Wagombea prominent mwaka huu ni watatu Magufuli, Lissu na Membe, lkn wanaopewa nafasi kubwa zaidi ya kushinda ni wawili Magufuli na Lissu.
Wagombea hawa wawili tayari wameshajipambanua wazi nini vipaumbele vyao 'first priorities'.
Wakati anachukua fomu ya NEC mgombea wa CCM Rais Magufuli alisema tumuongeze miaka 5 ili amalizie miradi yake aliyoianzisha, madaraja, barabara, ndege, meli, reli, mabwawa nk. miradi ambayo anadhani bila yeye hakuna wa kuiendeleza, akaongeza kusema wakiwapa upinzani watayavunja madaraja aliyoyajenga.
Mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu mara nyingi amekuwa akisema akichaguliwa kitu cha kwanza ni kujenga MIFUMO, mifumo bora ya utawala wa sheria unaozingatia haki za binadamu na utawala bora, mfumo bora wa kodi, mfumo bora wa jeshi la polisi, mfumo bora wa mahakama nk., yaani ni mifumo inayogusa maisha ya mtanzania moja kwa moja.
Kiufupi (summary), nionavyo mimi, uchaguzi wa mwaka huu tunachagua kati ya Utu na Vitu.
Nini kipaumbele chako, maendeleo ya watu au maendeleo ya vitu
Wagombea hawa wawili tayari wameshajipambanua wazi nini vipaumbele vyao 'first priorities'.
Wakati anachukua fomu ya NEC mgombea wa CCM Rais Magufuli alisema tumuongeze miaka 5 ili amalizie miradi yake aliyoianzisha, madaraja, barabara, ndege, meli, reli, mabwawa nk. miradi ambayo anadhani bila yeye hakuna wa kuiendeleza, akaongeza kusema wakiwapa upinzani watayavunja madaraja aliyoyajenga.
Mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu mara nyingi amekuwa akisema akichaguliwa kitu cha kwanza ni kujenga MIFUMO, mifumo bora ya utawala wa sheria unaozingatia haki za binadamu na utawala bora, mfumo bora wa kodi, mfumo bora wa jeshi la polisi, mfumo bora wa mahakama nk., yaani ni mifumo inayogusa maisha ya mtanzania moja kwa moja.
Kiufupi (summary), nionavyo mimi, uchaguzi wa mwaka huu tunachagua kati ya Utu na Vitu.
Nini kipaumbele chako, maendeleo ya watu au maendeleo ya vitu