Marafiki ni watu muhimu sana katika maisha yako,ingawa ni vigumu sana kupata marafiki wa kweli kwa sababu wengi ni wanafiki, na utawagundua hasa pale utakapokutana na changamoto za kimaisha. Swali linakuja,Je utagunduaje mtu uliyenaye si rafiki wa kweli?
Mtu anayejisifia sana si mtu mzuri...
Serikali ingeanzisha utaratibu kodi zote za nyumba au frame za maduka ziwe zinalipiwa kwenye account bank ya mmiliki hii ingesaidia bank wangepata mapato na serikali nayo ingenufaika.
Pia malipo ya mtandaoni yangehamasishwa sana yakitokea magonjwa ya mlipuko kama CORONA inakuwa nafuu watu...
Mimi ni kijana wa miaka 23 mimi huwa sili kabisa mayai na harufu yake nikiskia natapika.
Jana niljtoa damu Muhimbili kwa ajili ya ku save maisha ya rafiki yangu niliuliza kama na aleji nikajibu sina ila baada ya kutolewa damu nilihisi kzungu zungu sana mpka nikajikuta sijui nini kinaendelea...
Kutokana na kauchunguzi kadogo nilikokafanya nimegundua wake za watu wanaokwenda gym kujidai wanaenda kufanya mazoezi zaidi ya 80% hutafunwa hukohuko na wale trainer asipotafuniwa huko basi atapatia bwana huko huko, mwanaume mwenzangu chukua hatua sasa
Na barua kutoka Google imeshatumwa Tanzania sasa jinsi ha kuipata na sikuanfika sanduku lolote nimetuma hivi:
BAKARI JUMA SALUMU
KINONDONI
DAR ES SALAAM 11000
TANZANIA
Hivo ndo nilivi jaza kwenye address yangu
HAPO SIJATUMIA PO BOX SASA JE NINAWEZA IPATA
BARUA INATOKA ADSENSE...
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania (IGP) Simon Sirro amesema jeshi hilo limejipanga imara kwenye mipaka ili kuhakikisha kwamba watu wanaoingia nchini wanafuata utaratibu na endapo wakibainika kuwa na viashiria vya virusi vya Corona basi hatua zinachukuliwa kwa mujibu wa taratibu...
Nakutana na mijitu ina mafanikio makubwa kuliko mimi, wengine ni viongozi kabisa wanang'ang'ana kuniamkia shikamoo, za nini? Kama unaniheshimu nipe hela!
Yaani nyie mkishafanikiwa mnataka tu kudhalilisha wenzenu waonekane ni wazee waliofeli? Mkome kabisa. Tukikutana nikakusalimia 'mambo vipi'...
Wakuu,
Kuna biashara nawaza kuianzisha, sasa kwa mazingira ya sasa ya nchi yetu na kwa mustakabali wa biashara husika, njia ipi ni bora?
Kufungua biashara na kuiendesha kama mtu binafsi au kuiendesha chini ya kampuni?
Faida na hasara zake ni zipi?
Hebu wazoefu fungukeni.
Kuna mjadala wa jinsi ya kujikinga na virusi vya Corona unaendelea muda katika luninga ya Channel Ten.
Mtaalamu Dr Elly Josephat kutoka MAT anasema kuvaa maski kwa mujibu wa maagizo ya WHO ni kwa wale wanaohudumia waathirika na wale wanajishuku au kuhisi kuwa wameathirika.
Na kuna jinsi ya...
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.2 ya ya watu wenye umri chini ya 50yrs hufa wanapougua Corona, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa...
Wanabodi
Japo kwa kawaida usiku ni wakati wa kulala na kupumzika, ila kwa watu ma jobless wakiwemo kada yangu ya watu wa "mishe mishe", moja ya usiku ngumu sana, huwa ni usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu ambayo umeipitisha weekend kwa mazabe mazabe, halafu blue Monday inakuja!, usingizi huwa...
Haijalishi umepiga hatua gani kwenye maisha yako, kuna mtu ambaye amepiga hatua zaidi kwenye eneo hilo.
Na uwepo wa watu ambao wamepiga hatua zaidi yako ni kiashiria kwamba hata wewe unaweza kupiga hatua zaidi ya hapo ulipo sasa.
Lakini je tunawezaje kupiga hatua kubwa kama ambazo wamepiga...
Makamu wa Rais mama Samia Suluhu amesema Rais Magufuli ni mzalendo kwa maneno na matendo, ni mtu anayetambua mamlaka yake na asiyekubali kushindwa katika lile analoliamini.
Mama Samia alikuwa akijibu swali la mwandishi wa BBC aliyetaka kujua yeye kama msaidizi namba moja wa Rais Magufuli...
Unakuta mtu unaendesha zako 50kph huna habari na mtu, taratiiibu kabisa, huku ukiburudika na mziki lainiii..., halafu ghafla anakuja mtu kwa nyuma na kuanza kukuwashia mafull light kwamba yaani unampotezea muda eti umpishee..., na sehehemu inakibao kabisa chan50kph.
Sasa watu kama hao dawa yao...
Kampuni moja ya Marekani imetoa taarifa za kina kuhusu namna ya kuzika mtu kwa njia ambayo ni rafiki kwa mazingira.
Utafiti wa majaribio ulifanyiwa maiti za watu walitoa idhini kabla ya wao kufa, umeonesha kwamba tishu laini mwilini huvunjika vunjika kwa njia salama na kuoza kabisa baada ya siku...
1. Kuonea watu aibu
2.Haangalii watu machoni
3.Akitembea huangalia chini
4.Wasiwasi usio na sababu
5.Hofu
6.Mpweke wa nafsi muda wote
7.Mabadiliko ya ghafla ya tabia. (Aweza kuwa mkali au mpole)
8.Hupenda kukamilisha Jambo alifanyalo haachi kiporo Mara nyingi wanahisi Kuna Jambo kubwa...
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.
Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani...
Salaamu kwa wote, ili swala mara nyingi la kupata maumivu ya mioyo hata kuvunjika mahusiano linatokea kwenye mahusiano na ndoa nyingi ambapo mmoja wapo anapotambua mwenzie kachepuka. Presha ya kuchukuliwa mke au mume ni kubwa sana hasa ukiwaza alichofanyiwa huko alikochepuka.
Wakati huo huo...
Joseph Kabila Aliwahi Kuelezea Kuwa Kipindi Anaishi Tanzania Aliwahi Kushushwa Kwenye Basi Porini Huko Mkoani Iringa Kwa Sababu Hakuwa na Nauli Ya Kutosha. Alijaribu Kumuomba Konda Amshushe Angalau Mahali Penye Mji Lakini Hakumuelewa.
Akamtelekeza porini. Akatembea kwa Mguu Hadi Nyololo Ndipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.