mtoto

Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    JamiiForums Tanzania Membe: Wazazi wa Benjamin Mkapa walitaka mtoto wao awe Padri kama wazazi wangu walivyotaka mimi niwe lakini yalitushinda!

    Mgombea urais kwa tiketi ya ACT wazalendo mh Bernad Membe amesema wazazi wa hayati Ben Mkapa walitaka mtoto wao awe padri kama wazazi wake yeye walivyotaka Membe awe padri. Membe amesema Ben Mkapa alikuwa mtu wa dini sana na alilipenda Kanisa licha ya kuwa anatumika siasani. Nawatakia Dominica...
  2. Justine Kakoko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbinu 20 za kumfanya mtoto aweze kuongea mapema

    1. Kujiongelesha mwenyewe. Jiongeleshe mtoto akiwa karibu juu ya mambo unayoyafanya. Mfano, naosha vyombo sasa, napika chakula, nafagia nyumba. 2. Simama, mpe mtoto muda wa kujibu. Unapozungumza na mtoto, kaa kimya, mpe nafasi ya kujibu. Akishindwa kujibu msaidie kujibu kisha mtake arudie...
  3. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ametoka na millionaire miaka 20 bila ndoa wala mtoto

    Nilikuta hii stori kwenye Women Magazine, inamhusu dada mmoja mzaliwa wa Urusi lakini ni raia wa Uingereza. Aliwenda Uingereza na wazazi wake akiwa mdogo. Jina lake Natasha. Natasha akiwa na miaka 20 na mwanafunzi wa chuo kikuu, alikuwa binti mwenye kujipenda sana. Siku moja akiwa amejipamba...
  4. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli amewaapisha Viongozi Wateule mbalimbali, amewasisitiza kuridhika na nafasi walizoteuliwa

    Viongozi Wateule walioapishwa Leo ni: 1. Bw. Aboubakar Kunenge- Kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam 2. Bw. Joseph Joseph Mkirikiti - Kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara 3. Bw.Paulo Mshimo Makanza - Kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam 4. Bw. Gabriel Pascal Malata- Kuwa Wakili Mkuu wa Serikali...
  5. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Mtoto Bahati Cornel wa Umbwe primary school amepotea. Yupo Polisi Kawe

    Mtoto Bahati S/o CORNEL, Mchaga, 8 yrs old, M/Funzi Umbwe primary school, Darasa la tano. Mtoto huyu yupo hapa police Kawe ambapo alijieleza kuwa amepotea, alikuja jijini DSM akitokea mkoani Kilimanjaro ambako ndiko anakoishi na Baba yake Mzazi aitwae CORNEL JOSEPH MASAWE, ambae anafanya kazi...
  6. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Ukeketaji na madhara yake kwa mtoto wa kike

    Februari 6 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukeketaji. Mila hii ingawa inapingwa vikali, bado inaendelea kufuatwa na baadhi ya makabila. Rhobi (sio jina lake halisi) ni binti wa Kikurya aliyekuwa akisoma katika shule moja ya msingi mkoani Mara. Binti huyu alikuwa na ndoto ya kuwa...
  7. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Tanzia: Mtoto wa Nelson Mandela, Zindzi Mandela (59) afariki dunia

    Kituo cha SABC kimeripoti kifo cha mtoto wa Nelson Mandela na Winnie Madikizela-Mandela, Zindzi Mandela (59) kilichotokea asubuhi ya leo jijini Johannesburg Kwa mujibu wa SABC, taarifa ya kifo imethibitishwa na familia. Hata hivyo, chanzo cha kifo hicho bado hakijawekwa wazi Zindzi ambaye ni...
  8. Ufipa-Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Mwambie Zitto Kabwe anachofanya ni kutoa mimba kabla ya mtoto kuzaliwa

    Nasema ingawa najua wengi hawapendi kusikia hasa kwa vile hawana maeneo ya kukimbilia. Anachofanya ZZK, Zitto ni sawa na kuhalalisha utoaji wa mimba katika chama chake. Wakongwe wameshindwa anachofanya kwa sasa. Chadema wamefanya wakagundua kuwa ina shida. Mwaka huu wameelewa nini maana ya...
  9. 5

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnalionaje hili la wakati wa kudamshi bado sekunde chache mtoto anaamka anataka kuanguka kitanda

    Nimeona nililete hapa kwa wataalamu wa mambo yetu kwa wale walio kwenye ndoa labda tayari wameshapata mtoto 1 ivi au zaidi. Kuna wakati unakuwa na hamu sana na mama watoto mpaka unafika ule wakati unakuwa upo kileleni labda bado kama sekunde kadhaa kukamilisha taratibu mtoto anaamka na...
  10. Infantry Soldier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mzazi kumpa mtoto chochote anachokitaka ni sawa na kumharibu?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania; Mzazi mwenye uwezo kumpa mtoto chochote anachokitaka ni sawa na kumharibu? Na kumnyima napo ndio kumjenga? Nimeamua...
  11. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Mbowe, Dudley Mbowe aanguka akiwa Yatch Club, alazwa ICU

