DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 1,487
- 2,739
Salaam wakuu.
Siku za hivi karibuni nimeona na kushuhudia wakazi wengi hapa Dar es salaam wametokwa na vipele na kuwashwa mwili.
Hasa watoto nimeona wengi pia wanawashwa na vipele mwili mzima. Hivyo nauliza, huu ni ugonjwa wa kawaida au Kuna tatizo lipo?
Nauliza na nini cha kufanya ikiwa utapata shida Kama hiyo?
Siku za hivi karibuni nimeona na kushuhudia wakazi wengi hapa Dar es salaam wametokwa na vipele na kuwashwa mwili.
Hasa watoto nimeona wengi pia wanawashwa na vipele mwili mzima. Hivyo nauliza, huu ni ugonjwa wa kawaida au Kuna tatizo lipo?
Nauliza na nini cha kufanya ikiwa utapata shida Kama hiyo?