Katikati na mwishoni mwa awamu ya JPM
1: Ninashangaa kuona mtaani watu wanajenga nyumba hadi wanahamia bila kupumzika.
2: Jamaa wamefungua mahardware,maduka ya madawa, salooni kali, Bucha, Bar, carwash na nyumba za kulala wageni.
3: Vituo vya bodaboda viwili vikubwa ambavyo miaka mitatu...