johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,603
- 141,420
Waziri Ndugulile amesema wizara yake inaweza kuhakiki upya usajili wa namba za simu kwa alama za vidole ili kuwabaini wanaozimiliki isivyo halali.
Ndugulile amesema mitambo ya kubaini hayo wanayo.
Chanzo: Swahili times
Ndugulile amesema mitambo ya kubaini hayo wanayo.
Chanzo: Swahili times