kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 367
- 679
Habarini humu ndani.
Kuna vitu vinashangaza sana, hasa mtu anapokwambia tafuta pesa hutoteswa na mapenzi, Mara ooh six pack watoto watakukimbilia, Mara mdekezee tu ndo kitu wanapendagaa, hapo wakuu Hamna lolote la maanaa la kumfanya mwanamke atulie na wwe.
Utafanya yote na uamuzi utabaki kwake ,kumtunuku anaetaka ampe. Cha muhimu omba mungu akupe mwanamke anayejua thamani yake, anayejiheshimu na kukuheshimu pia zaid ya hapo bado utakuwa unawadekezea na kuwatunzia wenzio na yeye anayetunziwa na kuna mtu anamtunzia
Nb: shtuka shtuka mkuu haupo mwenyewe palee usivimbe.
Kuna vitu vinashangaza sana, hasa mtu anapokwambia tafuta pesa hutoteswa na mapenzi, Mara ooh six pack watoto watakukimbilia, Mara mdekezee tu ndo kitu wanapendagaa, hapo wakuu Hamna lolote la maanaa la kumfanya mwanamke atulie na wwe.
Utafanya yote na uamuzi utabaki kwake ,kumtunuku anaetaka ampe. Cha muhimu omba mungu akupe mwanamke anayejua thamani yake, anayejiheshimu na kukuheshimu pia zaid ya hapo bado utakuwa unawadekezea na kuwatunzia wenzio na yeye anayetunziwa na kuna mtu anamtunzia
Nb: shtuka shtuka mkuu haupo mwenyewe palee usivimbe.