mtoto

Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.

View More On Wikipedia.org
  1. G Sam

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda: Mama mtoto wangu anaendelea vizuri baada ya kuwekewa mashine ya kuzalisha mvuke kwenye mfumo wa hewa ndani ya hospitali moja mjini Dar

    Nilijiuliza inakuwaje ana mafua makali namna hiyo na kikohozi wakati huu wa joto kali! Tukio lilianza siku ya ijumaa iliyopita. Nikadhani masihara. Jumamosi jioni naona mambo yanazidi kuwa magumu. Huku nawaza sana inakuwaje hali ile wakati huu wa joto kali? akaenda akachoma sindano ya kufanya...
  2. Ronee

    JamiiForums Tanzania Wakuu, nishaurini kuhusu Shule ya bweni kwa mtoto wa nursery

    Naimani afya zenu ni njema kabisa wakuu, kuhusu mengineyo inshallah Allah atafanya wepesi. Wakuu 'junior' wangu sasa amefikia umri wa kuanza shule, changamoto inayonikabili ni kuhusu upatikanaji wa shule hizi za mchepuo wa kimombo ktk mazingira niliyopo kwa sasa, huduma hiyo hamna. Hivyo basi...
  3. Selemani Vincent

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kwanini akina mama wengi siku hizi kunyonyesha imekuwa kama adhabu hususani mtoto anapofikisha umri wa mwaka mmoja?

    Naomba mnisaidie mawazo zaidi Kwani inafahamika kiafya mtoto inabidi anyonye mpaka miaka miwili kwa afya njema kiakili sasa imekuwa tofauti kwa Sasa kwani wengi wameshindwa kufikisha muda huo. Na wale wanaofikisha wanakuwa Kama kwenye adhabu ati mtoto anaponyonya maziwa hayatoki vizuri au...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Je, unazijua Haki za Mtoto ikiwa Wazazi wake wametengana?

    Kwa mujibu wa Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009 kifungu cha 26 (1) inaeleza kuwa baada ya wazazi kutengana au kuachana (kwa kuzingatia masharti ya sheria ya ndoa) mtoto atakuwa na haki zifuatazo:- (a) Kuendelea kupata elimu bora aliyokuwa akiipata kabla ya wazazi wake kutengana au talaka; (b)...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Naishi na mtoto wa mke wangu, wangu anaishi kwa bibi yake nashindwa kumchukua

    Ushauri tafadhali! Umeoa mke mwenye mtoto na unaishi naye huyo mtoto ukihudumia huduma zote!! Huko nyumbani nawe una mtoto pia yuko kwa bibi yake (mama yako) anaishi na kusoma, mama wa mtoto wako ametangulia mbele ya haki. Hapo kwa bibi yake anaishi na mtoto wa kaka yako (dada yake)...
  6. kidadari

    JamiiForums Tanzania Kama wewe mtoto wa kiume, dada zako wakiolewa furahi sana, shukuru Mungu

    Kwenye familia yetu tumezaliwa wavulana 6 wasichana 2, dada yetu mkubwa aliolewa mapema sana. Huyu mwingine wakati anaolewa mama alilia sana maana alimzoea sana na ndo alikua msaidizi wake mkubwa sana, "ajabu baba alifurahi sana" sikumwelewa baba alimaanisha nini mpaka baada ya miaka 6 alikuja...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mlee Mtoto Wako; acha kumfuga

    MLEE MTOTO WAKO; ACHA KUMFUGA Kwa Mkono wa, Robert Heriel Katika jamii zetu za kiafrika imekuwa ngumu sana kutofautishaa kati ya Kufuga na kulea, yaani Ufugaji na Ulezi/Malezi. Unaweza ukawa umezaa mtoto wako ukawa unamfuga kama kuku lakini wewe ukadhani unamlea, na unaweza ukadhani unamfuga...
  8. Sema Tanzania

    JamiiForums Tanzania Malezi: Je, utasafiri na mtoto msimu huu?

    Iwapo unasafiri na mtoto mdogo mwenye umri chini ya kwenda shule. Uwapo katika daladala na mtoto umri huu hapaswi kulipiwa nauli. Mara nyingi husimama kati ya miguu yako ama pengine unampakata. Taratibu za LATRA zinasema huyu halipiwi nauli. Lakini kama unasafiri naye katika mabasi makubwa ya...
  9. Superbug

    JamiiForums Tanzania Nilibarikiwa na Papa John Paul II mwaka 1990 nikiwa mtoto leo hii najiona mimi ni kama askofu

    Mwaka 1990 nchi yetu ilipata bahati ya kutembelewa na viongozi wawili wakubwa duniani mmoja wa kisiasa mwingine wa kidini. Papa John na Mandela. Wakati papa John amekuja Tanzania baba alinibeba begani papa akaniona nikiwa juu ya bega la baba alinibusu na kunibariki. Leo najiona nina upako wa...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Mkurugenzi wa Kinga; Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee, Siku ya Maadhimisho ya Mtoto Njiti, tarehe 17 Novemba 2020

    Awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia afya njema hadi kufika hapa siku ya leo, napenda kuwashukuru nyote kwa kuja, tunapoungana kwa ajili ya kuadhimisha siku ya mtoto njiti Duniani leo tarehe 17 Novemba 2020. Aidha ninayo furaha kuwa sehemu ya maadhimisho haya, jambo...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kuwa na mpenzi "mtoto" inahitaji ujasiri sana

    Wakubwa habari zenu? Leo naleta mada hapa ila kiukweli nina amani na furaha tele ingawa jana nimepigwa kibuti. Huyu jamaa kwa kweli haeleweki. Yeye mwenyewe pia hajielewi anataka nin katika haya maisha. Ni kijana wa miaka 31, ameajiriwa na amepanga chumba kimoja. Tumefahamiana naye muda mrefu...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kushusha hatari ya kupata ujauzito wenye matatizo au Mtoto Njiti?

    Unastahili matunzo, mapenzi na uangalizi sawa na ya mtoto wako tarajiwa. Huduma hizi zitakusaidia kudhibiti matatizo ya afya unayoweza kuwa nayo na kukukinga dhidi ya kisukari cha ujauzito pamoja na shinikizo la damu la juu. Kadri utakavyokuwa na afya njema ndivyo atakavyokuwa na mwanao. Usije...
  13. cheusimangala

    JamiiForums Tanzania Sheria na taratibu za kuasili (Adopt) mtoto Tanzania

    Imekuwa ni ndoto yangu ya muda mrefu ku-adopt mtoto yatima awe wangu kabisa nimlee, kumsomesha na kumfanyia yote anayostahili kufanyiwa mtoto! Sasa naona nina uwezo na muda wa kuitimiza ndoto yangu! hivyo naomba kujulishwa sheria na taratibu za kuasili/adopt mtoto hapa Tanzania! Je, niende wapi...
  14. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mkiwa mmekaa zenu Maskani halafu Mama akampa Mtoto Hela akanunue Kitu Dukani kisha akiwaona anampa Maelekezo haya Mtoto huwa anamaanisha nini?

    Unakuta mmekaa zenu Maskani ( Kijiweni ) tena hasa Kipindi hiki Joto lililopo Jiji na Kune Boy ( Dar es Salaam ) ili mlipunguze Mwilini mwenu unakuta Mama anamtuma Mtoto wake Dukani kununua Kitu lakini akiwaoneni tu nyie mmekaa anaongea kwa Msisitizo na Sauti ya juu kabisa huku akiyasema haya...
  15. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania UNICEF: Kila dakika '1:40' mtoto au kijana chini ya miaka 20 anaambukizwa UKIMWI

    Takribani kila dakika moja na sekunde 40, mtoto au kijana chini ya umri wa miaka 20 alikuwa anaambukizwa Virusi Vya UKIMWI, VVU mwaka jana 2019, na kufanya idadi ya watoto wanaoishi na VVU kufikia milioni 2.8, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limesema katika ripoti yake...
  16. Mlenge

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kumuelimisha mtoto wa Kiafrika bila adhabu ya viboko?

    Inawezekana kumuelimisha mtoto wa Kiafrika bila adhabu ya viboko? Naomba kuelimishwa kwa nini unadhani ndio au siyo.
  17. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kibonzo cha Kipanya, mama na mtoto wanapokea mkon’goto

    Mama hawezi tena kumlinda mtoto, wote tunapokea kibano. Labda baada ya kipigo hiki mama atamuacha huyu mwanaume aliyeyasababisha yote haya.
  18. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Malezi: Baba unatakiwa kuwa mkali mtoto wako anapofikia hatua hii

    Ma- dingi wengi siku hizi tunawalea watoto kimayai mayai sana ki- junior junior sana. Matokeo yake mtoto anakosa dira na kujiongoza peke yake huko mbeleni. Sasa Fanya haya kumuokoa mtoto wako (wa kiume) Dunia imeharibika sasa.. Hakuna wa kukunyooshea mwanao zaidi ya kumtumbukiza shimoni. 1...
  19. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtoto aliyeishi tumboni mwa mamake kwa miaka 13 atolewa kupitia upasuaji huko Mandera..

    Tumeanza kuona matunda ya ugatuzi wa Kenya. Kuna mama kutoka Ethiopia ambaye alishindwa kupata usaidizi wa kufanyiwa upasuaji ili kumtoa mtoto aliyekufia tumboni mwake kwa miaka 13. Katiba mpya ilileta mfumo wa ugatuzi na hii iliiwezesha gatuzi la Mandera kujenga hospitali ya kisasa inayoweza...
  20. Meko Junior

    JamiiForums Tanzania Jaribu kuwaza kama usingetoa ile mimba mtoto angekua na umri gani?

    Embu tuambizane, ndugu wajenzi wa nchi, maisha yanatunyoosha na sisi tunayanyoosha. Wengi tumepitia changamoto nyingi za maisha, wengi tumepitiwa kwenye mahusiano mengi sana, wengine wakapat mimba au kuwapa watu mimba na kuchukua maamuzi ya kuitoa. Embu jaribu kuwaza kama usingetoa ile mimba...
Back
Top Bottom