Je, wajua kuwa mtu mwenye hali ya chini ya chini ataathirika zaidi na tozo za miamala kuliko mwenye hela? Tazama Asilimia!

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,734
6,292
Je, wajua Ukiwa mtu mwenye HALI ya chini hasa unayetumatuma kati ya 5000/= mpaka 100,000/= , ndo unaathirika zaidi na hizo tozo kuliko mtu mwenye HELA!... (Tazama Jedwali hapo chini!)

Kwanini?:
Msitizame TOZO tizameni %ge ya tozo! . Yaani ukituma Elfu hamsini kijijini mara kumi ikafika Milioni utakuwa umekatwa jumla ya Shillingi 41,000 wakati mwenzako mwenye MZIGO akituma Milioni atakatwa 8900 tu.

Kwanini Asilimia Kubwa ya tozo imewekwa katika kutuma pesa kuanzia 5,000/= mpaka 300,000/= ?

JIBU:
Mwigulu na wenzake wamefanya utafiti kwa kuchukua takwimu na kubaini kuwa sehemu kubwa ya miamala inayozunguka kwenye mitanao ya simu ni ya kiwango hiki cha ELFU TANO mpaka LAKI TATU (Na wengi zaidi ni hasa kufikia shilingi LAKI MOJA) hivyo range ya asilimia ingekuwa sawa kama VAT wao wasingefaidika na miamala mikubwa hivyo wao wameangalia kundi linalotuma sana miamala na kuliwekea tozo kubwa. (Levy per transaction)

Na swali kuu hapa ni kwa nini kama wanakata Levy per Transaction kwa nini wasiwe na Standard Levy kwa kila muamala au wangekuwa na Fixed rate ya asilimia kwa fedha inayotumwa. Why kuna kundi limewekewa %ge kubwa?

Tatizo hawakuangalia wala kujali kuwa kundi hili ni la watu wa aina gani?.Walifocus zaidi kwenye hitaji lao la kukamua Maziwa ya kutosha bila kuangalia hali ya Ng`ombe kama ana afya au lah!

Serikalisikivu hii kweli?

E6X5WcaXMAM2Aj6.jpg



E6ZrZDMWQAAKibO.jpg



Anayetoa TZS 200 Serikali inamkata kodi ya 7%. Anayetoa TZS 1000 mnamkata 7.3%. Kwenye KODI lazima kuwe na “proportionality” na “equity”. You are taxing the non-bankable economically disadvantaged for using mobile money systems. It’s a bad policy.
 
Kuna watu wana roho mbaya! Ila mwigulu amezidi aisee! Halafu akihojiwa anafurahia tu!!! Najuta kushabikia timu moja na huyu kiumbe.
 
Sasa miamala ni ya man to man dadek!!!

Lazima mumkumbuke jemidari wa Africa fangasi wa miguu mitatu nyie
 
Je wajua Ukiwa mtu mwenye HALI ya chini hasa unayetumatuma kati ya 5000/= mpaka 100,000/= , ndo unaathirika zaidi na hizo tozo kuliko mtu mwenye HELA!... (Tazama Jedwali hapo chini!)

Kwanini?:
Msitizame TOZO tizameni %ge ya tozo! . Yaani ukituma Elfu hamsini kijijini mara kumi ikafika Milioni utakuwa umekatwa jumla ya Shillingi 41,000 wakati mwenzako mwenye MZIGO akituma Milioni atakatwa 8900 tu.

Kwanini Asilimia Kubwa ya tozo imewekwa katika kutuma pesa kuanzia 5,000/= mpaka 300,000/= ?

JIBU:
Mwigulu na wenzake wamefanya utafiti kwa kuchukua takwimu na kubaini kuwa sehemu kubwa ya miamala inayozunguka kwenye mitanao ya simu ni ya kiwango hiki cha ELFU TANO mpaka LAKI TATU (Na wengi zaidi ni hasa kufikia shilingi LAKI MOJA) hivyo range ya asilimia ingekuwa sawa kama VAT wao wasingefaidika na miamala mikubwa hivyo wao wameangalia kundi linalotuma sana miamala na kuliwekea tozo kubwa. (Levy per transaction)

Na swali kuu hapa ni kwa nini kama wanakata Levy per Transaction kwa nini wasiwe na Standard Levy kwa kila muamala au wangekuwa na Fixed rate ya asilimia kwa fedha inayotumwa. Why kuna kundi limewekewa %ge kubwa?

