Kaguta kashasema Facebook ifungiwe UgandaNa mitandao watafungia.
Happy New Year digba sowey💣💥Unajua maana ya chama cha mseven,?NRM= National Resistance Movement
Tatizo Museveni hatakiwi na waganda wakiwemo hata wanajeshi aliowapa magari , waganda wanajua kwamba Museveni kishazeeka na kibaya zaidi afya yake ya akili haiko sawa ikiwemo na ugonjwa mbaya wa BPHUchaguzi huu hautakuwa HURU wala wa HAKI 7 tena kwa dikteta M7
Sasa tetesi mpaka ikufikie wewe Tanzania ujuwe hayo ni matangopori.Museveni kwisha habari yake , kuna tetesi hao wanajeshi watamgeuka
Tatizo Museveni hatakiwi na waganda wakiwemo hata wanajeshi aliowapa magari , waganda wanajua kwamba Museveni kishazeeka na kibaya zaidi afya yake ya akili haiko sawa ikiwemo na ugonjwa mbaya wa BPH
Kilichotokea Tanzania ndio kinakwenda kutokea Uganda, ushindi wa kimbunga.Safari hii hatuitaji wakimbizi bk Kama moja ya mikoa yetu, mseven tumemlea Kama nchi ,but KWA Sasa akubali hawezi shinda Uchaguzi mY be KWA mtutu wa bunduki,and he will pay
Walishafunga wanatumia vpnNa mitandao watafungia.
Hatuwezi endeleaUbinafsi unaturudisha nyuma sana. Yaani tumbo la mtu mmoja anaona ni muhimu kuliko watu mamilioni! masikini tunaenda nasi huko Mungu tusaidie