Kuna Faida Katika Kuamini Uwepo wa Uzima Baada ya Kifo Hakuna wakati mgumu anao upitia mwanadamu kama ule wakati wa kumpoteza mtu wa karibu au ndu

Peter Mwaihola

JF-Expert Member
Jun 23, 2022
227
333
Hakuna wakati mgumu anao upitia mwanadamu kama ule wakati wa kumpoteza mtu wa karibu au ndugu yake.

Wengine hudiriki hata kujikana wao wenyewe kuwa hawawezi kuishi pasipo wapendwa wao waliofariki huchukua maamuzi magumu kwa kujiua wakiamini kuwa watakutana nao katika maisha baada ya kifo.

Lakini je kuna maisha baada ya kifo? hili ni swali pia ni fumbo ambalo wanasayansi wengi wameshindwa kulifanyia utafiti kwakuwa ili ujue kuwa kuna uzima baada ya kifo lazima ufe, na ukifa huwezi kurudi duniani kuja kutoa ushuhuda.

Wataalamu mbalimbali wa masuala ya utamaduni wanaeleza kuwa huenda kuna maisha baada ya kifo kwa kuhusianisha matukio ya mizimu ya kale na ndoto mbalimbali ambazo uhusisha binadamu walio hai pamoja na mizimu.

Ushahidi huu wa kitamaduni bado hauwezi kuwa na mashiko bado utata unabaki palepale.

Kundi la tatu ni kundi la watu wenye mlengo wa Imani ya dini za kileo hasa dini ya kikristo ambao huamini kuwa baada ya kifo kuna uzima wa milele kupitia ufufuo wa kimungu.

Kwa kutumia mifano mbalimbali kutoka ndani ya kitabu cha biblia kwa kunukuu ya maandiko, kama inavyosomeka kwenye kitabu cha matendo, 24;15 ambapo inaahidiwa kuwa kutaakuwa na ufufuo.

Pia biblia inaeleza jinsi Yesu Kristo alivyoweza kuwaponya na kuwafufua watu mbalimbali kama Lazaro aliyekaa kaburini yapata siku 4.

Kuna faida gani kuamini kuwa kuna uzima baada ya kifo?.

Kwa kawaida imani juu ya maisha baada ya kifo ina faida kubwa hasa kwa wale walio na uzima kabla ya siku yao haijafika.

Kupata faraja pindi wapendwa wanapokufa, kwa kuwa mtu anae amini kuwa kuna uzima baada ya kifo anaamini kwamba atakuja kuonana na wapendwa wake wakati wa ufufuo.

Kuacha kuogopa kufa, ni dhahiri kuwa iwapo mtu anaamini kuwa kuna uzima baada ya kifo ataacha kuogopa kufa kwakuwa anaamini ataishi tena baada ya ufufuo.

Kuwa na matumaini la kukutana na wapendwa wako waliokufa kutakuongezea ujasiri na kujiamini zaidi.

Si hivyo tu bali kuamini kuwa kuna uzima baada ya kifo kunamfanya mtu kutengeneza njia yake iliyo njema ili auone huo uzima wa milele, kama ilivyoahidiwa kwenye vitabu vya dini kuwa watakao uona huo uzima ni wale tu watenda mema, watenda maovu wote wataangamia katika moto wa jehanamu.

Peter Mwaihola ni Mwandishi wa Habari na Mchambuzi wa Masuala ya Kijamii na kisiasa.
View attachment 2421041
 
Tuondoke kwenye kuamini, twende kwenye kujua.

Kuamini hata uongo unaamini tu.

Kuna kijana aliruka kutoka juu ghorofani, akirukia chini kwenye tanki la maji la Simtank. Akiamini kwamba yale maji yatamfanya asife.

Lakini alifariki, kwa sababu hakujua kanuni za fizikia.

Kwa hivyo, kuamini bila kujua kunaweza kukusababishia madhara makubwa.
 
Hakuna wakati mgumu anao upitia mwanadamu kama ule wakati wa kumpoteza mtu wa karibu au ndugu yake.

Wengine hudiriki hata kujikana wao wenyewe kuwa hawawezi kuishi pasipo wapendwa wao waliofariki huchukua maamuzi magumu kwa kujiua wakiamini kuwa watakutana nao katika maisha baada ya kifo.

