja atatakiwa kuweka namba hizo kila atakapozima au kubadili simu yake.
Baadhi ya mitandao ishaanza kutoa laini hizo.
View attachment 1756813
Sababu ya mfumo huo kutokuwa salama ni kwamba Namba za siri zimebandikwa katika laini pamoja na kasha la laini hivyo mtumiaji akidondisha au kupoteza laini mtu ataye okota laini hiyo anaweza kuangalia namba za siri nje ya laini na kufanya miamala.
Hivyo mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA inatakiwa wafanye maboresho kutozionyesha namba za siri kwenye laini
Wakishasema unaweza kubadilisha hiyo PIN ukaweka uipendayo
 
Habari wakuu leo nataka kujuza kuhusu mfumo mpya wa namba za siri zinazo tolewa si Rafiki kwa mtumia/mteja.

Rejea taarifa ya TCRA.
Ndugu Mteja, Kuanzia July 1, 2021 laini zote mpya zitatolewa zikiwa na namba ya siri. Mteja atatakiwa kuweka namba hizo kila atakapozima au kubadili simu yake.
Baadhi ya mitandao ishaanza kutoa laini hizo.
View attachment 1756813
Sababu ya mfumo huo kutokuwa salama ni kwamba Namba za siri zimebandikwa katika laini pamoja na kasha la laini hivyo mtumiaji akidondisha au kupoteza laini mtu ataye okota laini hiyo anaweza kuangalia namba za siri nje ya laini na kufanya miamala.
Hivyo mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA inatakiwa wafanye maboresho kutozionyesha namba za siri kwenye laini
Alichokisema, si sahihi sana... Maana LINE inapowekwa kwenye simu huwa inatenganishwa na kipande chenye namba za siri. Hivyo mtu akidondosha laini, uwezekano wa kwamba amedondosha sehemu hiyohiyo na kipande chenye namba hiyo ni mdogo sana
 
Utaokota hicho kikasha lakini line itabaki kwa muhusika, hapo nadhani itamlazimu kubadilisha number ya siri pamoja na puk, sasa muokotaji hatakua na acses tena
Hii njia mbona hata hapo nyuma ina_apply, i mean ukiweka line mpya unaambiwa ubadiri namba za siri
 
Back
Top Bottom