Hivi kuna mtu anaishi maisha na kazi ya ndoto yake hapa Tanzania

ommytk

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
482
1,053
Hivi kwa Africa kweli kuna mtu anaishi kwenye ndoto zake yaani kama ulikuwa unatamani kuwa pilot ukawa pailot. Sijui hii ipo kweli mimi nilikuwa nandoto kuwa kapteni wa meli daah nikikumbuka hii ndoto wakati namuona mjomba zamani akija nyumbani basi nikawa nasema mimi nitakuwa kama wewe mjomba.

Daaah now nipo kwa Wahindi mtaa Libya nauza duka la vifaa vya baiskeli tu sijui hata mwisho wangu ukoje maisha bwana.
 
Natamani pia ningekua na ndoto labda ningeipigania. Ila ndo ivo mi sina ndoto naunga unga tu plan za muda mfupi na mrefu.

Zamani ilikua nikiulizwa nataka kua nani nawaambia daktari tu ili kuepusha maswali ila walaaa hata sikuaga na passion na huo udaktari.
 
Natamani pia ningekua na ndoto labda ningeipigania. Ila ndo ivo mi sina ndoto naunga unga tu plan za muda mfupi na mrefu.

Zamani ilikua nikiulizwa nataka kua nani nawaambia daktari tu ili kuepusha maswali ila walaaa hata sikuaga na passion na huo udaktari.
Ndoto za watoto wa zamani hata wa siku hizi ni za kumezeshwa na wazazi. Ndoto ya mtoto inaanza kujitengeza pale mtoto anapojitambua 18±

Wazazi walifanya tukajipa ndoto ambazo hata hazikuwa zetu kabisa.
 
Ndoto za watoto wa zamani hata wa siku hizi ni za kumezeshwa na wazazi. Ndoto ya mtoto inaanza kujitengeza pale mtoto anapojitambua 18±

Wazazi walifanya tukajipa ndoto ambazo hata hazikuwa zetu kabisa.
Labda ila mi sikuaga ata na ndoto za kuja kua nani nani sijui.
Nawaza tu michongo itayonipa doh kwa sasa na baadae, ila sio kuwaza kuja kua mtu fulani.
 
Halafu nilishapiga marufuku (natania) kueleza kwa ujumla (Generalization) kwamba, "Africa" ukiwa unataka kueleza habari za Tanzania. Wewe sema "Tanzania" na siyo "Africa".

Ieleweke Afrika ina nchi nyingi sana. Hazifanani zote.

Kuna nchi zimepiga hatua katika nyanja za kiuchumi, kisiasa, na kijamii huku Tanzania tukibaki tunajikongoja.
 
Hivi kwa africa kweli kuna mtu anaishi kqenye ndoto zake yaaani kama ulikuwa unatamani kuwa pailot ukawa pailot.sijui hii ipo kweli mimi nilikuwa nandoto kuwa kapteni wa meli daah nikikumbuka hii ndoto wakati namuona mjomba zamani akija nyumbani basi nikawa nasema mimi nitakuwa kama wewe mjomba daaah now nipo kwa wahindi mtaa libya nauza duk a la vifaa vya baiskeli tu sijui ata mwisho wangu ukoje maisha bwana
Yes Wapo sana ,Sometimes World is not so shit
 
Mkuu mwaka 1992 nipo shule.
Nilitengeneza DISCHARGE BOOK FAKE.(seaman book)
nikawa natembea nayo mfukoni.

Leo ni kwl ni baharia...
Maisha na kazi yanakuja automatically.
Wengi wetu kazi tulizokuwa nazo tulizitamani utotoni bila kujuwa.
 
Hivi kwa Africa kweli kuna mtu anaishi kwenye ndoto zake yaani kama ulikuwa unatamani kuwa pilot ukawa pailot. Sijui hii ipo kweli mimi nilikuwa nandoto kuwa kapteni wa meli daah nikikumbuka hii ndoto wakati namuona mjomba zamani akija nyumbani basi nikawa nasema mimi nitakuwa kama wewe mjomba.

Daaah now nipo kwa Wahindi mtaa Libya nauza duka la vifaa vya baiskeli tu sijui hata mwisho wangu ukoje maisha bwana.

Dah Mimi ata sijawah ku wish niwe nan mana sikua na role model kwenye ukoo ila na ishi tu kwa nlichosomea chuo...
 
Hivi kwa Africa kweli kuna mtu anaishi kwenye ndoto zake yaani kama ulikuwa unatamani kuwa pilot ukawa pailot. Sijui hii ipo kweli mimi nilikuwa nandoto kuwa kapteni wa meli daah nikikumbuka hii ndoto wakati namuona mjomba zamani akija nyumbani basi nikawa nasema mimi nitakuwa kama wewe mjomba.

Daaah now nipo kwa Wahindi mtaa Libya nauza duka la vifaa vya baiskeli tu sijui hata mwisho wangu ukoje maisha bwana.
Tupo Mkuu!

Grace of God Almighty is real.
 
Ndoto za watoto wa zamani hata wa siku hizi ni za kumezeshwa na wazazi. Ndoto ya mtoto inaanza kujitengeza pale mtoto anapojitambua 18±

Wazazi walifanya tukajipa ndoto ambazo hata hazikuwa zetu kabisa.
kuna ukweli japo sio wote.

wazazi wangapi walipenda watoto wawe wawe wataalamu (Engineers, Doctors,Lawyers, Accountants, Nurses,Teachers etc) na watoto hawakufikia hizo level?
 
Hivi kwa Africa kweli kuna mtu anaishi kwenye ndoto zake yaani kama ulikuwa unatamani kuwa pilot ukawa pailot. Sijui hii ipo kweli mimi nilikuwa nandoto kuwa kapteni wa meli daah nikikumbuka hii ndoto wakati namuona mjomba zamani akija nyumbani basi nikawa nasema mimi nitakuwa kama wewe mjomba.

Daaah now nipo kwa Wahindi mtaa Libya nauza duka la vifaa vya baiskeli tu sijui hata mwisho wangu ukoje maisha bwana.
Wapo.

Waalimu, madaktari, wanasheria, wanajeshi, wasanii, madereva
 
Back
Top Bottom