Tatizo hawakuangalia wala kujali kuwa kundi hili ni la watu wa aina gani?.Walifocus zaidi kwenye hitaji lao la kukamua Maziwa ya kutosha bila kuangalia hali ya Ng`ombe kama ana afya au lah!

Serikali ya wanyonge hii kweli?

View attachment 1855576
Nipende kurekebisha hapo. Hii si serikali ya Wanyonge. Maana tulikikataa jina hilo.
Serikali ya Wanyonge ilikufa na Magufuli.
 
Je wajua Ukiwa mtu mwenye HALI ya chini hasa unayetumatuma kati ya 5000/= mpaka 100,000/= , ndo unaathirika zaidi na hizo tozo kuliko mtu mwenye HELA!... (Tazama Jedwali hapo chini!)

Kwanini?:
Msitizame TOZO tizameni %ge ya tozo! . Yaani ukituma Elfu hamsini kijijini mara kumi ikafika Milioni utakuwa umekatwa jumla ya Shillingi 41,000 wakati mwenzako mwenye MZIGO akituma Milioni atakatwa 8900 tu.

Kwanini Asilimia Kubwa ya tozo imewekwa katika kutuma pesa kuanzia 5,000/= mpaka 300,000/= ?

JIBU:
Mwigulu na wenzake wamefanya utafiti kwa kuchukua takwimu na kubaini kuwa sehemu kubwa ya miamala inayozunguka kwenye mitanao ya simu ni ya kiwango hiki cha ELFU TANO mpaka LAKI TATU (Na wengi zaidi ni hasa kufikia shilingi LAKI MOJA) hivyo range ya asilimia ingekuwa sawa kama VAT wao wasingefaidika na miamala mikubwa hivyo wao wameangalia kundi linalotuma sana miamala na kuliwekea tozo kubwa. (Levy per transaction)

Na swali kuu hapa ni kwa nini kama wanakata Levy per Transaction kwa nini wasiwe na Standard Levy kwa kila muamala au wangekuwa na Fixed rate ya asilimia kwa fedha inayotumwa. Why kuna kundi limewekewa %ge kubwa?

Tatizo hawakuangalia wala kujali kuwa kundi hili ni la watu wa aina gani?.Walifocus zaidi kwenye hitaji lao la kukamua Maziwa ya kutosha bila kuangalia hali ya Ng`ombe kama ana afya au lah!

Serikalisikivu hii kweli?

View attachment 1855576


View attachment 1856225


Anayetoa TZS 200 Serikali inamkata kodi ya 7%. Anayetoa TZS 1000 mnamkata 7.3%. Kwenye KODI lazima kuwe na “proportionality” na “equity”. You are taxing the non-bankable economically disadvantaged for using mobile money systems. It’s a bad policy.

You are right bro....

Ni wazi kuwa mambo haya yameanzishwa tu pasipo kufanyiwa utafiti wa kutosha...

Huko serikalini ina maana hakuna washauri wabobezi wa uchumi, fedha na kodi...?

Hii kitu kuna mtu aliota tu usiku na kuamka na kuamua iwe hivi...

Sina hakika hata kama mapendekezo haya yalipitia kwenye cabinet kabla ya kwenda bungeni. Kama yalipitia, basi mawaziri wote na wataalamu wao ni "wajinga" sana kiasi cha kushindwa kuona shida hii...

Bahati mbaya na bungeni ambako kila mtu angetarajia bajeti hii ichambuliwe kwa macho angavu matati na kupata objections toka kwa wawakilishi wa wananchi, nako kumbe kumejaa wajinga watupu....

Generally speaking ni kuwa, nchi hii iko mikononi mwa wajinga watupu...!!
 
Kuna watu wapo duniani ili waonewe tu, mbele tabu, nyuma shida, juu mawe, chini misumari na midomo kufuli. Poleni sana tabaka onewa...
 
