Yofav
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 3,962
- 6,891
Habari wakuu,
Kuna ajira fulani nilikuwapo nafanya miaka minne nyuma ambapo niliifanya kama 4 yrs nikaiacha bila utaratibu maalumu maana nilipata Safari ya ghafla nikaona mambo yasiwe mengi.
Sasa leo katika kupekua pekua ID's zangu nimekutana na Card ile ya NSSF na nikakumbuka hawa jamaa walinikakatakata sana vihela vyangu
Sasa nahitaji kujuzwa na wale wanaojua haya masuala kwamba hapa naanzia wapi kufuatilia vichenchi vyangu au ndo sipati kitu kwenye ile saving?
Kuna ajira fulani nilikuwapo nafanya miaka minne nyuma ambapo niliifanya kama 4 yrs nikaiacha bila utaratibu maalumu maana nilipata Safari ya ghafla nikaona mambo yasiwe mengi.
Sasa leo katika kupekua pekua ID's zangu nimekutana na Card ile ya NSSF na nikakumbuka hawa jamaa walinikakatakata sana vihela vyangu
Sasa nahitaji kujuzwa na wale wanaojua haya masuala kwamba hapa naanzia wapi kufuatilia vichenchi vyangu au ndo sipati kitu kwenye ile saving?