Uchaguzi 2020 Kwa Siasa za Rais Magufuli mtu kama Lissu ndio anafaa kupambana naye. Lissu hana cha kupoteza tena hivyo hana hofu ya kumkabili jino kwa jino

Msukuma Original

JF-Expert Member
Oct 2, 2018
928
3,330
Lissu ndio hasa kisiki cha mpingo cha kupambana na Jiwe. Hata wapiga kura watakuwa majasiri wa kudai haki yao endapo wataporwa ushindi wao.

Wakina Membe na wengineo wampishe Lissu kwa huu Uchaguzi maana hawana uwezo wa kupambana na Siasa za kibabe za jiwe. Lissu hasa ndio pekee anayeweza kwenda sambamba na midundo ya Jiwe.
 
Lissu anahitaji support kubwa nyuma yake kutoka kwa wale wanaoangalia safari yetu huko mbele na vizazi vyetu. Ikiwa tunataka kupata mfumo wa viongozi na sio watawala Tanzania.

Tusiangalie itikadi zetu, tujiunge kwa pamoja kumsaidia kamanda Lissu. Tupate nchi yenye mifumo mizuri ya sheria hata ikitokea Kingwendu anakua Rais ataweza kutuongoza.
 
Lissu anahitaji support kubwa nyuma yake kutoka kwa wale wanaoangalia safari yetu huko mbele na vizazi burying. Ikiwa tunataka kupata mfumo wa viongozi na sio watawala Tanzania.

Tusiangalie itikadi zetu, tujiunge kwa pamoja kumsaidia kamanda Lissu. Tupate nchi yenye mifano mizuro ya sheria hata ikitokea Kingwendu anajua Rais ataweza kuiongoza.
Kabisa, tunataka mifumo ya taasisi imara na sio mtu imara. Tukiwa na taasisi imara mtu yeyote mwenye sifa za kuwa rais ataongoza kwa mafanikio makubwa. Tunahitaji taasisi zenye uwezo wa kutoa dira ya mwelekeo wa nchi, zenye uwezo wa kumwajibisha yeyote hata kama ni rais.

Tunahitaji utawala wa sheria utakaosimamiwa na hizo taasisi imara. Tunahitaji kuishi kwa kuhofia sheria inasemaje na sio hofu ya kumuogopa mtu.
 
Lissu anahitaji support kubwa nyuma yake kutoka kwa wale wanaoangalia safari yetu huko mbele na vizazi vyetu. Ikiwa tunataka kupata mfumo wa viongozi na sio watawala Tanzania.

Tusiangalie itikadi zetu, tujiunge kwa pamoja kumsaidia kamanda Lissu. Tupate nchi yenye mifumo mizuri ya sheria hata ikitokea Kingwendu anakua Rais ataweza kutuongoza.
dada mambo
 
Hoja si kupambana na ......hoja ni kujenga nchi itakayo fata sheria na iwe ngumu kwa mtu kuvunja katiba apendavyo,hapo hata kama kingwendu atapata kuwa raisi aweze kuongoza si kwa matakwa yake bali sheria imuongoze(mfano ni marekani na trump)
Umenena vyema kabisa mkuu. Nchi za ulimwengu wa kwanza zimepiga hatua za kiuchumi kwa sababu ya kuwa na mifumo na taasisi imara zinazosimamia sheria bila kigugumizi. Kule raia hawamuogopi mtu bali wanaheshimu sheria. Huku kwetu sheria haziheshimiwi matokeo yake tumekuwa wahanga wa kuogopa mtu. Sasa hivi sio kuogopa tu tunasujudia kabisa.
 
Lissu ndio hasa kisiki cha mpingo cha kupambana na Jiwe. Hata wapiga kura wanatakuwa majasiri wa kudai haki yao endapo wataporwa ushindi wao.

