MEXICANA
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 1,772
- 2,032
Hakuna DC aliyewahi kuja Bukoba mwenye ujasiri na uthubutu kama Moses Machali. Kafanya mambo magumu bila kuogopa mtu, ametouch hata untouchable wa mji wakatikisika japo wamemsagia kunguni kwa Mama mpaka baasi, nawachosubiri nikuona Machali anatolewa Bukoba wafanye sherehe.
Kwakweli mji huu uko nyuma kimaendeleo ila factor kuu ni wao wenyewe unshomile wao wa kijinga.
Cheki video hapo wanapikia kwenye barabara ya lami, mamlaka zote zimegota, siasa chafu ndio mtaji wa Bukoba.
Kwakweli mji huu uko nyuma kimaendeleo ila factor kuu ni wao wenyewe unshomile wao wa kijinga.
Cheki video hapo wanapikia kwenye barabara ya lami, mamlaka zote zimegota, siasa chafu ndio mtaji wa Bukoba.