johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,944
Akizungumza katika misa ya mazishi ya Balozi Kijazi Katibu wa TEC father Kitima amesema wanakubaliana na tamko la Rais Magufuli kwamba wananchi wamwombe Mungu bila kuacha kuchukua tahadhari za kisayansi dhidi ya ugonjwa wa Corona.
Father Kitima amesema ni vema wananchi wakachukua tahadhari zote za kisayansi dhidi ya ugonjwa wa Corona huku wakimtanguliza Mungu mbele.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Father Kitima amesema ni vema wananchi wakachukua tahadhari zote za kisayansi dhidi ya ugonjwa wa Corona huku wakimtanguliza Mungu mbele.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!