Inasemekana kutembeatembea kwenye Mawe au kokoto ni Tiba nzuri Ya viungo vya mwili

Miss_Mariaah

JF-Expert Member
Nov 9, 2022
1,054
2,426
Habari za mida wakuu,

Penye wengi pana mengi katika pitapita zangu mtandaoni nikaona post MTU akielezea kuwa ...kusimama kwenye Mawe madogo madogo kama kokoto ni tiba nzuri ya maumivu ya miguu Na mgongo Na joints.

Hilo zoezi unafanya kila siku asubuh Na jioni Kwa muda wa dk 15 mpaka 30 unachukua Mawe madogo madogo kama kokoto ivi unaweka kwenye into au sulfate then unachanganya Na mchanga kidogo kila siku unakua unasimama au kutembea Kwa izo mawe ukiwa peku.

Sharing is caring
All the best
Mimi nitaanza kesho
 
Sio kutembea juu ya kokoto na mawe..

Ni kutembea kwa kukanyaga ardhi ukiwa peku bila viatu. Ardhi kama ardhi sio kwenye pavements... Ni kuji connect na nature maana kutokea udongo binadamu aliumbwa.

Katika kuji connect na nature ndio unagusa mimea kwa mikono... Kama una maua unayashika na kuyanusa asubuhi.. Kama una mifugo unawapatia chakula asubuhi na maji.. Etc..

Yote haya fanya kama ibada na shukrani.. Mema yatakujia.
 
Sio kutembea juu ya kokoto na mawe..

Ni kutembea kwa kukanyaga ardhi ukiwa peku bila viatu. Ardhi kama ardhi sio kwenye pavements... Ni kuji connect na nature maana kutokea udongo binadamu aliumbwa.

Katika kuji connect na nature ndio unagusa mimea kwa mikono... Kama una maua unayashika na kuyanusa asubuhi.. Kama una mifugo unawapatia chakula asubuhi na maji.. Etc..

Yote haya fanya kama ibada na shukrani.. Mema yatakujia.
Ni juu ya kokoto mkuu au Mawe madogo hoi therapy iko China kule wamejenga Barabara kabisa special Kwa hoi therapy
 
Kwanini utembee kwenye mawe wakati kuna mkekatiba huu hapa,
Ukitaka kujua zaidi nipigie kwa namba hii 0748 463 797.
Kama una whatsapp nakutumia video yake
 

Attachments

  • images (16).jpeg
    images (16).jpeg
    37.9 KB · Views: 7
Back
Top Bottom