Frank Lyova
Member
- Feb 20, 2017
- 13
- 10
Habari zenu wana JF,
Kuna magonjwa mengine kama yanadharirisha hivi jinsi ya kuyatamka kwa watu.. lakin ndo hvyo waswahli walishatwambia mficha malazi kifo umuumbua.. Mimi ndugu zangu nina tatizo la jipu limenitokea kwenye makalio pemben kidogo mwa njia ya haja kubwa..
Ni kama uvimbe ulio mgumu endapo utaubinya..Hii jipu limeniletea homa kabisa na linauma kiasi nashndwa hata kukaa vizuri..
Hivyo naomba kufahamu wenye uzoefu na haya magonjwa au kama uliwah kuumwa nahtaji kufahamu ni dawa gani itanitibu au matatizo haya chanzo chake ni nini?
Nahtaji kushauriwa na wenye uzoefu wa haya matatizo tu..
Kuna magonjwa mengine kama yanadharirisha hivi jinsi ya kuyatamka kwa watu.. lakin ndo hvyo waswahli walishatwambia mficha malazi kifo umuumbua.. Mimi ndugu zangu nina tatizo la jipu limenitokea kwenye makalio pemben kidogo mwa njia ya haja kubwa..
Ni kama uvimbe ulio mgumu endapo utaubinya..Hii jipu limeniletea homa kabisa na linauma kiasi nashndwa hata kukaa vizuri..
Hivyo naomba kufahamu wenye uzoefu na haya magonjwa au kama uliwah kuumwa nahtaji kufahamu ni dawa gani itanitibu au matatizo haya chanzo chake ni nini?
Nahtaji kushauriwa na wenye uzoefu wa haya matatizo tu..