Habari wana Jf.
Mimi n Mwanaume mwenye miaka 30, Nipo kwenye ndoa takriban 4yrs. Ndan ya hyo miaka sijabahitika kupata mtoto, nikahamasika kwenda hospital kupata vipimo na mke wngu ndipo ika gunduliko mm ndio mwenye shida nikiwa na tatizo la low sperm count.
Kwa takriban 2yrs nahangaika na hili...
Kama kichwa kinavyoeleza ninapoishi tumevamiwa na kundi la nzi Kama nyuki kwenye mzinga!Wanakuja mchana,jioni na hata usiku!Wanafikia nje ukifungua tu mlango wanaingia ndani.
Nimejaribu baadhi ya dawa haziwaui wote!Ajabu kila wanapogusa wanaacha alama ya madoa meusi meusi!Nasubiria muda muafaka...
Samahani kama kichwa cha habari hakijatulia.Naomba mwongozo wa nini kifanyike au nimshauri rafiki yangu whatspp namba yake ime be hacked na aliyemhak sasa ana access magroup yote ambayo jamaa yupo na anamtoa na kuleta usumbufu
Habari za kazi wanandugu. Kazi iendelee ila irekebishwe kidogo maana tozo na ugaidi vimezidi.
Twende kwenye mada.
Mimi nina uzoefu kidogo kununua magari kutoka Beforward, kwa mara ya kwnza nilitumia wakala, ya pili nikazama mwenyewe mtandaoni nikachagua ninayotaka process zote za malipo hadi...
Jamani mimi niko na ATM card ya Equity bank, inaonyesha kuwa iko na uwezo wavkufanya malipo kwa VISA .
SWALI LANGU KWA WAZOEFU . Naomba kujulishwa usalama wa akaunti yangu baada ya mm kilipia app au manunuzi yoyote kwenye mitandao maana nimeona wakati wa manunuzi kwe site husika nahitajika...
Marekani imeipatia Serikali ya #Tanzania zaidi ya dozi milioni 1 za chanjo dhidi ya COVID-19, ukiwa ni msaada kupitia mpango wa usambazaji chanjo wa #COVAX kwa uratibu wa Umoja wa Afrika
Upokeaji wa Chanjo hizo umefanyika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere...
Wakuu habari,
Naomba masaada mwenye kujua tiba mbadala au ya kisasa ya masikio kulia kama kengele au miluzi.
Janga hili linanitesa sana nashindwa kusikia vizuri.
Salamu wakuu
Naomba msaada wa kufahamishwa namna ya kurekebisha jina kwenye kitambulisho changu kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii.
Yaani ni kwamba jina langu la kwenye NIDA lile la katikati ni tofauti na lililopo kwenye mfumo wa nssf.
Hayo majina yametofautiana lakini yote ni majina ya baba...
Jamani habarini wapendwa ni hivi juzi Kati hapo nilinunua multimeter aina ya siltron DT 9205A Sasa ninapashida wakati wakupima kiasi cha umeme kutokana na kwamba inaleta short pindi nianzapo kupima nimejaribu kwanza kwenye port ya 20A kwakuwa nimehisi kuwa umeme wa nyumbani huwa unarange 200mA...
Habari Wana jf,
Dogo hapa amepata matokeo ya PCM(C,C,D) respectively na anadivision 1.16 lakini aliomba chuo hawakumpa KIPINDI Cha selection Sasa tumejalibu kuapply.
Je, kwa ufaulu huu katka vyuo vya ufundi(Tech) wanaweza mchukua kwa (Mechanical or Electrical engeering) maana nasikia sasahv...
Ninamdogo Wangu Amemaliza Form six Amesoma CBG lakini Matokeo yake ni kama ifuatavyo
Chem:E
Bios:E
Geog D
Bam:E
Gs:E
Amekosa sifa zakwenda chuo kikuu so inabidi akasome diploma na Muhusika Anapenda kusoma course ya Clinical Medicine so Binafsi sinauelewa juu ya vyuo vya sayansi Naombeni...
Habarini! Hapa naomba msaada nahitaji kusomea software engineering hapo DIT.
Maswali yangu:
1.Je inaitaji kombi gani kwamimi sijasoma chemistry nina physical tu?
2.ufaulu kiasi gani?
3.Je ada yake ikoje kwa mwaka?
4.ninaweza anza na diploma moja kwa moja au mpk certificate.
NAWAKILISHA.
Habari wakuu,
Ngoja nisipoteze muda nahitaji msaada wa pendekezo la course ya kusoma chuo kati ya hizi zifuatazo:
1. BSc. Land management and valuation-Ardhi University
2. BA. Economics-Aru or Udsm
3. BSc. Accounting and Finance
4. Road and railway in logistics(Shipping operational road and...
Habarini wakuu, nauliza bei ya mabati ya msouth kwa bei ya kiwandani.
Kama bei itaambatana na grade number itapendeza zaidi. Pia kwa anayefahamu yanakopatikana kwa hapa Mwanza (nasikia kuna kiwanda cha mabati japo sina uhakika).
Natanguliza shukrani
Hii meseji imekuwa ina pop up kwenye iphone yangu mara kwa mara. Hata sasa hivi nilipokuwa ninaandika hii thread ime pop up tena.
Msaada:
-Madhara yake yapi ikiwa “Trusted” au “Not Trusted”?
-Faida yake yapi ikiwa “Trusted” au “Not Trusted”?
- Jinsi gani ninaweza kutatua ili tatizo?
It is very...
Mwenzenu kila nikisikia neno CCM napata kichefuchefu. Nikiona mtu kavaa nguo za CCM huwa nahisi kutapika. Nikisikia mtu anaongea kwa kuonyesha kuipenda CCM huwa naziba masikio, kama nipo kwenye daladala huwa nashuka kituo kinachofuata hata kama kituo changu cha kushukia hakijafika ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.