Amani na iwe nanyi!
Nahitaji mwanamke wa kuzaa nae
Wasifu wangu
1. Umri : Mtu mzima (Matured)40+ Years
2. Urefu: 5.6 Futi
3. Uzito: 80 Kg.
4. Rangi: Maji ya kunde
5. Kazi: Mjasiriamali
6. Elimu Degreee
7. Polite in nature
8. Hobbies Napendelea Kusoma vitabu (Addicted to reading books)
9. I am...
Wadau nina mgonjwa kapalalaizi tumeenda Muhimbili imesemekana ana uvimbe kwenye ubongo uliosababishwa na TB (kifua kikuu).
Mwenye kujua dawa ya kuyeyusha huo uvimbe anisaidie, hata mawazo pia ntayapokea nilimradi nipate pa kuanzia.
Habari za Leo Wanafamilia!
Pole na Majukum, Mm naitwa Hussein, naishi Tandika Magorofan, nna miaka 34, nna mke na watoto watatu.
Nnajishughulisha na Ufugaji, utengenezaji dawa za Asili za Kuku na uuzaji wa Kuku, kwa Sasa nimejikita zaidi kwenye Kuku wa nyama kwa kuwanunua directly kwa Wafugaji...
Wakuu habari,
Nahitaji tent la kukodisha kwa kesho siku moja tu. Tent dogo la kawaida futi saba mahali ya tukio ni makumbusho sayansi tuwasiliane kwa namba 0757 563328 tafadhali.
Kwa yoyote anayefahamu wanapokodisha au kuniunganisha na wakodishaji asanteni.
Habari za leo wakuu,
Natumai mnaendelea vizuri ndugu zangu.
Nahitaji kujua cadet (kadet) za ubora wa juu (high quality) zinazouzwa Tanzania zinatokea nchi gani?
Pia nahitaji kujua aina za cadet (kadet) zinauzwa Tanzania kwa sana.
Kadet za kuvutika (elastic) na zile ambazo sio za kuvutika...
Habari za wakati huu ndugu zangu.
Inasemekana "Malkia Wa Ubembe" ni moja ya dini zetu za asili za kiafrica hata kabla ya ujio wa dini za kisasa za wazungu na waarabu. Dini hii wafuasi wake ni watu kutoka kigoma Tanzania na watu wa mashariki mwa congo.
Ningependa kujuzwa mambo yafuatayo kuhusu...
Nahitaji mtu anaeuza flatscreen smart TV inch 32 brand Hisense. Napatikana Morocco ATS office eneo la Ada estate. Tunaandikishiana ofisini hapa kabisa.
Malipo: Nitalipa kwa two installments in a month.
Watsap No:0783 242247
Nahitataji wadada wawili wachapa kazi wa kuserve chakula kwenye bar.
Awe mwenye muonekano maridadi.
Awe mzoefu na kazi.
Awe mchapa kazi.
Kazi ipo Dodoma, wakazi wa Dodoma watapewa kipaumbele
Mshahara maelewano kwa aliye tayari tuwasiliane 0622723082
Kazi inaanza kesho
Naombeni mnisaidie ni maeneo yepi ktk mkoa wa Dar naweza pata chumba kizuri cha masters kwa bei nzuri ya kizalendo or n maeneo yepi dsm unaweza mshauri mtu akapange chumba na kuanza maisha.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 28
Elimu: Electrical and Electronics Engineer
Makazi: mbezi luis dar es salaam
Kazi: Kwasasa bado sijaajiriwa
Nahitaji msichana kuanzia umri wa miaka 21 tuwe wachumba mpaka ndoa pia awe muislam,
Whatsap:0677452164
Kawaida: 0688862638
Habari 👋🏾
Wakuu nahitaji kuwa na ulinzi masaa 24/7 kwangu mimi na vitu vilivyo chini yangu. Ningelipenda kufahamu aina bora ya ulinzi, nitumie ulinzi wa jeshi au security agencies?
Wenye mnaulinzi binafsi ni aina gani ya ulinzi mlionao, makadrio ya gharama na ushauri katika hili.
Asante.
Habari wana bodi! Mimi ni mtanzania umri wangu ni miaka 31, nimejiajiri, NAHITAJI mwanamke umri miaka 20 hadi 27 awe anajua nini maana ya familia pia awe mcha dini sichagui kabila rangi wala dini Elimu kuanzia yoyote.
Ahsanteni naomba kukamilisha
Mwenye nia anakaribishwa.
Wadau naomba kama Kuna mtu Ana jaw crusher ya bei nzuri. Mashine ya kutengeneza kokoto nahitaji kama unayo au pengine unaweza kuniuzia au kukodisha nitashukuru
Habari wana JF.
Nahitaji mke wa kuoa kama itawezekana ndani ya mwaka huu.
Sifa zangu.
Umri, 27
Dini, mkristo
Kazi, fundi Umeme
Sifa za mke nimtakaye.
Awe mrefu kiasi
Umri. 20- 25
Dini. Yoyote
Elimu. Yoyote.
Habari za usiku ndugu zangu? Nahitaji msaada namana ya ku apply nacte vyuo vya afya. Nimejaza taarifa zote lakini hakuna kinachoendelea.
Hatua ya kwanza nimefungua ukurasa wa kujisajili na nikajaza taarifa zote. kama inavyoonekana kwenye screenshoot hapo chini.
Then ukurasa wa pili...
Nawasalimu wote.
Kama mada inavyojieleza.
Mume wangu amenitaarifu anamleta rasmi mtoto wake ambae alikuwa haishi na sisi kuja kuishi na sisi. Wakati nasubiri siku ifike lazma nijiandae.i. Sina bond nae wala mazoea nae zaidi ya kumuona hiyo mara chache na sio kwamba alikuja nyumbani.
Awali...
Nahitaji Kiwanja Arusha maeneo ya Kiserian, Moshono na Chekereni isiwe porini ukubwa uwe 10x15 au 15x15 bajeti yangu kwa kila kiwanja ni sh mil 2 kushuka chini.
Kama unamfahamu aliye nacho njoo DM au nishtue. viwanja hivyo vinatakiwa mpaka wmezi wa 7 viwe vimepatikana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.