msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Tunaenda kuomba msaada kwa nchi ambazo Mawaziri wanatumia treni

    Tanzania ni nchi ambayo msemaji wa chama anatembea na msafara! Magari ya milioni 400 kwa gari moja. Tunaenda kuomba msaada na kodi za wazungu kwa nchi ambazo mawaziri hawana misafara na wanapanda treni na watu wa kawaida. Tanzania kuna mpaka walindaji wa kufungua milango tu🤔 Yote haya...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Natoka sana jasho na kidole gumba kinawaka moto

    Wana Jamii Forum nawasalimu sana wote, wakubwa kwa wadogo. Nina shida ya Afya!. Naombeni msaada; Juzi Jumapili iliyopita, mafua yalinianza na kwa kuwa huwa inanishikaga nikadhani kawaida tu lakini cha kushangaza ni kwamba nilianza kukohoa kikohozi kikali japo sio kavu na nilienda Hospital...
  3. desmond3076

    JamiiForums Tanzania Msaada TV yangu aina ya singsung, nchi 25 inawaka kidogo inajizima

    Inaonyesha after five minutes inazima ghafla na kujiweka katika standby mode, naomba msaada shida ni nini? Zoezi hili limekuwa endelevu, nikiizima wiki nzima inaweza onyesha vizuri kama Haina shida, nilimuita fundi ikamshinda, shida ni nini? Naomba msaada nafahamu wanajamvi mnaweza nipa...
  4. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Sikia kisa cha Binti huyu, Jinsi kinavyosikitisha! Anahitaji Msaada wako na jamii kwa ujumla kukaa sawa. Je, tumsaidiaje?

    Maisha ni fumbo kubwa sana, hayo sio maneno yangu bali ni ya binti huyu mwenye umri wa miaka 35 kwa Sasa,. Binti huyu Ambaye ni yatima muda wake mwingi Anapandisha na kushusha na barabara za Kijijini Kwao pasipokuwa na mwelekeo Wowote Huku akionge Mwenyewe. Kisa kinaanza hivi. Baada ya...
  5. captain 21

    JamiiForums Tanzania Msaada: Hivi portal ya Taesa bado iko active au ilishakufa?

    Mambo vipi wakuu? poleni na majukumu. Naomba kuuliza mwenye kufahamu, hivi portal ya Taesa bado iko active au ilishakufa? Maana kwenye siku za hivi karibuni nimejaribu sana kufungua account lakini system inagoma...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wadau, Mtoto mdogo wa mwaka mmoja amekatazwa vyakula, ana allergy sasa

    Mtoto mdogo wa mwaka mmoja amekatazwa ana allergy sasa Samaki Maziwa ya unga na ng'ombe Karanga Dagaa Soya maharagwe Korosho Vyakula vyenye rangirangi Uji wa lishe Sasa wakuu huyu anapewa vyakula gani? Apate protini
  7. SuperHb

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa mtu aliyeunguzwa na mafuta ya dawa za nywele

    -Habari za majukumu? Kuna mtu anahitaji msaada wa nini cha kufanya -Alipaka Dawa ZA kuweka waves kwenye nywele(Movit relaxer), Kwa Bahati mbaya kuna maeneo ya kichwa chalet ni kama yameungua. Kila Muda anatokwa na majimaji kichwani na kupelekea vidonda kama anaoza Hivi, anapata maumivu ya...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Msaada Rice cooker ipi nzuri yenye uwezo wa kupika mchele kilo moja na nusu?

    Wadau kwema? Aisee hii wiki ya pili sasa kila nikijaribu kupika wali nachemka. Mara siku nyingine napatia mara siku nyingine kinatoka kiini. Leo kimetoka kiini nimekumbuka nilipokuwa chuo pale udsm niliwahi kuwa natumia rice cooker kwenye umeme wa bure wa mabibo hostel. Nahitaji rice cooker...
  9. G

    JamiiForums Tanzania Seneti ya Marekani yapitisha msaada wa trilioni 152 Ukraine, Trilioni 35 Israel, Trilioni 22 Palestina, Trilioni 12 Taiwan

    $60 billion Ukraine $14 billion for Israel $9 billion Gaza + West bank $4.83 billion Taiwan --- Senate gives $60 billion for Ukraine, $14 billion for Israel, $9 billion in humanitarian assistance for Gaza and nearly $5 billion for the Indo-Pacific. Meanwhile Biden is putting veterans behind...
  10. Webabu

    JamiiForums Tanzania Seneti ya Marekani yapitisha msaada wa dola Bilioni 9 kwa Israel na Ukraine. Wengine watishwa wasiisaidie Hamas hata senti