Lakini je kuna maisha baada ya kifo? hili ni swali pia ni fumbo ambalo wanasayansi wengi wameshindwa kulifanyia utafiti kwakuwa ili ujue kuwa kuna uzima baada ya kifo lazima ufe, na ukifa huwezi kurudi duniani kuja kutoa ushuhuda.

Wataalamu mbalimbali wa masuala ya utamaduni wanaeleza kuwa huenda kuna maisha baada ya kifo kwa kuhusianisha matukio ya mizimu ya kale na ndoto mbalimbali ambazo uhusisha binadamu walio hai pamoja na mizimu.

Ushahidi huu wa kitamaduni bado hauwezi kuwa na mashiko bado utata unabaki palepale.

Kundi la tatu ni kundi la watu wenye mlengo wa Imani ya dini za kileo hasa dini ya kikristo ambao huamini kuwa baada ya kifo kuna uzima wa milele kupitia ufufuo wa kimungu.

Kwa kutumia mifano mbalimbali kutoka ndani ya kitabu cha biblia kwa kunukuu ya maandiko, kama inavyosomeka kwenye kitabu cha matendo, 24;15 ambapo inaahidiwa kuwa kutaakuwa na ufufuo.

Pia biblia inaeleza jinsi Yesu Kristo alivyoweza kuwaponya na kuwafufua watu mbalimbali kama Lazaro aliyekaa kaburini yapata siku 4.

Kuna faida gani kuamini kuwa kuna uzima baada ya kifo?.

Kwa kawaida imani juu ya maisha baada ya kifo ina faida kubwa hasa kwa wale walio na uzima kabla ya siku yao haijafika.

Kupata faraja pindi wapendwa wanapokufa, kwa kuwa mtu anae amini kuwa kuna uzima baada ya kifo anaamini kwamba atakuja kuonana na wapendwa wake wakati wa ufufuo.

Kuacha kuogopa kufa, ni dhahiri kuwa iwapo mtu anaamini kuwa kuna uzima baada ya kifo ataacha kuogopa kufa kwakuwa anaamini ataishi tena baada ya ufufuo.

Kuwa na matumaini la kukutana na wapendwa wako waliokufa kutakuongezea ujasiri na kujiamini zaidi.

Si hivyo tu bali kuamini kuwa kuna uzima baada ya kifo kunamfanya mtu kutengeneza njia yake iliyo njema ili auone huo uzima wa milele, kama ilivyoahidiwa kwenye vitabu vya dini kuwa watakao uona huo uzima ni wale tu watenda mema, watenda maovu wote wataangamia katika moto wa jehanamu.

Peter Mwaihola ni Mwandishi wa Habari na Mchambuzi wa Masuala ya Kijamii na kisiasa.
View attachment 2421041
Usomeni Uislamu jamani una majibu yote ya haya maswali

Am proud to be a Muslim
 
Usomeni Uislamu jamani una majibu yote ya haya maswali

Am proud to be a Muslim
Kwamba Watu wote duniani tuamini kuwa jua linazama kwenye matope?

Me tutazawadiwa bikra 72 za Ke wenye kope za macho makubwa makubwa kama vikombe vya kahawa na kukutana na mito ya pombe peponi?

Labda ujizime data kuelewa hiyo imani ya mnyazi mungu...

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba Watu wote duniani tuamini kuwa jua linazama kwenye matope?

Me tutazawadiwa bikra 72 za Ke wenye kope za macho makubwa makubwa kama vikombe vya kahawa na kukutana na mito ya pombe peponi?

Labda ujizime data kuelewa hiyo imani ya mnyazi mungu...

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kijana jaribu kukituliza kwanza embu kasome kwanza hlf ndo uje na izo kebehi zako

Ukibisha kitu bisha kwa Elimu sio ubishi usio na facts
 
Tuondoke kwenye kuamini, twende kwenye kujua.

Kuamini hata uongo unaamini tu.

Kuna kijana aliruka kutoka juu ghorofani, akirukia chini kwenye tanki la maji la Simtank. Akiamini kwamba yale maji yatamfanya asife.

Lakini alifariki, kwa sababu hakujua kanuni za fizikia.

