Mwili wa mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 35-40 umekutwa ukiwa umetupwa pembezoni mwa barabara ya kuelekea Kilindi mkoani Tanga katika eneo la Kijiji cha Mbigiri huku shingo yake ikiwa imekatwa na kitu chenye ncha kali.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Manyara SACP Geroge Katabazi amethibitisha tukio hilo hii leo Februari 28, 2024, na kusema hakuna anayeshikiliwa na wanaendelea na uchunguzi.
Credit - EATV
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Manyara SACP Geroge Katabazi amethibitisha tukio hilo hii leo Februari 28, 2024, na kusema hakuna anayeshikiliwa na wanaendelea na uchunguzi.
Credit - EATV