mtu

  1. B

    Simba hii ya Okrah tukipata mtu wa kukaba katikati

    Wapinzani wajiandae, MO anafanya kazi sasa naanza kuelewa. Tukipata mkabaji pale ktkt ***** aje na huyo manzoki pale mbele. BEKI QUTTARA achukue nafasi ya ONYANGO SIMBA ITAKUWA MOTOOOOOOOOOOOOOOOO
  2. Komeo Lachuma

    Jenerali Ulimwengu ni mtu Hatari sana kwa Ustawi wa Taifa Staarabu. Ana Uhatari Mkubwa katika kauli zake

    Jenerali Ulimwengu ukimsikiliza utagundua yeye hudhani ni very smart. Hudhani ana akili kuliko wengi. Kauli ambazo anatoa huwa hazina staha na si za kisomi. Ni kauli za kijivuni na kibri ya hali ya juu. Ukiangalia maeneo mengi ambayo Jenerali atakuja zungumza ni pale ambapo kuna maslahi yake...
  3. P

    Lary Fink: Mtu mwenye nguvu zaidi Duniani kwenye ulimwengu wa fedha

    Kampuni yenye nguvu zaidi Duniani na kwa bahati mbaya unaweza usiwe unaijua, kwa jina ni BlackRock. Hadi sasa Kampuni hii ina manage Mali zenye thamani ya Dola Trilioni nane( USD 8 Trillion) (hii ni kwa makadirio sawa na pesa za kitanzaninia Trilioni 18,400/-) moja kwa moja(Directly) na...
  4. Joao de Matos

    Kuzaa na mtu haikupi uhalali wa kuolewa naye

    Kuzaa na mtu sio ndoa, unaweza ukazaa na mtu na asikuoe pia na hata ukalalamika kwa wazee wake kama hata taka kukuoa hatakuoa tuu. Wasichana ujitunzi usizae tuu, na hata wazazi wako wakisema na kulalamika kwa familia ya mwanaume huyo mwanaume anaweza akakubali mtoto na asikuoe. Kuna kijana...
  5. M

    Nini kilikutokea baada ya kujifanya mjuaji kwenye kitu usichokijua

    Mimi bhana nakumbuka nikiwa kama house boy boss wangu alikuwa ananiamini sana hivo alikuwa na gari kama tano hivi Alikuwa na tabia ya kuniachia funguo za gari ambayo ni chafu ili niioshe Sasa bhana siku hiyo akaniachia funguo ya gari land cruise, alipo toka tu nikaenda kufungua gari na kutia...
  6. M

    Kitu gani unakijua kwa mtu wako wa karibu huku yeye akiamini hujui?

    Nakumbuka huyu mzee mke wake alisafiri baada ya kupata msiba Mbeya sasa, hii nyumba yake ina vyumba vinne vya ndani na vina wapangaji, sasa kuna mpangaji mmoja wa kike anaishi singo, basi bhana mimi ninapolala napakana na chumba chake na mkewe, na havina ceiling board, basi nikasikia mlango simu...
  7. FRANCIS DA DON

    Naomba kuelimishwa; matrillion ya pesa yanayokusanywa kwenye kodi ya ‘Fuel marking’ yanaenda serikalini au kuna mtu anabugia asali?

    Wakati najaribu kutafuta ‘uchawi’ unaotumika kufanya bei ya mafuta ambayo gharama zake zote hadi kuyafikisha bandarini Dar es Salaam ni 1,116/= kuuzwa kwa bei inayofika hadi 3,500/= baadhi ya mikoa (tofauti ya 2,500/= kwa lita), nilikutana na ‘kodi’ inaitwa ‘Fuel marking’ Katika kujaribu...
  8. Mokaze

    Kumbe viungo (organs) vya nguruwe vinashabihiana na viungo vya binadamu !! 😱.

    Wakuu hii threads haihusiani na masuala ya imani za kidini, ni katika kujiuliza tu; ni kwanini Wanyama hususani jamii ya nyani ambao ndio tunashabihiana nao sana, hawatumiwi sana katika tafiti za tiba kwa ajili ya kupata viungo vya kupandikizwa watu wenye mahitaji ya viungo kama; figo, moyo...
  9. Kijakazi

    Ulimwengu then- Magufuli fights against Corruption , Inefficiency and lack of accountability!

    Hiyo hapo chini interview ya Ulimwengu baada ya Magufuli kuchaguliwa kuwa raisi wa Tanzania, kamwagia sifa kibao na kumponda Kikwete kwa kumuuzi Kagame, ukiangalia na kusoma vizuri utaona who is pulling the strings hapa Tanzania, jisomee mwenyewe hapo chini, Ulimwengu wa wakati Magufuli...
  10. GENTAMYCINE

    Kuna Mtu anaenda 'Kuabishwa' na kutokuja kwa Aziz K Klabuni Kwake ambako amewadanganya kuwa amemalizana nae

    Yaani Klabu kama Berkane FC wamtake na Wewe na Vipesa vyako vya Dhuluma na Ukwepaji Kodi wa Ofisi yako ya Salamander Posta ndiyo umpate? Jiandae Kuumbuka tu Kudadadeki!!!!
  11. M

    Mtu gani umepotezana nae na unatamani hata sasa umuone tu hata mara moja?

    Ni mschana fulani hivi nilitokea kumpenda na yeye alitaka nimuoe ila mimi nilikuwa bado sina hata kitanda lakini mwisho wa siku alinipigia simu akiniomba ruhusa nimruhusu aolewe nilimkubalia ila sijajua kama kashaolewa tayari au la ila mimi nimeshaoa tayari
  12. ommytk

    Kuna uhusiano gani kati ya unene na mtu aliyefanikiwa kimaisha?

    Kuna hii hali mara nyingi naiona kwa watu aidha hata wewe unaweza kuwa umekutana nayo unakuta mtu alikuwa mwembamba labda akaanza kunenepa basi watu hutokea sana kumsifia kuwa mambo yake yamekuwa mazuri. Je, unene ni kipimo cha maendeleo yako kimaisha?
  13. Pascal Mayalla

    Ushauri wa Bure kwa Dkt. Hussein Mwinyi: Mfute Kazi Haraka Othman Masoud Kabla Hajaendelea Kueneza Sumu

    Wanabodi, Politics is a game like any other games, that people plays, it has its rules and regulations, ukikiuka unaweka pembeni. Yaani mchezo wa siasa pia ni mchezo kama mchezo mwingine wowote, una sheria zake, taratibu na kanuni, ukikiuka, unapewa kadi nyekundu unawekwa pembeni. Serikali ya...
  14. heartbeats

    Pick up lines weka wako lengo kila mtu atabasamu

    wakuu hakuna kitu kizuri kama tabasamu katika uso wa binadamu uzi huu ktk coment weka line ambayo mtu akisoma atatabasamu au aki pick up line akamtumia mtu lazima atabasamu lugha yoyote mfano ' hakuna kitu kingine cha gharama ninachokipata buree kama upendo wako, Nahisi umemwambia Mwenyezi...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    Maeneo yenye baridi la kufa mtu Tanzania

    Kwema Wadau! Mwaka huu DSM kumekuwa na Hali ya hewa ya baridi ambayo imenikumbusha Maeneo yenye hatari kubwa Kwa upande wa baridi. Watu wengi ambao hawajazunguka hii nchi wanafikiri Arusha na Moshi pekee ndio yenye baridi ya kufa mtu, Kama nawe ni mmoja wapo basi umekosea kabisa, yapo Maeneo...
  16. Mwande na Mndewa

    Maadui zetu ni watu wazuri, tuwaombee maisha mazuri

    MAADUI ZETU NI WATU WAZURI,TUWAOMBEE MAISHA MAREFU. Leo 13:15hrs 02/07/2022 Maisha yanaanza na kibao cha mgongoni mtoto analia,kila mtu anafurahi ya kwamba mtoto ni mzima,kibao baada ya kuzaliwa kinakupa ukweli wa maisha halisi ya hapa duniani,kumbe maumivu yaani adui yetu ndiye mtu mkweli...
  17. 44mg44

    Mzungu Ni mtamu sana, asikwambie mtu. Nimebahatka kula Mjerumani

    Mliowah kula wazungu bila Shaka mtaniunga mkono katka Hil Wazungu wanajua Mambo,yaan mpaka unavutiwa na unalizka kabsa kingono Mim Nmebahatka kula mzungu bonge hiv,yaan anajua kumbembeleza we acha tu Mliowah kula wazungu ongezeen utam walionao
  18. Raymanu KE

    UTAFITI BINAFSI: Urefu wa mtu(feet) Ni sawa sawa na Urefu wa uume wake( inches)

    Habari zenu wakuu, Hope mko fresh Sana. Nimefanya huu utafiti kwa muda wa wiki Moja na Nimetumia sample size ya watu (wanaume) 50 na hatimaye nimegundua kwamba Urefu wa mtu in terms of feet unawiana na Urefu wa uume wake in terms of inches ukiwa umepanda mtungi (umesimama). Nilifanya jaribio...
  19. Josey j

    Tahadhari: Kuwa makini na mtu anayeomba simu yako atumie

    Habari ndgu wana jamii forums, Niende moja kwa moja kwenye mada kama nlivyoanza kutoa tahadhari Kwa ufupi ni hivi, usimpe simu janja yako mtu usiemfaham aitumie kwa namna yoyote ile la sivyo ikitokea unataka kumpa basi hakikisha unakua makini kwa kile afanyacho, Je, unajua mtu anaweza kubeba...
  20. mtwa mkulu

    Bruce Lee - Mtu wa kustaajabisha zaidi Ulimwenguni

    Bruce lee Alikuwa mwana kareti wa kichina na Muigizaji mashuhuri wa Filamu. Aliweza kufanya mambo yasiyo ya kawaida ya kustaajabisha . Alikuwa na Uzani wa pondi 350 kipimo cha uzani wa mapigo. Aliweza kupiga push up 1500 kwa mikono miwili. Aliweza kupiga push up 400 kwa mkono mmoja, Alikuwa...
Back
Top Bottom