Kwa hivyo, kuamini bila kujua kunaweza kukusababishia madhara makubwa.
Kifo kikigonga hodi hakuna cha kwamba unajua kanuni za fizikia wala nini utakufa tu. Kujua ama kutokujua, kuamini ama kutokokuamini hakubadilishi uhalisia.
 
Hakuna wakati mgumu anao upitia mwanadamu kama ule wakati wa kumpoteza mtu wa karibu au ndugu yake.

Wengine hudiriki hata kujikana wao wenyewe kuwa hawawezi kuishi pasipo wapendwa wao waliofariki huchukua maamuzi magumu kwa kujiua wakiamini kuwa watakutana nao katika maisha baada ya kifo.

Lakini je kuna maisha baada ya kifo? hili ni swali pia ni fumbo ambalo wanasayansi wengi wameshindwa kulifanyia utafiti kwakuwa ili ujue kuwa kuna uzima baada ya kifo lazima ufe, na ukifa huwezi kurudi duniani kuja kutoa ushuhuda.

Wataalamu mbalimbali wa masuala ya utamaduni wanaeleza kuwa huenda kuna maisha baada ya kifo kwa kuhusianisha matukio ya mizimu ya kale na ndoto mbalimbali ambazo uhusisha binadamu walio hai pamoja na mizimu.

Ushahidi huu wa kitamaduni bado hauwezi kuwa na mashiko bado utata unabaki palepale.

Kundi la tatu ni kundi la watu wenye mlengo wa Imani ya dini za kileo hasa dini ya kikristo ambao huamini kuwa baada ya kifo kuna uzima wa milele kupitia ufufuo wa kimungu.

Kwa kutumia mifano mbalimbali kutoka ndani ya kitabu cha biblia kwa kunukuu ya maandiko, kama inavyosomeka kwenye kitabu cha matendo, 24;15 ambapo inaahidiwa kuwa kutaakuwa na ufufuo.

Pia biblia inaeleza jinsi Yesu Kristo alivyoweza kuwaponya na kuwafufua watu mbalimbali kama Lazaro aliyekaa kaburini yapata siku 4.

Kuna faida gani kuamini kuwa kuna uzima baada ya kifo?.

Kwa kawaida imani juu ya maisha baada ya kifo ina faida kubwa hasa kwa wale walio na uzima kabla ya siku yao haijafika.

Kupata faraja pindi wapendwa wanapokufa, kwa kuwa mtu anae amini kuwa kuna uzima baada ya kifo anaamini kwamba atakuja kuonana na wapendwa wake wakati wa ufufuo.

Kuacha kuogopa kufa, ni dhahiri kuwa iwapo mtu anaamini kuwa kuna uzima baada ya kifo ataacha kuogopa kufa kwakuwa anaamini ataishi tena baada ya ufufuo.

Kuwa na matumaini la kukutana na wapendwa wako waliokufa kutakuongezea ujasiri na kujiamini zaidi.

Si hivyo tu bali kuamini kuwa kuna uzima baada ya kifo kunamfanya mtu kutengeneza njia yake iliyo njema ili auone huo uzima wa milele, kama ilivyoahidiwa kwenye vitabu vya dini kuwa watakao uona huo uzima ni wale tu watenda mema, watenda maovu wote wataangamia katika moto wa jehanamu.

Peter Mwaihola ni Mwandishi wa Habari na Mchambuzi wa Masuala ya Kijamii na kisiasa.
View attachment 2421041
Binadamu hataishi kwa mkate tu, Bali kwa neno.

Hii sentensi ina maana kubwa sana
Wanadamu wanahitaji neno la matumaini kwenye maisha Yao.

Wanahitaji tumaini ili waweze kuishi duniani na tumaini la wataishi tena baada ya kifo.

Naomba kuwasilisha
 
Kifo kikigonga hodi hakuna cha kwamba unajua kanuni za fizikia wala nini utakufa tu. Kujua ama kutokujua, kuamini ama kutokokuamini hakubadilishi uhalisia.
Sawa.

Nenda barabarani kwenye magari mengi yanayokwenda kasi jiweke katikati. Halafu utajua kwamba kifo kimegonga hodi, au wewe umekigongea hodi mwenyewe.
 
Tukiamini kwamba kuna maisha baada ya kifo watu wenye shida mbali mbali na ugumu wa maisha watajiua ili wakaanze maisha mapya huko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom