Jinsi ya Ku view status ya Mtu WhatsApp Bila yeye kuona kama umeview

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
14,937
26,647
1. Screenshot then zoom.

2. Mimi na wewe tufanye mpango itengenezwe App maalumu ambayo itakufanya u view status ya mtu Bila mhusika kujua kama umeview.

We will make a millions and millions.

Asilimia kubwa ya status huwa ni madongo.

Kwa mujibu wa wataalamu hakuna kitu kinauma kama mtu anakuwekea status halafu mpaka ina expire wewe mhusika ulie kusudiwa hauja iview

Yanga mwaka huu watatisha sana. Hapa Morrison kule Chama halafu pale kwenye benchi yupo Uchebe
 
1. Screenshot then zoom.

2. Mimi na wewe tufanye mpango itengenezwe App maalumu ambayo itakufanya u view status ya mtu Bila mhusika kujua kama umeview.

We will.make a.millions and millions.

# Asilimia kubwa ya status huwa ni madongo.

# Kwa mujibu wa wataalamu hakuna kitu kinauma kama mtu anakuwekea status halafu mpaka ina expire wewe mhusika ulie kusudia hauja iview

# Yanga mwaka huu watatisha sana..Hapa Morrison kule Chama halafu pale kwenye benchi yupo Uchebe
Hapo kwenye Yanga kutisha ndo umeharibu
 
1. Screenshot then zoom.

2. Mimi na wewe tufanye mpango itengenezwe App maalumu ambayo itakufanya u view status ya mtu Bila mhusika kujua kama umeview.

We will.make a.millions and millions.

# Asilimia kubwa ya status huwa ni madongo.

# Kwa mujibu wa wataalamu hakuna kitu kinauma kama mtu anakuwekea status halafu mpaka ina expire wewe mhusika ulie kusudiwa hauja iview

# Yanga mwaka huu watatisha sana..Hapa Morrison kule Chama halafu pale kwenye benchi yupo Uchebe
Bila kumsahau senzo
 
1. Screenshot then zoom.

2. Mimi na wewe tufanye mpango itengenezwe App maalumu ambayo itakufanya u view status ya mtu Bila mhusika kujua kama umeview.

We will.make a.millions and millions.

# Asilimia kubwa ya status huwa ni madongo.

# Kwa mujibu wa wataalamu hakuna kitu kinauma kama mtu anakuwekea status halafu mpaka ina expire wewe mhusika ulie kusudiwa hauja iview

# Yanga mwaka huu watatisha sana..Hapa Morrison kule Chama halafu pale kwenye benchi yupo Uchebe
Bange mbaya sana labda Kama mmemchukua Rashid idi chama
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom