Inawezekana kumuelimisha mtoto wa Kiafrika bila adhabu ya viboko?

Inawezekana kumuelimisha mtoto wa Kiafrika bila adhabu ya viboko?


  • Total voters
    9

Mlenge

R I P
Oct 31, 2006
2,125
2,291
Inawezekana kumuelimisha mtoto wa Kiafrika bila adhabu ya viboko?

Naomba kuelimishwa kwa nini unadhani ndio au siyo.
 
Labda useme kupunguza fimbo, hata English medium mbona wanachapwa sana tuu.
Ss waafrica tupo tofaut kidogo, huk utotoni bila fimbo kutoka n vigumu kidogo.
 
Mimi nime chapwa viboko sana utotoni. Tena tulikuwa tunaambiwa taka lete fimbo wenyewe.

Mjadala mkubwa ulikuwa, tukipeleka ndogo, ataenda kuchukuwa mwenyewe kwa ghadhabu.

Tukipeleka kubwa mhh...

Ila na ukubwa huu, nime elewa faida ya zile fimbo.

Watoto wangu wata zichezea sana tu wakizingua. Hamna namna...
 
Inawezekana kumuelimisha mtoto bila kumchapa viboko ingawa kwa Afrika tumejenga utamaduni wa kutumia fimbo ili kumfanya mtoto aelewe masomo. Ninafikiri viboko hujenga nidhamu ya woga kwa watoto.
 
Kama mwalimu kwanini namchapa mtoto?
Kosa alilolifanya adhabu yake kisheria ni kufukuzwa shule.
Kosa lake ni kufanya adhabu za nje.
Kosa lake ni kulipeleka ofis ya nidhamu.

Obvious tunamchapa mtoto kwa faida yake.ni adhabu inayo save mda.
Mfn nimekuta amefail chini ya 40 monthly test...adhabu ya fasta ni viboko. Tunaendelea kusoma.
 
Labda useme kupunguza fimbo, hata English medium mbona wanachapwa sana tuu.
Ss waafrica tupo tofaut kidogo, huk utotoni bila fimbo kutoka n vigumu kidogo.
English medium za hivyo tofauti ni Kiingereza tu.
 
Kama mwalimu kwanini namchapa mtoto?
Kosa alilolifanya adhabu yake kisheria ni kufukuzwa shule.
Kosa lake ni kufanya adhabu za nje.
Kosa lake ni kulipeleka ofis ya nidhamu.

Obvious tunamchapa mtoto kwa faida yake.ni adhabu inayo save mda.
Mfn nimekuta amefail chini ya 40 monthly test...adhabu ya fasta ni viboko. Tunaendelea kusoma.
Na wewe ukimkosea huyo mwanafunzi, akupe adhabu ya viboko?
 
Inawezekana kumuelimisha mtoto bila kumchapa viboko ingawa kwa Afrika tumejenga utamaduni wa kutumia fimbo ili kumfanya mtoto aelewe masomo. Ninafikiri viboko hujenga nidhamu ya woga kwa watoto.
Inawabomoa kabisa kisaikolojia. Walimu na wanafunzi wengi hawaipendi.
 
Kama mwalimu kwanini namchapa mtoto?
Kosa alilolifanya adhabu yake kisheria ni kufukuzwa shule.
Kosa lake ni kufanya adhabu za nje.
Kosa lake ni kulipeleka ofis ya nidhamu.

Obvious tunamchapa mtoto kwa faida yake.ni adhabu inayo save mda.
Mfn nimekuta amefail chini ya 40 monthly test...adhabu ya fasta ni viboko. Tunaendelea kusoma.
Hakuna adhabu mbadala, Shule ambazo hawachapi viboko wanatoa adhabu gani? Unafikiri viboko vinaathari gani kwa watoto?
 
Yaani unamaanisha hawa tumbili wadogo wadogo weusi wasichapwe..!? Shule zote si zitageuka Zoo
 
Tatzo wapo wangp
Kam Ni wachache sawa
Ila Kam wengi fimbo muhm
 
Yan hata kama hutaki kuwachapa wanafunzi lakini bado mazingira yetu ya kielimu,kiuchumi na kijamii yatakulazimisha umchape mtoto tu yan dah haina jinsi
 
Back
Top Bottom