mwili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mathsjery

    Crate Challenge: sio mchezo mzuri kwa afya ya mwili

    Huu mchezo unachezwa bila hata mavazi maalum ambayo yanaweza zuia mtu usiumie endapo utaanguka, watu kucheza kwa bidii sana crate zinapangwa mtindo wa pyramid au pembe tatu kisha unakuwa unapanda kama unapanda ngazi ili kutokea upande wa pili cha ajabu huwezi vuka bila kuanguka kwani crate...
  2. M

    Wito wa maombi: Mwili wa Kristo Tanzania tumwombee Askofu Gwajima

    Mwili wa Kristo uliopo Tanzania kesho katika umoja wetu tumwombee Askofu Gwajima. Tuombe Mungu ampe ujasiri na hekima ambayo hakuna atakayeweza kuhojiana nayo!! Roho Mtakatifu ahusike mwanzo mwisho!! Ikiwezekana baada ya mahojiano kitokee kitu kitakachowashikisha adabu toka kwa mzee wa siku...
  3. Mr HQ

    Naomba nifahamishwe nama ya kutumia Mti wa MVUNGE kwa maradhi udhaifu wa mwili

    Tuna mtoto wa mama mdogo Ana tatizo la mifupa yake na mwili wake upo dhaifu tumejaribu kuuliza tukaambiwa tujaribu kuuliza kuhusu mti mvunge ni tiba nzuri. jamani naomba kwa mwenye kujua jinsi ya kutumia mti huo na jinsi ya kuupata mti huo tunaomba msaada.🙏🙏🙏
  4. BAAJUN POET

    SoC01 Ukatili na Unyanyasaji wa Kingono kwa watoto na vijana: Madhara na jinsi ya kukabiliana na vitendo

    Makala hii ikufikie wewe Mzazi, Mlezi, Kaka, Dada na Ndugu wote ambao mnao wadogo zenu au watoto wenu ambao wapo mashuleni au Vyuoni. Na bado hujui kuhusiana na jambo kubwa na la hatari linalowasibu ambalo ni tishio kwa maadili yao, utu wao na maisha yao kwa ujumla. Nianze kwa kunukuu ya kuwa...
  5. C

    SoC01 Ombwe la uongozi litaendelea kukita mizizi iwapo sifa hizi za ndani hazitahuishwa

    Wapendwa salam, amani iwe kwenu. Mwaka 2007 nilitamani sana kuwa kiongozi mahali fulani.Nikiri kuwa ndani ya nafsi yangu kwa dhati nilidhamiria kuitenda kazi ile kwa bidii,uaminifu na moyo wa kujituma. Kwa kuwa nafasi ile ilikuwa ni ya kupigiwa kura kulikuwa na 100% ya kushinda au kushindwa...
  6. Zero IQ

    SoC01 Wizara ya Afya iweke hiari ya kujitolea viungo vya mwili kisheria baada ya kufariki

    Kama kichwa cha habari kinavyosema ni wakati sasa kwa serikali yetu kupitia wizara ya Afya kuweka hiari ya kujitolea viungo vya mwili tena kisheria ili viweze kutolewa kwa wahitaji mara baada ya mmiliki wa mwili kufariki Ni hivi serikali kupitia wizara ya afya ipeleke muswada bungeni wa...
  7. Shujaa Mwendazake

    #COVID19 Fatma Karume: Hakuna chanjo ya lazima. Haki za Binadamu zinataka faragha hususan wa mwili wako

    "Hakuna CHANJO ya lazima. HAKI za Binadamu zinataka FARGHA hususan wa MWILI wako. Serikali haiwezi kukuingilia mwili wako isipokuwa pale Mahakama inatoa order Na kama kuna SHERIA lazim iwe proportionate to social needs etc…."- Fatma Karume PIA, SOMA: - CHADEMA: Chanjo ya COVID-19 iwe ya lazima
  8. Mshana Jr

    Bastola iliyoua wawili Sinza ni dili kishirikina, lakini pengine pia imebeba mikosi na laana

    Silaha tajwa tayari imeshaondoka na roho mbili na tayari iko mikononi mwa jeshi la polisi.. Haijajulikana kama mmiliki alinunua 'used' au brand new! Kama kanunua mtumba ni kwamba hapo kabla ilishawahi kutumika mostly ilishauwa.. Wangapi? Haijulikani..labda mpaka kupata historia yake..! Kama...
  9. comte

    Picha: Tazama namna ya kuongeza na kuimarisha mzunguko wa hewa ya oksijeni mwilini

    https://www.businessinsider.in/science/health/news/covid-19-what-is-proning-and-how-can-it-help-you-increase-oxygen-levels-at-home/articleshow/82251671.cms
  10. ommytk

    Hivi kwanini kusafirsha mwili au maiti toka nchi za nje Ni gharama kubwa sana

    Wadau ebu leo tujadili ili kwanini kusafirisha maiti ni gharama kubwa mno kuliko kusafiri mtu ukiwa mzima na ikiwa maiti inakuja tu kama cargo na mtu unakaa ata vip lakini uwezi kuwa na gharama za maiti yaani nabaki najiuliza sipati jibu.
  11. Kiume3000

    Roho inauma, mwili unaona nafsi Inakata tuombane radhi

    Kwenye nukta ya somo hapo nafafanua. Niombe Radhi Sana kwa yeyote niliyemkwaza. Sio aina ya mtu mwenye Roho mbaya, ingawa wakati mwingine naona kama Kuna jambo halijakaa sawa hapo moyo unauma na kuanza kujilaumu na kulaumu wengine. Nafsi inapoona haki haijatendeka, moyo unauma, unauma sana...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    Usafi wa Mwili vS Usafi wa Roho; Funguo no 3

    USAFI WA MWILI NA ROHO, FUNGUO NO 2. Kwa Mkono wa, Robert Heriel Andiko hili ni moja ya maandiko ya msingi, ambayo sharti uyazingatie. Usijesema mimi Baba yako, sikukwambia. Jumbe hii isomwe wana na binti zangu, na rafiki zao, na familia zao, na jamaa, pia ikiwapendeza na wote waishio...
  13. Msitari wa pambizo

    Nimeambiwa ninenepe kidogo ili anikubalie. Naombeni mbinu za kuongeza mwili

    Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi. Back to the topic. Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana...
  14. Geza Ulole

    Familia ya Barack Obama inaomba msaada wa kurudisha mwili wa Kezia Obama

    MY TAKE Aisee hapa jina la Barack Obama linatumika kumchafua Barack Obama!
  15. Mshana Jr

    Kuna viungo vya mwili lazima vifanane

    Jamani jamani jamani kuna watu ni wafukunyuzi hasa, na kimsingi huwa wanatuchora vilivyo na kwa sehemu kubwa wakiangalia baadhi ya viungo mwili vinavyoonekana na kulinganisha na visivyoonekana Viungo maarufu ni midomo vidole vyote vya miguuni na mikononi Kwamba mtu mwenye lips [emoji182] nene...
Back
Top Bottom