    Baada ya kikao cha usiku kucha baraza la seneti limekubali na kupitisha msaada mkubwa wa dola karibu bilioni 100 kwa nchi mbili marafiki ambazo ziko vitani. Sehemu ya msaada huo itakwenda Israel ambayo imeshaua karibu wapalestina 28000 na nyengine kwa Ukraine inayopigana na Urusi. ===========...
  11. E

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Ramani ya Nyumba

    Habari. Nina shida na Ramani ya nyumba yenye sifa zifuatazo -Vyumba viwili vya kulala, kimoja master -Sitting room -Public toilet -Jiko Naomba kuwasilisha
  12. Yofav

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahitaji kujifunza udereva na kupata cheti pamoja na leseni kwa ujumla

    Habari wakuu, Kama heading inavyoeleza hapo juu, Naomba kwa mwenye experience na masuala haya ya mafuzo ya udereva yanavyokwenda anishauri ni Driving school gani niende ili kupata elimu ya mafunzo ya kuendesha Magari japo haya mdogo kwanza lakini muhimu nijipatie cheti... Ningeomba kujua pia...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Msaada, macho yamekosa nguvu ya kuona mbali baada ya kutumia Dawa kutibu Red eyes

    Jamani niliugua kitu kinafanana na red eyes,, mishipa ikion jua ikawa inauma sana. Nikaenda hapa Bugando polyclini near Mwanza nikapimwa nikapewa daw ya maji..nimetumia ika wa unafuu ikawa hakuna. Baadaye nikapewa dwa za maumivu nikameza ikawa Ile Hali ya maumivu ya misuri ikawa imeisha. Lakini...
  14. dist111

    JamiiForums Tanzania Msaada Tutani: Nahitaji Paving grid

    Habari Wataalamu, Naomba contacts za kiwanda cha kutengeneza paving grids, Hizi ni badala ya pavements na zinafaa Sana sehemu yenye majimaji au udongo unaokaa na maji, Zitasaidia kuondoa usumbufu kwa sehemu ninapokaa, mwenye contacts anisaidie, Nikiziangalia ni rahisi kutengenezeka, lakini...
  15. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Msaada Kitochi cha Tigo, kimestack on logo

    Wakuu kama title inavyojieleza nina kitochi hapa huwa kinanisevu sana ku hotspot PC na simu yangu muda mwingine, sasa kinaboot kinaishia kwenye logo. Nahitaji msaada namna ya kukiflash, hii ni mara ya pili kinarudia hili, mara ya kwanza kilitokea nikakipeleka kwenye Tigo shop yao Dodoma...
  16. Webabu

    JamiiForums Tanzania Mayowe ya watu wa Gaza ambayo watu wameziba masikio kuyasikiliza. Waomba msaada kwa mmoja tu

    Vita vinaingia mwezi wa tano. Wapalestina wa Gaza wamepiga makelele sana na hawakupata msaada wanaostahiki. Sasa ni mayowe tu kutoka kila eneo mfano wa yale mayowe ya watu waliovamiwa na majambazi wenye silaha usiku. Mayowe sasa hivi yanatokea Rafaha mpakani na Misri. Upande wa nyuma kuna...
  17. vumiliag

    JamiiForums Tanzania Nichukue gari ipi kati ya Toyota Voltz, Harrier, Rav 4 old na Premio?

    Habari zenu wakuu Nmejichanga changa nikapata milion 12 za kuvuta kausafiri, nategemea kuvuta kutoka mkononi mwa mtu. Sina hela yakuongezea kuagiza gari mpya sina uwezo huo. ili niondokane na kero za usafiri wetu wa Dar es Salaam wa daladala. Naomba mnishauri kati ya gari hizi ipi itanifaa...
  18. D

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kukopi text katika Website ndani Android

    Habari wakuu Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyouliza. Kuna website nikifungua kupitia simu yangu naweza kukopi text lakini Kuna website zingine siwezi kukopi. Nafahamu baadhi ya website wanafunga usiweze kukopi text. Kwenye PC upande wangu naweza kukopi hata Kwa website zilizozuia kukopi...
  19. Tanki

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye tuta: Nawezaje kucheza game ya kwenye simu yangu kupitia smart tv yangu

    Wakuu, Nina Smart tv hapa inch 32 ( Alitop ). Naomba kuelekezwa jinsi ya ku-connect simu na tv Ili nicheze game kwenye simu ila display ionyeshe kwenye tv. NOTE: Tv ni Alitop , simu ni Infinix hot 20i
  20. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Mzungu aomba msaada wa kurudi kwao baada ya kufulia akitanua na mdada wa Kenya

    Sasa sijui huyu jamaa ni tapeli au ni mkweli. Anasema alikuja Kenya november mwaka jana kukutana na huyo mdada wa Kenya Eti wamespend nae pesa sana hadi zimekata na mdada nae amemkimbia baada ya kufulia. Anaomba msaada ili aweze kurudi kwao Ireland...
Back
Top Bottom