mtaani

  1. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Jicho ndani ya habari: Waandishi wa habari hawajawatendea haki wananchi kwa kutochambua bajeti kuanzia bungeni hadi mtaani, wamjadili Mbowe

    Bajeti za Afrika Mashariki zilisomwa kwa pamoja siku ya Alhamisi lakini magazeti na vyombo vya habari vya Tanzania havijajadili bajeti ya mtanzania bali kuanzia bungeni hadi mtaani mjadala ukuwa wa mbowe na masihala na mjadala wa bajeti unaohusi maisha ya watanzania ukawekwa kapuni. Kwa nchi za...
  2. WilsonKaisary

    JamiiForums Tanzania Ukiona mtaani Gari zimeandikwa katika Plate Number kama ifuatavyo usiumize kichwa

    1. Namba za Magari Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu Namba za magari yanayitumika kumbeba Rais au Makamu wa Rais na Waziri Mkuu haziandikwi namba wale herufi katika kibao chake, bali huwa na nembo ya taifa ya Bwana na Bibi. Kwa Kiingereza magari haya hufahamika kama State Cars. 2. Spika wa...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Ndoto yangu usiku wa leo: Wale ndege aina ya "njiwa' walitolewa kama zawadi ili kuwaziba midomo waliopewa huko katika Bara fulani la mbali

    Usiku wa kuamkia leo nimeota kuwa kuna mfalme mmoja katika nchi ambayo jina limenitoka, katoa zawadi ya njiwa wazuri kwa watu mashuhuru katika sherehe aliyoiandaa kwa yeye kutimiza miaka kadhaa ya kuzaliwa (Birthday). Nilijiuliza sana maana ya ile ndoto na baada ya kutafakari kwa kina...
  4. Stroke

    JamiiForums Tanzania Yanayoendelea mtaani kwetu

    Huu mtaa naupenda sana maana huwa haukosi amsha amsha. Jirani yangu hapa ni mstaafu basi ukiamka tu kwenda kupambana huko utakuta kakaa nje ya uzio wa nyumba yake, basi lazima akusimamishe muongee ataishia kukubomu tip kwa ajili ya kwenda kwa mangi ili "aamke". Ukishamalizana tu na mstaafu...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Fikirisho suala Tito Magoti: Je, kwanini tulimtoa mzungu Afrika?

    Tito Magoti anatakiwa aje mtaani ajenge Taifa lake...Inaumiza sana.. Moyo unauma sana nikiwafikiria wafrika wenzetu ambao walipoteza maisha ili mzungu aondoke . Africa tulimuondoa mkoloni lengo siyo kumuondoa mzungu kwakua alikuwa na sura mbaya No. Nadhani babu zetu waliaamini tukimtoa Mzungu...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Naomba mrejesho wa upatikanaji wa sukari mtaani kwako!

    Je, mtaani kwako sukari inapatikana? Kama inapatikana bei elekezi inazingatiwa? Una maoni gani mengine kuhusu sukari. Nategemea kuonana na waziri wa biashara soon so nilitaka nimpelekee hoja hii maana wengi mlilalamika hapa kwamba mmeacha kunywa chai na wengine mkadai sasa mnaamkia mbege na...
  7. Mtini

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure utakaokusaidia: Ukiona watu wanapigana mtaani pita kando, kushangaa shangaa unaweza kubambikiwa kesi ya mauaji

    Nina mifano mitatu ya kweli kabisa: 1. Nimewahi kuingia gerezani kwa usiku mmoja, huko nilikutana na mtu mmoja aliyepewa kesi ya mauaji kwa sababu hii. Alikuwa anapita njia akakuta jamaa kadhaa wanampiga mtu, akabaki hapo kama mshangaaji. Siku kadhaa zikapita aliyepigwa akafariki, polisi...
  8. G

    JamiiForums Tanzania Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

    Hapa naandika kwa majonzi kwa kusikia jinsi Watanzania wenzetu wanavyougua Corona na wengine kupoteza maisha. Poleni nyote. Kinachoumiza zaidi ni namna baadhi yetu tunavyoteteana hata kunapokuwa na uzembe kwenye hatua zinazochukuliwa kutulinda na Corona. Kuna wanaosema Nahodha wetu ni shujaa...
  9. Namora

    JamiiForums Tanzania Mtaani kwenu kuna Tahadhari dhidi ya CoronaViruses?

