Habari wakuu,
Kama kichwa kinavyoeleza naomba msaada kwa yeyote anayeijua App ya kuvuta sauti kwa mfano upo kwenye mkutano mwishoni na hakuna spika yaani mkutano hawatumii redio, so we ukifungua hio App inavuta sauti na utaisikia vizuri.
Nawasilisha.
Kama kichwa kinavyoeleza naomba msaada kwa yeyote anayeijua App ya kuvuta sauti kwa mfano upo kwenye mkutano mwishoni na hakuna spika yaani mkutano hawatumii redio, so we ukifungua hio App inavuta sauti na utaisikia vizuri.
Nawasilisha.