mtu

  1. A

    TAMISEMI imemwajiri Babu Lembrice Peter kwa kutumia namba ya kidato cha nne ya mtu mwingine

    Ukistaajabu ya Abdallah Shonde utayaona ya "Babu Lembrice Peter" mwalimu mtarajiwa shule ya msingi Maliwa. Tukiwa tunaendelea kubaini madudu na ukiritimba uliofanywa na TAMISEMI kwenye ajira mpya za walimu, nimebaini kuna mtu ameajiriwa kwa kutumia index namba ya kidato cha nne ya mtu mwingine...
  2. Kifurukutu

    Baada ya Humphrey Polepole kuteuliwa kuwa Mbunge. Je, nani kuchukua nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ndani ya CCM?

    Baada ya Rais Magufuli kumteua Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nafasi yake ya Katibu Itikadi na Uenezi ndani ya CCM ni rasmi sasa uko wazi kwani mheshimiwa Rais alishaweka utaratibu wake kwamba viongozi hawawezi kuvaa kofia mbili katika uongozi. Taarifa...
  3. The Dictator

    Harmonize kavuka mipaka. Mlie karibu na huyu mtu mshaurini vizuri

    Kwa akili ya kawaida mwanaume anaejielewa hawezi kufanya haya. Imefika wakati baada ya mazoea ya kusuka "twende kilioni" naona kaanza kuvaa na zile ''hereni kubwa" za akina mama. Muda utaongea. Tuendelee kuwa watazamaji.
  4. Pastory Kimaryo

    Nawezaje kupata location ya mtu kwa simu

    Kuna wakati nawasiliana na mtu WhatsApp and tunataka kutrade vitu fulani lakini Nakuwa nakosa amani naye, natamani kama ningejua alipo ili akinizingua nimtimbie, sasa ndio nikaja hapa kuomba msaada kama kuna namna naweza kupata location.
  5. Superbug

    Kuhusu kughushi Serikalini, Je, Mtu anaweza kushtakiwa hata mfumo unaomlinda ukiondoka madarakani?

    Kumekuwa na mawazo kwamba ofisi zenye mamlaka zinafanya fojari kwenye taarifa zake kwa faida za kisiasa. Japo hili halijathibitishwa. Mfano Mnyika wa CHADEMA amesema hajapeleka majina yoyote NEC ila NEC inasema Mnyika amesaini barua yenye majina ya Wabunge wa Viti Maalum hapa Kuna harufu ya...
  6. Bujibuji Simba Nyamaume

    Tuna mikwara sana Watu wa Dar es Salaam, kila Mtu mtemi

    DOWN TOWN KITAMBO Kuna Mshkaji wangu mmoja, kipindi hicho naishi Segerea.. Siku moja, ilikuwa Jumamosi, akanipitia home, akaniambia twende Mikocheni saloon. Kweli pamoja na kuishi Segerea, bado misele yangu mingi ilikuwa around Mikocheni na viunga vyake. Sasa nikamuuliza what's so special...
  7. Umojaaaaa

    Mtu mweusi amepigwa na Polisi nchini Ufaransa (Kama George Floyd)

    Mimi ni Mfaransa na nchini yangu Askari Polisi walipiga mtu mweusi na walimsema "Sale nègre" (Mtu mweusi chafu). Video imetazamwa zaidi ya mara 10 Milioni kwenye Twitter Marejeo :
  8. Q

    Halima Mdee bado una nafasi ya kutubu, Heshima na tamaa havikai pamoja

    Ulikuwa umejijengea heshima ndani na nje ya nchi, ndani na nje ya bunge, tambua nguvu na heshima yako ilijengwa na sapoti ya wananchi waliokuzunguka hasa wanachama na viongozi wenzako wa Chadema ambao leo unataka kuwasaliti. Kumbuka ulipokuwa jela ni wanachadema hawa hawa walikuchangia utoke...
  9. Red Giant

    Natafuta mtu aliyesomea linguistic Mbeya

    Wakuu nina kakazi hapa ka kama wiki mbili kufanya. Ninatafuta mtu aliyesomea linguistic, awe ana kompyuta. Akiwa Mbeya ni rahisi zaidi kufanya kazi.
  10. wa stendi

    Jamaa yangu anakula dada na mdogo wake

    Yaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya iwe sasa jamaa ni mwathirika sasa si atakuwa kashawamaliza dada na mdogo wake? Kingine namlaumu sana...
  11. paul sylvester

    Siasa za Ulaya mtu kusema uongo tu hiyo ni sababu tosha ya kuachishwa nafasi yake, wakati huku kwetu hicho ndicho kinachompaisha mwanasiasa

    Wakati kina Zitto, Sarungi, kina Lissu n.k wakiendelea kusambaza uongo juu ya nchi yao na hali ya kisiasa nchini, kule kwa wenzetu Ulaya, Amerika na sehemu zingine zilizostarabika na kuheshimiana, kusema uongo tu ni sababu tosha ya kuwajibishwa kisiasa na hata kutolewa katika nafasi mtu...
  12. dvj nasmiletz

    Inakuwaje tarehe na mwezi wa kuzaliwa na kufa vinafanana?

