Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,038
- 12,494
GTs,
Hakika Mungu alituepusha na Korona 19 kipindi kile mataifa mengine yanazika wafu wao kwa mamia kama si kwa maelfu.
Hakika Mungu aliiponya Tanzania baada ya Kiongozi wetu wa nchi kujinyenyekeza mbele za Mungu.
Hakika shetani hukiri matendo makuu ya Mungu.
Kila anayebeza pale ambapo rais wetu anaonesha unyenyekevu kwa Mungu, basi huyo ni mfuasi wa shetani na anatumika na shetani na inapaswa kumuombea.
Shetani anakiri (pamoja na hao wanao shangilia vifo vya sasa) kuwa ni kweli Mungu alituepusha na korona ya kwanza na Maombi yalifanya kazi!
Korona ya pili imekuja kutuonesha kuwa Mungu hakika huponya taifa iwapo mfalme atajinyenyekesha mbele zake.
Hata sasa Mungu anaenda kuliepusha taifa letu na kutuponya kabisa huu ugonjwa na kamwe hautokaa kusumbua tena.
Tuungane kwa maombi ya kumuombea rais wetu pamoja na viongozi na kuliombea taifa letu liponywe kabisa maana ushindi ni wetu.
Hakika Mungu alituepusha na Korona 19 kipindi kile mataifa mengine yanazika wafu wao kwa mamia kama si kwa maelfu.
Hakika Mungu aliiponya Tanzania baada ya Kiongozi wetu wa nchi kujinyenyekeza mbele za Mungu.
Hakika shetani hukiri matendo makuu ya Mungu.
Kila anayebeza pale ambapo rais wetu anaonesha unyenyekevu kwa Mungu, basi huyo ni mfuasi wa shetani na anatumika na shetani na inapaswa kumuombea.
Shetani anakiri (pamoja na hao wanao shangilia vifo vya sasa) kuwa ni kweli Mungu alituepusha na korona ya kwanza na Maombi yalifanya kazi!
Korona ya pili imekuja kutuonesha kuwa Mungu hakika huponya taifa iwapo mfalme atajinyenyekesha mbele zake.
Hata sasa Mungu anaenda kuliepusha taifa letu na kutuponya kabisa huu ugonjwa na kamwe hautokaa kusumbua tena.
Tuungane kwa maombi ya kumuombea rais wetu pamoja na viongozi na kuliombea taifa letu liponywe kabisa maana ushindi ni wetu.