Mtamba wa Panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 695
- 1,712
Habari waheshimiwa,
Naomba kujua basi gani ni zuri kwa sasa kutoka Dar kwenda Nairobi, Kenya.
Naomba pia muambatanishe na nauli zake.
Pia naomba kujua utaratibu na gharama za kupata passport ya muda "ya makaratasi" maana passport yangu ya kitabu imeisha muda wa matumizi na nimepata safari ya ghafla.
Itakuwa vizuri zaidi kama mtanijulisha kama kuna changamoto yoyote kwa safari hii hasa kipindi hiki cha ugonjwa wa CORONA
Ahsanteni waungwana!
Naomba kujua basi gani ni zuri kwa sasa kutoka Dar kwenda Nairobi, Kenya.
Naomba pia muambatanishe na nauli zake.
Pia naomba kujua utaratibu na gharama za kupata passport ya muda "ya makaratasi" maana passport yangu ya kitabu imeisha muda wa matumizi na nimepata safari ya ghafla.
Itakuwa vizuri zaidi kama mtanijulisha kama kuna changamoto yoyote kwa safari hii hasa kipindi hiki cha ugonjwa wa CORONA
Ahsanteni waungwana!