Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 1,530
- 3,592
Nina ndugu aling'atwa na ng'e mara mbili kwa wakati mmoja kutokana na maumivu makali aliyokuwa nayo alikimbizwa hospital nakupatiwa matibu zimepita siku sita sasa toka apatiwe matibabu nakumaliza dozi aliyopewa lakini leo ameanza kuvimba na kukakamaa mwili mzima.
Je hii inaashiria nini?
Ni kwamba sumu haijatoka na ilisambaa kwa kiasi kikubwa mwilini?
Afanye nini ili aweze kuondokana na hiyo hali.
Ushauri wenu wapendwa
Je hii inaashiria nini?
Ni kwamba sumu haijatoka na ilisambaa kwa kiasi kikubwa mwilini?
Afanye nini ili aweze kuondokana na hiyo hali.
Ushauri wenu wapendwa