Wakina Membe na wengineo wampishe Lissu kwa huu uchaguzi maana hawana uwezo wa kupambana na siasa za kibabe za jiwe. Lissu hasa ndio pekee anayeweza kwenda sambamba na midundo ya Jiwe.
LISSU ONE AND ONLY ONE

kwa siasa za sasa nani angethubutu kumwekea pingamizi Magufuli. Achilia mbali kama pingamizi litafanikiwa au la nani mwenye hiyo Brain na Moyo wa chui kufanya hilo ambalo hata wanachama wenzake tu wameshindwa kufanya ndani ya Chama??
Jana kama ulimwona Membe alikuwa anamwangalia sana Lissu wakati wa Hotupa. Nadhani alikuwa anajitafakari kama ule moto anauweza au la.
 
Magufuli anakura nyingi sana,tena sana.wakati Magufuli anajenga nchi Lissu baada ya kupona akaanza kuzurula ulaya kujidalalisha kwa mabeberu ili atakapopewa nchi awe wakalawao wa kuwapa rasilimali za taifa.
 
Lissu anahitaji support kubwa nyuma yake kutoka kwa wale wanaoangalia safari yetu huko mbele na vizazi vyetu. Ikiwa tunataka kupata mfumo wa viongozi na sio watawala Tanzania.

Tusiangalie itikadi zetu, tujiunge kwa pamoja kumsaidia kamanda Lissu. Tupate nchi yenye mifumo mizuri ya sheria hata ikitokea Kingwendu anakua Rais ataweza kutuongoza.
Naunga mkono "comments" zako kwa asilimia 100

Tatizo la Katiba ya nchi yetu, limemkabidhi madaraka Rais wa nchi hii, ya "mungu mtu" kwa hiyo anajifanyia "blunders" kubwa sana, akiamini kuwa hawezi kushtakiwa anapokuwepo madarakani na hata anapoindoka kwenye madaraka hayo
 
Magufuli hana Diplomasia... ukitaka kupambana naye jitoe uhai wako ukabidhi kwa Yesu...yaani uwe tayari kwenda vitani...vita vya hatari.

Lissu in the ONLY candidate...CDM in last 5 years wamejaribu kutumia demokrasia lakini wameambulia kuwa vilema na wengine hawaonekani walipo.
 
Magufuli anakura nyingi sana,tena sana.wakati Magufuli anajenga nchi Lissu baada ya kupona akaanza kuzurula ulaya kujidalalisha kwa mabeberu ili atakapopewa nchi awe wakalawao wa kuwapa rasilimali za taifa.
unayumba Janja
 
Magufuli hana Diplomasia... ukitaka kupambana naye jitoe uhai wako ukabidhi kwa Yesu...yaani uwe tayari kwenda vitani...vita vya hatari.

Lissu in the ONLY candidate...CDM in last 5 years wamejaribu kutumia demokrasia lakini wameambulia kuwa vilema na wengine hawaonekani walipo.
Bahati mbaya imetokea Lissu amepigwa risasi katika utawala wa Magufuli. Kinachomuuma waliompiga hawajakamatwa wala uchunguzi haukufanyika.

Hata kama huu ndiyo mfumo uliomuweka madarakani Rais Mwinyi, Mkapa (R.I.P), Kikwete na Magufuli lakini Jumba bovu limemwangukia Magufuli.
 
Bahati mbaya imetokea Lissu amepigwa risasi katika utawala wa Magufuli. Kinachomuuma waliompiga hawajakamatwa wala uchunguzi haukufanyika.

Hata kama huu ndiyo mfumo uliomuweka madarakani Rais Mwinyi, Mkapa (R.I.P), Kikwete na Magufuli lakini Jumna bibi limemwangukia Magufuli.
Magufuli hata kaa akanyage Ulaya na USA..sababu ukifika tu ukimalizana na Rais mwenyeji ni LAZIMA kuna press lazima uzi face utake usitake..

Sasa hayo maswali yanaweza mpeleka mtu mochware.
 
Lissu anahitaji support kubwa nyuma yake kutoka kwa wale wanaoangalia safari yetu huko mbele na vizazi vyetu. Ikiwa tunataka kupata mfumo wa viongozi na sio watawala Tanzania.

Tusiangalie itikadi zetu, tujiunge kwa pamoja kumsaidia kamanda Lissu. Tupate nchi yenye mifumo mizuri ya sheria hata ikitokea Kingwendu anakua Rais ataweza kutuongoza.
ni zako.na.zinakutosha mwenyewe
 
Back
Top Bottom