mungu

  1. J

    Kama Rais Magufuli ameweza kukuza pato la taifa kutoka sh trilioni 53 alizoacha Kikwete hadi sh trilioni 120, Mungu atupe nini tena?!

    Kiukweli hizi data zimenitia moyo zaidi na kunifanya nizidi kutembea kifua mbele. Ukuaji wa pato la taifa kutoka sh trilioni 53 mwaka 2015 hadi sh trilioni zaidi ya 120 mwaka huu wa 2020 ni jambo la kujivunia ambalo ni lazima tulienzi kwa kumpa Dr Magufuli mitano tena. Tundu Lisu atapewa kazi...
  2. D

    Isikilizeni sauti inayolia nyikani, imebeba sauti za mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Mungu ametenda kwa wakati wake hakika!

    Tundu Lissu angeweza kurudi nchini na kuamua kujikalia kimya kama walivyofanya wengine walioumizwa. Yeye siyo tu aliumizwa! Aliumizwa sana! Sasa isikilizeni sauti yake inayolia nyikani, ndani ya sauti hiyo zipo sauti za mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Mnyoosheeni njia pale anapokuja...
  3. YEHODAYA

    GE2020 Jemadari hodari hutambuliwa vitani. Dkt. Magufuli, Mungu anakupa miaka mitano tena kwa kwa kutushindisha vita dhidi ya Coronavirus

    Vita ya Corona dunia nzima inawasumbua kote kuliko na majeshi yenye nguvu na teknlojia ya hali ya juu na wenye huduma za afya bora duniani zenye madaktari bingwa wazuri duniani ikiwemo Ubelgiji wako hoi kusumbuliwa na Corona. Nchi zenye elimu bora na waongea kiingereza kizuri ikiwemo kenya na...
  4. R

    GE2020 Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

    Ni katika video clip ambayo inasambaa kwa kasi nchi nzima ktk mitandao ya kijamii instagram, twitter, Whatapp, facebook na Youtube ambapo Askofu huyo Mtumishi Wa Mungu anatanabaisha maajabu yanayotendeka ktk harakati za Lissu. Nabii na mtume Mwingira anasema Mtu huyu ( Tundu) hajawahi kujenga...
  5. Nyamsusa JB

    GE2020 Watanzania tuisikilize hii sauti ya Mungu "Huyu ni Mwanangu Mpendwa Mpeni Kura Zenu"

    Hii ni sauti inayonisumbua kila kukicha ya Mungu Ikiniambia Huyu Ni Mwanangu Mpendwa Nimpe Kura yangu. Naamini ni sauti inayokusumbua pia wewe Mtanzania ikijurudirudia na kukusii uitii kua " Huyu alie Hai leo ni Mwanake Mpendwa na Tumpe Kura Zetu" Tanzania itapona tu kwa Kuitii Sauiti Hii ya...
  6. safuher

    Mbele za Mungu unaweza kushinda na kutangazwa hata bila Tume Huru

    Hakuna kubwa mbele za Mungu linalomshinda. Mungu akiwachoka watu basi hakuna sababu itakayozuwia,akiamua lake hakuna litakaloshindikana. Raisi wetu Magufuli wengi hatukutarajia kama atakuwa raisi,lakini angalia leo kawa raisi ingawa kulikuwa na vita kubwa huko juu wakati wa kumtafuta mgombea...
  7. GENTAMYCINE

    Hivi akina Pele, Maradona, Zidane Messi na Ronaldo hawawezi 'Kumshtaki' kwa Mungu Clatous Chota Chama kwa 'Kipaji' kikubwa anachokimiliki?

    Wala huhitaji 'Akili' kubwa au 'Kubishana' mno pale tu ukiambiwa kuwa Mchezaji Clatous Chota Chama ni 'Football Genius ' duniani na mbinguni pia.
  8. Erythrocyte

    GE2020 Video: CCM yaanza kutumia maudhui ya kanisa kuomba kura, wadau wasema ni kejeli kwa Mungu

    Hii hapa jionee mwenyewe
  9. Course Coordinator

    Si ajabu tunawazika kwa heshima wale walio machukizo mbele za Mungu

    Wasalaam, Nilipokuwa kidato cha tatu, mwanafunzi mwenzetu alijiua kwa kunywa vidonge 16 vya chloroquine. Binti huyo aliyekuwa akiitwa Rebeka, alikuwa mzuri wa sura, umbo, na tabia na kwa kweli hakuna hata mtu mmoja aliyewaza kuwa mrembo huyo angeweza Kujitoa roho kikatili hivyo. Kifo chake...
  10. Erythrocyte

    Video: RPC wa Songwe ajiangalie, Wananchi wa Tunduma waangusha maombi mazito hadharani na kumshitakia Mungu

