mtoto

Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.

View More On Wikipedia.org
  1. Research Solutions TZ

    JamiiForums Tanzania Unadhani kupata mtoto ni kitu kikubwa sana

    Haya leo nirudi tena kwa ndugu zangu ambao wamehangaika kupata mtoto. Kwa wanawake huona kuwa mtoto huwa ni mokozi wa ndoa zao, inaweza kuwa kweli kwa kuwa mahusano mengi huvunjika kwa kukosa mtoto Lakini zikumbukwe ndoa nyingi zimeingia matatizoni kwa kuwa na mtoto kwa kuwa mara nyingi...
  2. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Hii njia Unaweza kuidharau lakini ndio pekee ya kuwa na uhakika mtoto ni wako bila DNA

    Mzuka wanajamvi! Ni hivi unamchukua waifu ama demu wako mnaenda mbali ama maporini huko uliposhaanda na kujenga nyumba. Una hakikisha umenunua msosi wa nguvu na mahitaji yote yatakayowatosheleza miezi miwili. Pia huko mnapoenda unahakikisha kuna fensi na geti kali. Kabla hamjaingia humo...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Mwanamke akikupenda anaweza kukupatia mtoto asiye wako

    Wanawake ni viumbe ambao huwezi kuwaelewa mpaka upate uzoefu kutoka kwao. Ni viumbe wa ajabu mnoo. Viumbe hawa wakikupenda wanaweza kukupatia mtoto asiyewako tena wakikuchukia wanaweza kukunyima mtoto wako.
  4. demigod

    JamiiForums Tanzania Ni mapema kiasi gani unaweza mpima mtoto DNA?

    Habari wataalamu wa Masuala ya Afya. Ulizo langu ni kuwa, Je inawezekana kumpima mtoto DNA siku moja baada ya kuzaliwa? Binafsi sio mtaalamu wa masuala ya Afya nimeona ni vyema kutafuta jawabu lenye uhakika wa kitaalamu zaidi. Kama haiwezekani, basi ni muda upi unakuwa ni sahihi kiafya kumpima...
  5. Liverpool VPN

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu amepinda mgongo kila siku ili familia yake iwe na maisha bora ila leo kagundua mtoto sio wake

    ..... Nyuzi ifutwe ..... Please delete Moderator
  6. ommytk

    JamiiForums Tanzania Hivi baba mlezi ana haki kwa mtoto aliyemlea

    Wanajf naomba kuuliza hili suala je baba mzazi ana haki kwa mtoto aliyemlea was baba mwingine naomba wataalam washeria watujuze pia waungwana
  7. Transistor

    JamiiForums Tanzania Mtoto ana miaka mitano anatoa sauti ngeni wakati wa kuhema

    Wakuu habari, Mtoto ana miaka mitano anatoa sauti ngeni wakati wa kuhema, Kama Kuna kitu kinamzuia nimeweka recorded sound hapa ushauri Tafadhari
  8. The Assassin

    JamiiForums Tanzania New York: Mwizi wa gari atishia kuita polisi baada ya kukuta mtoto ameachwa kwenye gari aliyoiiba

    Vituko, huko New York, mwizi baada ya kuiba gari na kutokomea kusikojulikana, katika harakati za kukagua gari akakuta kuna mtoto ndani yake, ikabidi arudi hadi alipoiiba na kumkuta mama wa mtoto. Baada ya kumkuta mama na mtoto akatishia kuita polisi kwa uzembe wa mama wa mtoto kuacha mtoto peke...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Mkanganyiko wa umri wa Mtoto na umri wa kuolewa Kisheria

    Kwa mujibu wa kifungu namba 4 (1) ya Sheria ya Mtoto inaeleza Mtoto ni mtu yeyote aliye chini ya miaka kumi na nane (18) Lakini Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 katika kifungu cha 13 kinaruhusu Mtoto wa kike kuozwa akiwa na umri wa miaka 14. Hivyo Sheria hizi mbili zinakinzana na kusababisha...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Kuzaliwa au kujifungua mtoto njiti sio laana au mkosi

    Takwimu zinaonesha kuwa kila mwaka watoto milioni 15 wanazaliwa njiti, yaani ujauzito ukiwa haujatimiza wiki 37 wakiwa na uzito mdogo Jamii inapaswa kujua #WatotoNjiti wanauwezo wa kukua kama Watoto wengine hivyo imani potofu hazina budi kukoma Watoto Njiti wanahitaji uangalizi maalumu kwani...
  11. I

    JamiiForums Tanzania Nilizaa na mke wa mtu, anataka kunidhulumu mtoto

    Wadau wa humu JF habari za harakati na mapigo ya ada za January hii Niende kwenye topic moja kwa moja... nilizaa na mke wa mtu tena wa rafiki yangu kwa siri na kwa makubaliano kwamba akifikia umri fulani wa kujitambua mama yake afanye whatever possible kum-link na mie baba yake halisi. Mtoto...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Je, kuna umuhimu gani wa Mama kunyonyesha Mtoto wake?

