mtu

  1. Red Giant

    Kwanini inasemwa kuwa mshahara wa mtu ni siri?

    Wakuu kwa nini inasemwa hivyo? Hii ni duniani kote au hapa kwetu tu?
  2. F

    Hizi ni miongoni mwa sababu zinazofanya kila mtu hapa sasa anatamani kuwa Mwanasiasa na hasa Mbunge!

    Sitaki kuongea mengi kuhusu suala la watu wengi hapa Tanzania sasa kutamani kufanya kazi ya siasa na hasa kuwa Mbunge. Na ukitazama vizuri utagundua kuwa hii ndo siri kubwa ya kujitokeza kwa WATIA NIA ( Wagombea Ubunge wengi katika kura za maoni za CCM mwaka jana kuvunja rekodi). Watu wengi...
  3. KENZY

    Kuwa mtu wa malalamiko sana ni dalili ya kukata tamaa

    Nimeishi nimejionea watu wa namna hii maongezi yao asilimia kubwa ni kulaumu na kulalamika. Hii ni dalili mbovu na ni mbaya mno kwani huonyesha mtu husika kuwa ni mtu ambae ameshakata tamaa na kilichobaki ni kulaumu na kulalamika kwa mambo mengine ambayo hayana nyuma wala mbele! Inawezakuwa ni...
  4. Miss Zomboko

    Uganda: Askofu avuliwa nafasi za kuhudumia Kanisa kutokana na kashfa ya kutoka kimapenzi na mke wa mtu

    Kanisa la Kianglikana nchini Uganda limemvua cheo aliyekuwa askofu mkuu wa kanisa hilo, Stanley Ntagali, na kusitisha utendaji wa majukumu ya uaskofu pamoja na kuzuiwa kuwakilisha kanisa hilo kabisa kwasababu ya madai ya uzinzi. Bwana Ntagali alistaafu mwaka jana Machi baada ya kuhudumu kwa...
  5. C

    Si kila mtu ni wa kumueleza shida zako, wengine hufurahia moyoni

    Hata kama una shida au changamoto kiasi gani, si vizuri kumueleza kila mtu shida zako kwani, huwa wengine wanafurahia mapito yako(wanafiki) na hawawezi kukupa msaada wowote zaidi ya pole ya kinafiki tu.
  6. Erythrocyte

    Waliofukuzwa CHADEMA waanza kupewa vyeo Bungeni, Grace Tendega awa Mwenyekiti wa LAAC

    Grace Tendega, mmoja wa Wasaliti waliojiteua na kuapishwa na Ndugai kuwa wabunge wa viti maalum kutoka Chadema, leo ametunukiwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa ( LAAC ) Bado haijafahamika kama aliomba nafasi hiyo au amepewa bure. Bali swali kubwa ni hili , ni yupi...
  7. B

    Sijalipwa mshahara miezi 8 na mkataba sipewi napewa posho tu msaada jamani wapi nipeleke malalamiko?

    Habari samahani naomba kuuliza kwa mtu anae elewa hili swala kama mtu umeahidiwa mkataba na boss na hataki kutoa mwisho wa siku zaidi ya mwaka hujapewa mkataba na unapewa posho tu napo akijisikia hivi swala kama hili wapi naweza toa lalamiko na nikasaidiwa kisheria.
  8. YEHODAYA

    Nawezaje kuweka Playstore Application yangu niliyotengeneza ili kuuza na mtu aki download pesa napataje?

    Wataalam, Nawezaje kuweka play store application yangu niliyotengeneza ili kuuza na mtu aki-download pesa napataje?
  9. M

    Kumekucha! Mwenye Mkoa wake kaja na bonge la Mkwara na wala hatanii na Wamakonde nao wamesema wataondoka na Mtu

    Mkuu wa Mkoa wa Mtwara ameliomba Baraza la Mitihani nchini kukanusha taarifa inayosambaa mitandaoni ikisema shule kumi za mwisho kitaifa zinatoka mkoani Mtwara jambo ambalo si kweli na hivyo kuleta sintofahamu kwa mkoa na umma wa Watanzania. Taarifa: ITV Tanzania Hata hivyo Mpiga Mkwara Mkuu...
  10. Komeo Lachuma

    Huu mwaka umeanza na mazonge zonge mengi. Mtu mpaka nawaza Utaishaje. Mapema tu naanza umizwa roho

    Mwaka umeanza na mazonge mengi sana. Hapa tayari naona kama nimechunwa ngozi na kuanikwa juani nikauke. Yaani binadamu unawaamini wanakuja kukutenda vibaya namna hii? Nimelia sana toka asubuhi. Hili group langu nlilianzisha toka mwaka 2012 hebu fikiria lina umri wa mtu kabisa anayejielewa...
  11. Carleen

    Hivi kimaadili ni sahihi mke wa mtu kumsifia mwanaume mwingine?