    .
  10. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kujua kama mganga aliye hamia mtaani kwenu ni mganga kweli au magumashi

    1. Angalia kama mganga huyo ana miliki property yoyote which is capable of being stolen .. eg bodaboda, mifugo mikubwa etc. Lazima watu wengine pia wawe Wana fahamu kuhusu Mali hiyo ya mganga. Kwamba bodaboda inayo endeshwa na Jamaa fulani ni Mali ya huyo Bwana Mganga. 2. Nenda kaibe.hiyo...
  11. toplemon

    JamiiForums Tanzania Bei ya sukari yaanza kupaa na bei ya unga yazidi kuongezeka

    Jamani bei ya sukari imeanza kupanda sasa kilo ni 3200 huku bei ya unga nayo ikipanda sana hadi 2100 kwa kilo Sukari ni baada ya serikali kupiga marufuku kuingiza sukari kutoka nje? Nashindwa kuelewa kwanini bidhaa nyeti kama sukari izuiwe kutoka nje kwa maneno eti wanalinda viwanda vya ndani...
  12. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hali ya Mapenzi imeimarika mtaani baada ya Covid-19

    Habari wana JFs MMU. Hali si siri tena. Mambo yamebadilika ghafla. Twaweza kusema asante corona! Japo imekuja na mabalaa ya kuugua na baadhi ya vifo huko duniani na Leo Tz R.I.P Issa H. Mtibwa( kama sijakosea jina). Pamoja na madhara hayo kwa upande mwingine Corona imekuja na matokeo chanya...
  13. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Mfalme Mzee Yusuph amethibitisha kurudi kwenye taarabu

    Hatimaye mfalme wa taarabu Alhaji Mzee Yusuph ametangaza rasmi ujio wake kwa mara nyingine kwenye muziki wa taarabu. Kwa kifupi tangu mfalme akae nje ya muziki wa taarabu , muziki wa taarabu ulikosa radha kabisa maana waimbaji waliobaki wanapiga piga kelele tu cha maana wanachokiimba hakuna...
  14. C

    JamiiForums Tanzania OMBI: Serikali idhibiti bei kwenye vifaa vya kujikinga na kupambana dhidi ya Virusi vya Corona

    Tatizo kubwa hapa nchini ni kwamba pale inapotokea janga, mlipuko wa ugonjwa basi wafanya biashara hutumia nafasi hiyo kujinufaisha. Kuna vifaa kama hand sanitizer, medical face masks vimekuwa katika uhitaji mkubwa sana kwa ajili ya kujikinga na virusi vya corona. Serikali kupitia waziri wa...
  15. OLS

    JamiiForums Tanzania Wafungwa wakitumika kulipa madeni ya magereza, walioko mtaani wataajiriwa vipi?

    Leo nimesoma gazeti la HabariLeo, limeandika 'MKUU wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi ametoa wito kwa Jeshi la Magereza Iringa kuruhusu wafungwa wake kuchimba mitaro ya miradi ya maji inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (Iruwasa) ili kupunguza deni la zaidi ya Sh milioni 300...
  16. the kind

    JamiiForums Tanzania Mwizi aliekamatwa na vyandarua na kuiba baadhi ya dawa zahanati ya Kerenge yuko mtaani kwa dhamana na kesi bado iko Polisi

    Idara ya afya mlione hili, mwizi ambae alikamatwa na wananchi wa kata ya Kerenge kitongoji cha kilole wilaya Korogwe ambae alikutwa na vyandarua vya zahanati ya Kerenge ambayo ni Zahanati ya serikali yuko huru kwa dhamana na kesi haipelekwi mahakamani tangia tarehe 29/11/2019 mpaka leo hii...
  17. F

    JamiiForums Tanzania Ukitaka polisi waje mtaani kwako haraka kama kuna tukio

    MKITAKA POLISI WAWAHI KWENYE TUKIO MTAANI AU KIJIJINI KWENU; WAAMBIENI CHADEMA HAWA HAPA WANATAKA KUFANYA MKUTANO TUKIO likitokea huku Mtaani kwetu Siku hizi, huwa hatupati shida kupata msaada wa haraka kutoka Polisi, ni fasta tu wanatia timu eneo husika. Wakishuka tu kwenye Gari wanaanza...
  18. J

    JamiiForums Tanzania Vituko mtaani kila ukihoji watu wanauliza una Digrii ngapi?

    Wadau,Tanzania kwenu! natumaini hapo ulipo ni kwema, giza likizidi kushika kasi nakutana na watu wanabishana alafu kila mmoja anakomaa yeye anajua, basi ikafuatia muda nasikikia "kwani wewe una jiwe(degree)ngapi?" Nimebaki nastaajabu sana. Ngoja nikapate kahawa kwanza maana nasikia baadhi ya...
  19. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nikioa mke wangu ataongea na nani hapa mtaani?

    Katika mtaa niliyo bahatika kujenga banda langu la kuishi nime-"wachapa" mno wanawake. Si wake za watu, si mabinti za watu wala mabeki tatu, wote nimeburuza Kila anayejibebisha anapata bakora anaondoka. Mtaani kwangu nimebatizwa jina la la utani naitwa "Mashine" Sasa naona kilomita zimesonga...
  20. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Chagua CHADEMA upate Demokrasia na maendeleo Mtaani kwako

Back
Top Bottom