Kwa hiyo sasa hivi wale wa "babe tuma na ya kutolea" inabidi tuwe tunawatumia kuanzia 1,000,000 ili kuepuka athari za tozo za miamala 🤣
 
Mtu aliyeshiba sidhani Kama anakufukiriaje wewe mwenye njaaa.
Kwanza shibe ni ulevi wa akili kufanya kazi vizuri.mtu amekaa kwa veiti ac sidhani Kama anajua wa hiace unapata shida gani.
Nadhani hakuna.
Yaani mtu samaki kuku matunda maziwa yanaozea kwenye friji jamani wanapelekewa mbwa ama pig sidhani wewe unayelala njaa anakuwazia ama Ana uchungu na wewe.
Mtu ndiye tumemchagua akishafika huko akikohoa kidogo check nje hela zetu wewe unalazwa kitanda kimoja wawili na akina mama wajazito wanalazwaa chini hakuna vitanda sidhani Kama Ana maumivu naye.

Yaani mtu anajisikia tu kuburudika anaileta Brazil wacheze na tz anatoa 3Bn kweli Hawa jamaa wanaishi very luxury life.
Wakati wewe unachukua Malaya wa buguruni yeye anaenda Germany,Brazil,Dubai n.k kuburudika na warembo na wanamfanyia masaje.
Nyie acheni siku mpaka mkiumia mkitoka nje majumbani tukasimama roads watakoma Hawa. Na siku inakuja tu.
Eti inaenda kujenga roads village mbona Kodi zingine hawasemi zinaenda wapi ni iyo ni kupooza ili uone wakijijini wanajaariwa kwani wao sio sehemu ya Kodi ambayo tunalipa kila siku
 
Je wajua Ukiwa mtu mwenye HALI ya chini hasa unayetumatuma kati ya 5000/= mpaka 100,000/= , ndo unaathirika zaidi na hizo tozo kuliko mtu mwenye HELA!... (Tazama Jedwali hapo chini!)

Kwanini?:
Msitizame TOZO tizameni %ge ya tozo! . Yaani ukituma Elfu hamsini kijijini mara kumi ikafika Milioni utakuwa umekatwa jumla ya Shillingi 41,000 wakati mwenzako mwenye MZIGO akituma Milioni atakatwa 8900 tu.

Kwanini Asilimia Kubwa ya tozo imewekwa katika kutuma pesa kuanzia 5,000/= mpaka 300,000/= ?

JIBU:
Mwigulu na wenzake wamefanya utafiti kwa kuchukua takwimu na kubaini kuwa sehemu kubwa ya miamala inayozunguka kwenye mitanao ya simu ni ya kiwango hiki cha ELFU TANO mpaka LAKI TATU (Na wengi zaidi ni hasa kufikia shilingi LAKI MOJA) hivyo range ya asilimia ingekuwa sawa kama VAT wao wasingefaidika na miamala mikubwa hivyo wao wameangalia kundi linalotuma sana miamala na kuliwekea tozo kubwa. (Levy per transaction)

Na swali kuu hapa ni kwa nini kama wanakata Levy per Transaction kwa nini wasiwe na Standard Levy kwa kila muamala au wangekuwa na Fixed rate ya asilimia kwa fedha inayotumwa. Why kuna kundi limewekewa %ge kubwa?

Tatizo hawakuangalia wala kujali kuwa kundi hili ni la watu wa aina gani?.Walifocus zaidi kwenye hitaji lao la kukamua Maziwa ya kutosha bila kuangalia hali ya Ng`ombe kama ana afya au lah!

Serikalisikivu hii kweli?

View attachment 1855576


View attachment 1856225


Anayetoa TZS 200 Serikali inamkata kodi ya 7%. Anayetoa TZS 1000 mnamkata 7.3%. Kwenye KODI lazima kuwe na “proportionality” na “equity”. You are taxing the non-bankable economically disadvantaged for using mobile money systems. It’s a bad policy.
Kukatwa lazima sema tuu viwango ndio havijazingatia equity.. Serikali imeangalia pesa tuu maana hapo walisema watakusanya T1
 
Kuna Kila hatari kwa mimba kuongezeka maana wale waliokua wanawatumia wapenzi wao sasa itabidi wahusika wazifuate na wakizifuata nadhani kinachotokea kinafahamika.
 
Back
Top Bottom