Hamna namba za simu kwenye website yao, kama ipo wapigie.Ndugu wanajamvi kwenye account yangu ya Udom admission nataka kuomba third around kwenye Apply online haifunguki,je tatizo hili nikwangu tu,msaada namna ya kusolve hili tatz
Chuo nilipata,ila ningepata Udom angalau ninge surviveAdmission third around yaani wewe chuo ushakosa.
Kijana confirm chuo ulichopata second round lasivyo utakuja juta sana udom hutapata wenzio wa PCB wanawahi CBE asaiv ilimradi asome maisha yaende .Ndugu wanajamvi kwenye account yangu ya Udom admission nataka kuomba third around kwenye Apply online haifunguki,je tatizo hili nikwangu tu,msaada namna ya kusolve hili tatz
Namshangaa snAdmission third around yaani wewe chuo ushakosa.
Nadhani ushaanza kupanic Mkuu jaribu kulogin polepoleNdugu wanajamvi kwenye account yangu ya Udom admission nataka kuomba third around kwenye Apply online haifunguki,je tatizo hili nikwangu tu,msaada namna ya kusolve hili tatz
Nafasi zimejaa unataka uapply nini mzee. Nenda CBE huko na Teofilo UDOM pamejaa.Nadhani ushaanza kupanic Mkuu jaribu kulogin polepole
Nadhani ushaanza kupanic Mkuu jaribu kulogin polepoleNdugu wanajamvi kwenye account yangu ya Udom admission nataka kuomba third around kwenye Apply online haifunguki,je tatizo hili nikwangu tu,msaada namna ya kusolve hili tatz
Nmemwambia apo juuNafasi zimejaa unataka uapply nini mzee. Nenda CBE huko na Teofilo UDOM pamejaa.
Hawezi sababu hana D mbili kwa serikal ila yet aapply private na serikal atapata chuo hongera kwa kufauluMsaada Wakuu. Kuna kijana alipata hivi matokeo ya Form 6 mwaka huu.
History - E
Kiswahili - D
English - E
Division - 3 points 14
Sasa nauliza huyu anaweza kwenda kusoma degree?
Haiwezekan mwambie awai diploma faster kabla akujafungw akabak mtaanMsaada Wakuu. Kuna kijana alipata hivi matokeo ya Form 6 mwaka huu.
History - E
Kiswahili - D
English - E
Division - 3 points 14
Sasa nauliza huyu anaweza kwenda kusoma degree?
Chuo anapata ila private ,usimkatish tamaaHaiwezekan mwambie awai diploma faster kabla akujafungw akabak mtaan
Hahaha Mkuu !??Haiwezekan mwambie awai diploma faster kabla akujafungw akabak mtaan
Bro haiwezekan 100% sure qualifications zinapangw na TCU sio na chuo angepat Kama angekua na either C and E au D and D lakin kwa apo akuna degree inayo chukua E and DChuo anapata ila private ,usimkatish tamaa