    Kwa sasa hakuna eneo ambalo wanachama na viongozi wa CHADEMA wanakamatwa kama kuku kama wanavyokamatwa wanachadema wa Tunduma, Kwa jinsi polisi inavyotumwa na CCM ndivyo inavyotekeleza bila hata kuchuja. Wagombea kadhaa wa udiwani wa CHADEMA Akiwemo Meya wa halmashauri Mstahiki Ally Mwafongo...
  11. Narumu newz

    Hakuna mamlaka Duniani isiyowekewa mkono na Mungu

    Ni kweli tunajiuliza kama mamlaka zinawekewa mkono na Mungu, je wanaoiba kura halafu wanashinda huwa mkono wa Mungu unakua na hiyo serikali? Mimi labda nitowe wazo langu. Labda hao wanaoibiwa kura na wakashindwa, MUNGU hajawakubali ndio maana akaruhusu waliopo waendelee hata kwa kutenda...
  12. Sami Omary Khamis

    GE2020 Bodaboda, Machinga na Mama N'tilie, Mungu awape nini tena juu ya Rais Magufuli?

    Turudi nyuma kidogo. Wafanyabiashara wadogowadogo mnakumbuka mateso mliyoyapata tena kwenye ardhi yenu ya nyumbani Tanzania? Bodaboda, machinga na mama n'tilie. Mkabughudhiwa kufanya shughuli zenu kwenye maeneo flanflan ya nchi kama vile nyie sio binadamu na kwamba hamtakiwi. Yani kwenye ardhi...
  13. BAVICHA Taifa

    GE2020 Ilani ya CHADEMA ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020 - 2025

    Huu hapa ni Muhtasari wa Ilani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Yaliyomo kwenye Ilani
  14. M

    GE2020 Asante sana Tundu Lissu kwa kutetea Waislamu walioko jela kwa uonevu, Mungu akulipe kheri nyingi sana

    Kwako Ndugu Lissu Amani ya Mwenyezi Mungu iwe nawe Napenda kuchukua fursa hii kukushukuru kwa dhati ya moyo wangu kwa kitendo chako cha Utu na kupenda haki kwako kwa namna unavyotetea Viongozi wa dini ya Kiislamu walioko Jela kiuonevu. Umekuwa consistent sana kuhusu uonevu huu, umezungumzia...
  15. Infantry Soldier

    Kwanini nyumba yako unaiita "kakibanda kangu"? Mungu hapendi kujishusha sana. Having too much humility is self destructive

    S.hikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu watanzania jifunzeni kujishusha lakini isiwe too much. Mungu hapendi mjishushe sana. Having too much humility is self destructive; Unakuta mtu alikuwa anaishi katika nyumba ya kupanga vyumba viwili chumba na sebule, lakini kwa...
  16. J

    Huwezi kuipata " Haki" kwenye Siasa duniani kote. Siasa inatoa Amani, Haki hutoka kwa Mungu

    CHADEMA, ACT Wazalendo na CUF wanahoji kwanini viongozi wa serikali hawapendi kutamka neno " Haki" na badala yake wamekuwa wakitamka Amani wakati wote. Mimi nawauliza Mbowe, Zitto na Prof. Lipumba ndani ya vyama vyao wanahubiri haki? Na je vyama vyao vinatoa na kutenda haki? Na je madaraka...
  17. okiwira

    Msaada: Mume wangu asipokunywa pombe, akimaliza kukojoa lazima matone madogo ya damu yatoke

    Ni baba wa watoto 3 tangu ameoa amechepuka mara 4. Kwa sasa ametulia kama miaka 2 bila kuchepuka. Ila kuna tatizo ameliona yeye ni mnywaji wa konyagi na bingwa. Akinywa pombe hizo halioni tatizo hilo ila asipokunywa analiona. Shida ni nini hasa? Asipokunywa siku tatu na kuendelea kila...
  18. sky soldier

    Ushahidi: Nilikuwa kama kondoo niliepotea, Mungu kanirudisha kwenye zizi lake la kondoo

    Ni maada kwa dini zote wakristo na waislamu na wala sitegemei wachangiaji kuanzisha malumbano Hakika Mungu anatupenda, Mungu baba wa mababa, mfalme wa wafalme, mungu wa miungu, alfa na omega, mwenye ufalme, utakatifu na nguvu milele na kokote ulimwenguni. Nina miaka 28, kwa kipindi...
  19. J

    Mahusiano ya Kimataifa: Rais Magufuli amefungua balozi mpya katika nchi 8 ikiwemo Israel, Mungu ambariki sana!

    Kwa ufupi kabisa kwa wale CHADEMA pamoja na Tundu Lisu mnaodai Rais Magufuli amefifisha mahusiano na dunia nataka niwakumbushe tu Rais Magufuli amefungua balozi katika nchi nane duniani ikiwemo Israel. Tunapokosoa jambo tuwe tunaweka na uhalisia wa ukosoaji siyo kukurupuka. Hata Ethiopia...
  20. Cicadulina

    GE2020 Mbeya: Tundu Lissu amshukuru Mungu kwa matendo makuu

Back
Top Bottom