    Dudley Mbowe, mtoto wa kiume wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman A. Mbowe amelazwa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospital ya Aga Khan, Dar es Salaam baada ya kuumia vibaya kichwani. Kijana huyo jana alifanyiwa operesheni ya kichwa na inaelezwa hali yake ni mbaya. Sababu za...
  12. Influenza

    JamiiForums Tanzania Namba 5: Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kuwania Urais wa Zanzibar

    Mbunge wa Kwahani na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa katika serikali ya awamu ya Tano Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kwa lengo la kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar katika ofisi za chama cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui mjini Unguja. WASIFU Dkt. Hussein Ali Mwinyi ni Waziri wa...
  13. Naantombe Mushi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pale familia inapojeuka kuwa kikwazo kwenye ukombozi wa mtoto wa kike

    Ni hivi jamani, kuna binti mmoja mdogo sana amemaliza elimu ya form IV mwaka 2017, niseme tu huyu binti ni mzuri sana, ana shape moja matata sana ambayo mwanaume yoyote rijali lazima uweweseke. Sasa hivi ndo anaenda kufikisha miaka 20 (now yupo kwenye 19). Binti mbichi haswaa. Maendeleo hayana...
  14. Ngareroo

    JamiiForums Tanzania Tuambie Swali/Maswali fikirishi au ya msingi uliyowahi kuulizwa na mtoto mdogo kabisa

    Hey inakuaje mandugu humu ndani!?I hope mko poa.. Bila kupoteza muda kama heading inavosema,je ni swali au maswali gani ya msingi uliyowahi kuulizwa na mtoto mdogo hadi ukashangaa uyu mtoto kawaza nini hadi kuniuliza hili swali??.. Kwa upande wangu Mimi kuna katoto ka Dada angu kana miaka...
  15. Influenza

    JamiiForums Tanzania Namba 30: Mussa Aboud Jumbe, Mtoto wa Rais wa zamani wa Zanzibar, Aboud Jumbe amechukua fomu ya CCM kuwania Urais wa Zanzibar

    Mussa Aboud Jumbe, Mtoto wa Rais wa zamani wa Zanzibar, Aboud Jumbe amechukua fomu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Jumbe amekuwa mgombea wa 30 katika mbio hizo za Urais. Vile vile Mussa ni Mkurugenzi katika Idara ya Maendeleo ya Uvuvi...
  16. Mayova

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa tatizo la mtoto kukoroma kama ana kamasi puani

    Ndugu zanguni ma dakatari wa jf nina mtoto anamiezi mitano. Tatizo lake nikwamba kama vile ana makamasi mengi yamejaa puani lakin hata haya toki kwaiyo anakoroma tu puani. Nimetumia dawa kadhaa kama vile mucolyn, citrizine na ephedrine nasal drops lakini bado hata hija saidia kitu. Naombeni...
  17. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Adaiwa kuiba mtoto, achoma godoro ionekane kateketea

    Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linamshikilia mwanamke mmoja (jina limehifadhiwa), mkazi wa kijiji cha Msata mkoani Pwani, kwa tuhuma za kumuiba mtoto mwenye umri wa wiki moja na kisha kuchoma godoro alilokuwa amelalia mtoto huyo ili ijulikane ameteketea kwa moto. Tukio hilo lilitokea Juni 11...
  18. safuher

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kuwa wanandoa wenye magroup ya damu yanayofanana ni ngumu kupata mtoto?

    Wakuu ni kweli watu wenye magroup ya damu yanayofanana hawawezi kupata mtoto? Mfano mke group O na mume group O hata wakizivizia siku hatari hawawezi kupata?
  19. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Umewahi pitia maisha magumu kushinda ya Mchungaji Moses Magembe ukiwa mtoto tuelezee

    Kuna watu wanapitia maisha magumu mno wakiwa watoto wadogo kisa hiki cha Mchungaji Moses Magembe wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God Majumba sita, Ukonga, Dar es salaam kitakuliza machozi .Je kuna aliyepitia maisha magumu kumshinda huyu? tupe kisa chako Msikilize mwenyewe akijieleza...
  20. Finder boy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtoto hupewa jina ndani ya siku ngapi mara baada ya kuzaliwa?

    Salamu! Napenda kufahamu mtoto hupewa jina siku ya ngapi mara baada ya kuzaliwa? Je, ni siku ya kwanza, au siku yoyote? Msaada wenu tafadhali katika hili.
Back
Top Bottom