mtandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    Swali kuhusu kununua vitabu mtandaoni

    Habari wakuu, Samahani nauliza ukinunua kitabu mtandaoni, halafu ukawa huna hela ya wao kukutumia Kama ni cha kutoka nje ya nchi unaweza ukakisoma kwa soft copy baada ya kununua? Na pia, Kama kuna mtu anajua hivi vitabu Chemistry demystified 2nd edition vinapatikana wapi hapa Tanzania anijulishe.
  2. Analogia Malenga

    BBC yazuia watendaji wake kuandika mirengo yao ya kisiasa mtandaoni

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Uingereza, Tim Davie amewazuia watumishi wa ashirika hilo kuandika mambo ya kisiasa katika mitandao ya kijamii inayoonyesha mrengo wao wa kisiasa Kuandika maoni au kuwa kama mpiga kamepeni wa chama fulani kwenye mitandao ya kijamii ni chaguo zuri...
  3. A

    Nahisi hii ni moja ya sababu ya sisi vijana kulalamika kuhusu ugumu wa maisha humu mtandaoni

    Nina imani wengi wetu humu JamiiForums tumetoka kwenye familia za kawaida, nikimaanisha kuwa tumeishi na wazazi wetu kwenye nyumba za tofali hata kama zilikua za kupanga, tumekua tukiwa na uhakika wa Milo mitatu kwa siku, kila siku, na ada ya shule haikusumbua sana wazazi. Vijana wengi tumeishi...
  4. K

    Upinzani Umekufa? Upinzani Umebaki mtandaoni, hali halisi ni ipi?

    Hili i swali na madai kwa baadhi ya watu wakudai kuwa upinzani umekufa , Umebaki Mtandaoni , mbona mapokezi ya Lissu yanaonyesha hali tofauti.
  5. Nafaka

    Mama atumia picha ya binti yake kuwasiliana na wanaume mtandaoni

    Mama mmoja huko Marekani, alijiunga kwenye mtandao mmoja wa kijamii na kuweka picha ya mwanae mwenye umri wa miaka 18. Kisha alianza kuwasiliana na wanaume huku akijifanya kuwa yeye ndiye huyo binti kwenye hiyo picha. Kutokana na urembo wa binti wanaume wengi mtandaoni hawakusita kumfuata...
  6. J

    Jifunze na uzijue nyayo za kidigitali, tambua namna ya kuzidhibiti uwapo mtandaoni

    Nyayo za Kidigitali au Digital Footprint hizi ni taarifa za kipekee zinazokusanywa kutoka kwa mtumiaji wa Mtandao anapofanya shughuli mbalimbali kwenye mtandao, anapofanya mawasiliano, miamala katika vifaa au majukwaa ya mtandaoni Taarifa hizi zinaweza kutumika kufuatilia vitu anavyofanya na...
  7. sky soldier

    Kuna maisha halisi ya mtaani na ya mtandaoni, tunakuja mitandaoni kujipooza tu, Mtandaoni hakuna masikini, usiyumbishwe

    Inabidi sasa tukubaliane na uhalisia, kwa sababu ndio ukweli uliopo sasa hivi ya kwamba tunaishi katika kizazi ambacho watu wana maisha ya aina 2. Kuna maisha halisi ya mtaani na maisha ya mtandaoni. - Unaweza kuwa mtu wa kawaida sana mtaani ila huku mitandaoni unaheshimika - Unaweza kuwa huna...
  8. S

    Baada ya matokeo, Nyalandu azushiwa mtandaoni kutaka kuhamia ACT-Wazaleno. Mwenyewe akana, na zaidi kampongeza Lissu

    FAKE FAKE FAKE!!! Haya sio maneno yangu na hiyo ni account FAKE! Imeandikwa, Usimshuhudie jirani yako uongo-Lazaro Nyalandu on twitter Ampongeza Lissu: PONGEZI SANA kaka Mh.Tundu Lissu kwa USHINDI wa KISHINDO ulioupata BARAZA KUU CHADEMA kuwa Mgombea Urais kupitia Chama Chetu. Nakupongeza kwa...
  9. Kurzweil

    Uchambuzi: Kanuni Mpya za Maudhui ya Mtandaoni 2020, Marufuku ya Maudhui yaongezeka

    Julai 17, 2020, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilichapisha mabadiliko ya Kanuni za Maudhui Mtandaoni kwenye gazeti la Serikali kupitia gazeti Na.29 Toleo la 101. Mabadiliko hayo ambayo yalitolewa kupitia notisi Na. 538 yanabadilisha baadhi ya Kanuni za Maudhui Mtandaoni za mwaka 2018 na...
  10. n00b

    Kanuni mpya za Maudhui ya Mtandaoni: Wenye 'channel' na tovuti za dini nao kusajiliwa

    Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (EPOCA), Namba 3 ya mwaka 2010 inamruhusu Waziri kuleta Kanuni za kusimamia maudhui ya mtandaoni. Waziri mwenye dhamana ya Mawasiliano amesitisha matumizi ya Kanuni za Maudhui ya Mtandaoni Namba 133 ya mwaka 2018 zilizochapishwa mwaka mnamo Machi...
  11. Kijana Jr

    Nahitaji kununua Fluke 15b+ mtandaoni

    Habari za humu, Naaaam kijana kama kijana yani Mimi kama Mimi nahitaji kununua bidhaa hii Kwa njia ya mtandao je kipi chakuzingatia
  12. J

    Njia ambazo mtu anaweza kutengeneza pesa mtandaoni bila mtaji

    Vijana wengi tumekuwa wavivu na waoga hasa linapokuja suala lautafutaji watu wengi wanaamini kufanikiwa kupitia njia za ndugu zao au walizotumia jamaa zao Kuna kitu nataka nikushauri kijana mwenzangu japo kwa uchache tu. Binadamu tumeletwa duniani ili tuishi na tufurahie maisha lakini huwezi...
  13. jastertz

    Hivi unatambua kuwa hizi ni ajira kubwa sana mtandaoni kwa sasa?

    Hivi unatambua kuwa hizi ni ajira kubwa sana mtandaoni kwa sasa? Authors, trainers, motivators, consultants, councillors, inspirers, and teachers in any field. Kama una uwezo au ujuzi katika Mambo haya uwanja ni wako. Cha msingi ni kujiboresha na kutafuta connection kubwa ya watu...
  14. Mzukulu

    Nini kimepelekea Panya Mjanja wa Mtandaoni Kiboko ya Paka Mbishi wa Magogoni kutoweka ghafla?

    Tulishazoea kila mara kumuona Panya Mjanja wa Mtandaoni ambaye kiukweli ameweza Kumhenya na Kumnyima kabisa Usingizi Paka Mbishi wa Magogoni pamoja na kutumia Mbinu zake za kila aina Kumnasa. Hata hivyo Sisi wapenda Kuwafuatilia hawa Maadui wakubwa wawili tumeshikwa na butwaa kuona tangia tarehe...
  15. M

    Ulishawahi kukutana na mwanamke/mwanaume mtandaoni akaku-prove wrong kinyume na matarajio kabla ya kuonana live?

    Baada ya kujikita kusoma sana nyuzi za watu na mimi leo naandika uzi wangu. Miaka mitano huko nyuma nilikuwa na tabia ya kutumia ukurasa wangu wa facebook kushare mambo yanayohusiana na utaalamu wa fani yangu, na watu wengi wakawa wanachangia maoni Siku moja nikapokea text messenger kutoka kwa...
  16. Nafaka

    SEO writing, kazi inayolipa sana mtandaoni

    Ushawahi kujiuliza kwanini ukigoogle kitu inakuwaje kuna tovuti zinatokea juu na nyingine chini. Yani mfano unaweza kugoogle coronavirus, ikakwambia kuna majibu billion tatu sasa inakuaje kuna tovuti zinatokea page ya kwanza na nyingine page za huko mbele? Ni wazi kuwa watu wengi husoma majibu...
  17. Influenza

    Idris Sultan akamatwa na Polisi, anahojiwa na Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

    Mchekeshaji huyo mwenye miaka 27 anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay Jijini Dar na anahojiwa katika Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni Anashikiliwa baada ya kuwasili Kituoni hapo kufuatia wito wa Polisi na inadaiwa atahamishiwa Polisi Makao Makuu Oktoba 2019, alikamatwa kwa kuhariri...
  18. Cannabis

    RC Makonda: Idadi ya maambukizi imepungua Dar, kuna watu walinunua majeneza na kupiga picha ili kuzua taharuki

    Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda amesema hali katika mkoa huo inaendelea vizuri na anachofahamu ni kuwa wamemuomba Mungu na kila mmoja ameendelea kuchukua tahadhari Amesema “Kila mmoja ameweka jitihada kuhakikisha amevaa barakoa, kwenye daladala tumehakikisha watu wanapeana nafasi, watu...
  19. M

    Athari za kuweka picha za watoto wako mtandaoni

    Matukio ya matumizi mabaya ya picha za watu mtandaoni yanaongezeka siku hata siku: Picha ya askari iliyochukuliwa katika mitandao ya kijamii ilitumika kumlaghai mwanamke mmoja huko Uingereza akatoa fedha zake nyingi na kuibiwa. Bloga mmoja alikuta picha ya familia yake inatumiwa kwenye tangazo...
  20. Influenza

    Mwanza: Mwandishi wa Habari, Albert Sengo Kizimbani akishtakiwa kutoa maudhui mtandaoni bila ya kuwa na leseni

    Mwandishi wa habari, Ndg. Albert Sengo leo Aprili 23, 2020 amefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza na kushtakiwa kwa kosa la kutoa maudhui mtandaoni bila ya kuwa na leseni kinyume na Kanuni ya 14(1, 2) na 18: Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (Maudhui Mtandaoni) za...
Back
Top Bottom