Msaada anayeifahamu Indeed

KatetiMQ

Senior Member
Sep 25, 2022
180
311
Habari zenu ndugu zangu Mimi ni kijana wa miaka 23 na nimekua na matamanio ya kufika ng'ambo (ughaibuni) kwa muda mrefu Sana kwa sababu ya kupambana na hali ya kiuchumi (umasikini) Sasa katika pita pita zangu online nikakutana na jamaa mmoja anazungumzia website moja inaitwa Indeed na hii websites ni mtandao wa nje ambao watu huutumia kutafuta kazi kwa sababu Kuna kazi nyingi huwa zinapostiwa

Na zingine anasema zina visa sponsorship kwa wale wanaotokea nji za mbali na kazi husika ilipo naombeni msaada kwa anayeifahamu hii Indeed vizuri Kama ana kitu chochote anachokifahamu ili tuwe makini wakati tunajiingiza humo maana elimu ni bahari naomba kuwasilisha

Picsart_24-03-26_14-50-09-478.jpg
 
Habari zenu ndugu zangu Mimi ni kijana wa miaka 23 na nimekua na matamanio ya kufika ng'ambo (ughaibuni) kwa muda mrefu Sana kwa sababu ya kupambana na hali ya kiuchumi (umasikini) Sasa katika pita pita zangu online nikakutana na jamaa mmoja anazungumzia website moja inaitwa Indeed na hii websites ni mtandao wa nje ambao watu huutumia kutafuta kazi kwa sababu Kuna kazi nyingi huwa zinapostiwa

Na zingine anasema zina visa sponsorship kwa wale wanaotokea nji za mbali na kazi husika ilipo naombeni msaada kwa anayeifahamu hii Indeed vizuri Kama ana kitu chochote anachokifahamu ili tuwe makini wakati tunajiingiza humo maana elimu ni bahari naomba kuwasilisha

View attachment 2945160
Baadae watataka wewe ndo uwape hela kwanzà, kama wewe unataka kuwa boss wao wape hela.
 
Umenena vizuri lakn vijana changamoto nyingi kuliko unavyodhani
• Asilimia 90% wazamiaji wameishia
1- kupigwa Bastora za kichwa.
2- kuwa machokara, kulala kwenye majalala.
3. Usitegemee ukienda huko, kuna mtu atakupa support.(utakumbuka hata viporo vya ugali huku Tz.


Alafu kingine...
. Nikiangalia nauli ya kwenda huko si chini ya 350,000/-
. 350,000/- ni mtaji mkubwa sana, ukiweka ubaro-baro Pembeni..
 
• Asilimia 90% wazamiaji wameishia
1- kupigwa Bastora za kichwa.
2- kuwa machokara, kulala kwenye majalala.
3. Usitegemee ukienda huko, kuna mtu atakupa support.(utakumbuka hata viporo vya ugali huku Tz.


Alafu kingine...
. Nikiangalia nauli ya kwenda huko si chini ya 350,000/-
. 350,000/- ni mtaji mkubwa sana, ukiweka ubaro-baro Pembeni..
Nimekuelewa kaka
 
• Asilimia 90% wazamiaji wameishia
1- kupigwa Bastora za kichwa.
2- kuwa machokara, kulala kwenye majalala.
3. Usitegemee ukienda huko, kuna mtu atakupa support.(utakumbuka hata viporo vya ugali huku Tz.


Alafu kingine...
. Nikiangalia nauli ya kwenda huko si chini ya 350,000/-
. 350,000/- ni mtaji mkubwa sana, ukiweka ubaro-baro Pembeni..

Hii 90% unayoizungumzia ni kwa chanzo gani, utafiti gani na wa lini?
2-Nchi gani huko Ughaibuni kuna Machokoraa Watanzania?
3-Hapa ni kweli, kujipanga lazima.
Kuhusu Nauli ya Tshs. 350,000. Hii ni kwenda wapi?
 
Back
Top Bottom