    Hi guys, Leo hata sina mengi naomba tu kuuliza hili, tunafahamu kuwa wanaume huwa mabingwa wa kutusifia wanawake, uwe umependeza, unanukia vizuri, au vyovyote vile inavyofaa kiheshima na huwa hawatazami huyu ni mke wa mtu ama mchumba wa mtu, huwa wana appreciate tu, na hakuna atakayelishangaa...
  12. M

    Ndoa siitaki kwasababu kila harusi utasikia "ndoa ni uvumilivu"

    Maisha haya ni mafupi sana. Huna haja ya kujinyima raha ya nafsi yako hata kwa dakika moja. Pwani kuna msemo kuwa "raha jipe mwenyewe". Kuna watu wanadhani wakiingia kwenye hiyo jela iitwayo ndoa watapata raha, wanaishia kupata karaha lkn wanaambiwa wavulilie. Yaani waugulievndani kwa ndani...
  13. YEHODAYA

    Kijana kama unakesha usiku kucha kusoma ufaulu; kama ajira huna unatakiwa kukesha pia usiku kucha kuwaza ufanye nini upate pesa

    Vijana wengi hukesha hata usiku kucha kusoma ili wafaulu mtongani Akishamaliza vyuo na kupata vyeti hushinda tu akilalamika ajira hamna huku akikesha kuchat na simu kuhangaika kuangalia movie na ujinga mwingine wa mitandaoni. Hakeshi kuwaza na ku-brain storm afanye nini ili apate pesa. Vijana...
  14. sky soldier

    Big tech under the thumb: Kumkata Trump ulimi ni kielezo tosha juu ya hofu ya anachotaka kusema

    Wengi tumepigwa butwaa baada ya mitandao ya kijamii kama twitter na youtube kumfungia Raisi Donald Trump account zake huku wakati huo huo account za ma dictator zikiwa bado zinapumua bila bugudha yoyote. Hali hii imeleta tafsiri ya wazi kwamba mitandao hii ya kijamii ina nguvu kuliko taasisi...
  15. Z

    Mtu aliyeingia nchini kinyume cha utaratibu (bila vibali) anaweza pata haki ya kudhaminiwa?

    Wadau naomba kujua ni utalatibu gani wa ki haki na kisheria unaoweza kutumika ili uweze kumsaidia mtu aliedakwa kwa kuingia nchini bila kibali Ahsante
  16. Z

    Mtu kama ni mkimbizi anaruhusiwa kuendelea kujihusisha na masuala ya nchi yake?

    Nauliza tu maana naona wanaojiita wakimbizi wa kisiasa wakiendelea kujihusisha na masuala ya nchi yetu. Sheria inayohusu masuala ya wakimbizi inasemaje?
  17. sky soldier

    Niliwahi ku-date na mwanaJF, ilikuwa hivi, wewe je?

    Mkasa huu nawaletea ulitokea kipindi cha mwaka 2013 nikiwa nasoma chuoni Arusha (IAA – Institute of accountancy Arusha) , nilikuwa na miaka 22 Miaka hiyo nilikuwa natumia ID nyingine humu JF, JF enzi hizo tulikuwa wachache sana humu jamiiforums maana smatphones zilikuwa bei sana, bando...
  18. Analogia Malenga

    Wizara ya Afya: Wasafiri watapimwa covid19 kwa dola 100

    Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imetoa muongozo mpya wa upimaji kwa wanaosafiri kwenda nje ya nchi kutokana na kuongezeka kwa idadi ya wanaoambukizwa #COVID19 na kuwepo kwa vimelea vipya kwa baadhi ya nchi Wizara imetangaza kupanda kwa gharama za upimaji wakisema kuwa...
  19. Planett

    Ila JK ni mtu mmoja mjanja sana

    Leo nimeamini kua JK ni mjanja sana,. Check response yake kwenye maswali aliyoulizwa na Salama Jabir. Salama: Kwanini watu wanakupenda sana. JK: Waulize haohao wanaonipenda mimi sijui bwana Salama: Lakini unajua kuwa tunakupenda JK: (Pause kidogo)... Najua kuwa hamnichukii Ila JK wewe sawa tu...
  20. Zacht

    Kuna aliyepangilia mambo haya, hayakufanyika kwa bahati nasibu

    Hebu fikiria unaokota saa jangwani ungehitimisha kwa kufikiri nini? Je, ungedhani kuwa mtu amedondosha saa hio? Au ungedhani kuwa saa hiyo ilikuja yenyewe? Kwa kweli hakuna mtu mwenye akili timamu atakayesema kuwa saa hiyo ilitokea tu katika mchanga. Saa hio lazima iwe na mtengenezaji...
Back
Top Bottom