    Umuhimu wa kunyonyesha kwa mama ni kama ifuatavyo:- Mama anayenyonyesha huepukana na adha za uzazi na kurejea katika hali yake ya kawaida kwa haraka na kirahisi. Hii ni kutokana na Homoni za Oxytocin ambazo hutoka wakati wa kunyonyesha zinazosaidia kurudisha mji wa mimba katika hali yake ya...
  13. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Jana nimebeba TV, laptop, pasi, vitana, vijiko, n.k kwa niliemdai, leo kanirudishia pesa, pesa ya ada ya mtoto ilifeli

    Uvumililivu ulinishinda kiukweli. Yani jamaa nilimkopa Novemba 28, kaja mikono nyuma kichwa chini na sauti ya kinyonge nikamkopa kiasi alichohitaji. Baada ya kumaliza shida zake mshahara wake akapokea ila kimya, nilimwinda sana lakini nikimpigia hapokei, nikituma sms hajibu, whatsapp status...
  14. ommytk

    JamiiForums Tanzania Kuna uhusiano wowote kujitegemea mtoto wa kike na kuchelewa kuolewa

    WanaJF hebu tupeane uzoefu kwenye hili Je, kuna uhusiano wowote wa kuchelewa kuolewa na kuanza kujitegemea kwa wadada kuna watu wanasema wadada wakianza kujitegemea wanakuwa wahuni kupelekea watu kutokuwachumbia na kuwaoa. Watu wanasema wanawake wakiwa makwao wanaolewa haraka je ni kweli.
  15. lee Vladimir cleef

    JamiiForums Tanzania Tumeshindwa kupata Mtoto wa tatu. Tatizo ni nini la nani?

    Wataalamu wa masuala ya uzazi naomba elimu na msaada hapa. Watu husema mficha maradhi kifo humfichua. Ukweli Ni kwamba, Sisi wa Afrika tunapenda Sana watoto, tena watoto wengi. Tuna watoto wawili tunataka. Mtoto wa tatu na wa nne imeshindikana tatizo Ni Nini? Ni la Nani? Tutafanyaje? Tiba Ni...
  16. Binadamu Mtakatifu

    JamiiForums Tanzania Umri gani sahihi kupata mtoto?

    Wakuu natumai mu wazima. Kama una girlfriend amekuzidi miaka 2 je ni umri gani sahihi wa kupata mtoto ikiwa mimi niko 20yrs na nina kazi yangu na gari. Ushauri tafadhali
  17. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Bado kuna wazazi wanaendelea kuzaa hata baada ya mtoto wao wa kwanza kuolewa? Mtoto wa mwisho analingana na mjukuu wa kwanza? Huku ni kukosa maadili

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu Watanzania; Bado kuna watu wazima wanaendelea kuzaa hata baada ya mtoto wao wa kwanza kuolewa? Mtoto wa mwisho analingana na mjukuu wa kwanza? Huku ni kukosa maadili. Siku ya sherehe ya mwaka mpya nilikutana na...
  18. kijanamtanashati

    JamiiForums Tanzania Mtoto wangu amerithi tabia yangu ya utotoni ananipa gharama kulipa vitu vya watu kila siku

    Nakumbuka mimi nilipokuwa na umri 6-13 nilikuwa mkorofi natukana sana watu sichagui mkubwa au mdogo, nilikuwa na matusi hatari na kupenda kurushia watu mawe, pale mtaani wakawa wanamwita mama yangu 'mama mawe'. Hadi watu wazima wakawa waniogopa kwa matusi. Mtu akinichokoza mbona ataisoma namba...
  19. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Tunduru: Mama aua mtoto wake kwa sumu ya panya kwa masharti ya kupata kazi za ndani Arusha

    MKAZI wa Kijiji cha Mwenge, Kata ya Mtina wilayani Tunduru, mkoani Ruvuma, Neema Athumani (24), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wake kwa kumwekea sumu ya panya kwenye soda. Taarifa za tukio hilo zinadai kuwa mwanamke huyo alitekeleza mauaji hayo Desemba 24, mwaka huu, baada...
  20. U

    JamiiForums Tanzania Show ya Diamond Platnumz yajaza watu 100,000 Sudan

    Hakika huyu kiumbe kashindikana. Hii ni zaidi ya ile ya kigoma
Back
Top Bottom