sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,522
- 7,368
Msanii wa mioyo ya watu wakuitwa Rayvanny au watanzania wanamuita Chui, amezidi kuthibitisha yeye ni mkali wa namba East Africa.
Ni msanii mwenye maneno machache sana ila ana numbers kubwa sana za mauzo kwenye platform mbalimbali za mauzo.
Wimbo wake na Gims umefikisha streams 1 million kwenye spotify.
Album ya Sound from Africa imefikisha streams 8 millions uko mjini Boomplay.
Tuliwaambia hapa wale mashabiki kaukau hii album ya Ray ni international iiish, ngoma zenu mlioenda shule na visoda shingoni zipo chache sana au hakuna kabisa ni album ya kupiga pesa hamkuelewa sasa namba zinazungumza.
Rayvanny anatutoa kimasomaso international.
Ni msanii mwenye maneno machache sana ila ana numbers kubwa sana za mauzo kwenye platform mbalimbali za mauzo.
Wimbo wake na Gims umefikisha streams 1 million kwenye spotify.
Album ya Sound from Africa imefikisha streams 8 millions uko mjini Boomplay.
Tuliwaambia hapa wale mashabiki kaukau hii album ya Ray ni international iiish, ngoma zenu mlioenda shule na visoda shingoni zipo chache sana au hakuna kabisa ni album ya kupiga pesa hamkuelewa sasa namba zinazungumza.
Rayvanny anatutoa kimasomaso international.