    Yaani unazaliwa tareh 1 mwezi wa 3 1999 na unakufa tarehe 1 mwezi wa 3 2000
  13. GENTAMYCINE

    Hivi Robert Kyagulanyi a.k.a Boby Wine na JF Founder Mtani wangu Maxence Melo ni Mtu na Kaka yake au? Wanafanana ile mbaya!

    Kuna uwezekano mkubwa Kijana na Mwanasiasa Machachari nchini Uganda Robert Kyagulanyi ( alias ) Boby Wine akawa ana Ndugu yake wa Damu kabisa huku Tanzania aitwae Maxence Melo ila bado hajafahamishwa tu. Ukiwaangalia hawa Wawili wala hutopata shida kuhisi kuwa huenda wakawa ni Ndugu kabisa kwani...
  14. B

    Mtu marketing kwa ajili ya biashara ya utalii anahitajika

    tuko katika mkakati wa kutengeneza na kukuza brand yetu mtu wa masoko ni muhimu hivyo basi kama unadhani ww ni mbunifu, mchapakazi ,unafikiri nje ya box , tuambie kwanini ni ww na si mwingine kwa maneno machache tupe pia uzoefu na ujuzi wako kwa kifupi
  15. S

    Pendekezo: Wakili wa Kimataifa, Robert Amsterdam apewe nishani ya kupigania haki, uhuru na utu wa mtu mweusi

    Huyu bwana ukimfuatilia vizuri, ni wazi amekuwa ni zaidi ya wakili kwani anakuwa pia ni kama mwanaharakati wa kupigania haki za binadamu hasa katika mataifa yanayoongozwa na watawala katili/madikteta wa kiafrika. Ukifuatilia katika akaunti yake ya twitter,utaona jinsi anavyojitoa kulaani...
  16. safuher

    Serikali msijisahau katika hili la daktari kumtibia mtu wa jinsia tofauti na yeye

    Wakuu naomba niipongeze serikali kwa jitihada zake inazofanya katika kuhakikisha ile heshima ya jinsia zote inalindwa. Tukiangalia katika majeshi hasa jeshi la polisi utakuta kuna askari wa kike ambao kama itatokea muhalifu ni mwanamke basi askari yule hakuajiriwa kwa bahati mbaya bali hiyo...
  17. Analogia Malenga

    Maxence Melo: Nashukuru kuwa mtu huru kutembea nje ya Dar bila kuomba ruhusa

    Mkurugenzi mtendaji wa JamiiForums amesema anashukuru sana kwa kuwa sasa ni mtu huru kutembea nje ya Dar-es-Salaam bila kizuizi chochote cha kisheria. Awali alikuwa na zuio, ambalo lilikuwa linamtaka apate ruhusa maalumu ya kutoka nje ya Dar kutokana na kesi zilizokuwa zinaikabili JamiiForums...
  18. YEHODAYA

    Buou ni kweli Tanzania imefikia uchumi wa kati kama mtu anabisha aangalie hii video ya nchi ya Cameroon

    Tanzania tuko uchumi wa kati anayebisha ushahidi huu hapa angalia video hii ya nchi ya Cameroon
  19. T

    Usiwanange watu, usitweze utu wa mtu wala usimuapie mtu

    Usitweze utu wa mtu kwa sababu ya cheo au nafasi ulioko maana alie kupa wewe ndie amewanyima wale na sio aliwanyima kwamba hawafai lahasha alikupa tu wala ukimuuliza why alikupa atakujibu neno moja tu nampandisha yeyote nimtakae na kumshusha yeyote nimtakae. Why mnanyanyasanya kwa vyeo na...
  20. Idugunde

    Prof. Kabudi: Mungu ndiyo humtoa mtu jalalani sio Rais Magufuli

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba Kabudi amefafanua vizuri kauli yake ya kutoka jalalani mpaka kuwa Waziri. Ikumbukwe hapo awali wafuasi wa CHADEMA kwa upofu wa kutokujua neno la Mungu nikimaanisha Biblia wengi walisema kwamba, Prof. Kabudi alimaanisha...
Back
Top Bottom