msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Msaada sehemu ya kujifunza ufundi Kilimanjaro

    Kama kuna fundi au mtu anayefahamu sehemu ninayoweza jifunza ufundi radio, TV, pasi (electronics), tofauti na VETA coz veta hawana evening class msaada please Kilimanjaro
  2. hp4510

    Msaada wa ushauri wa masega

    Gari yangu ni Toyota Kluger, Kuna siku ilileta shida nikapeleka gereji pale kariakoo Kuanzia hapo imeanza kuwa na mlio mbaya, haina nguvu, na consumption ya mafuta imekuwa juu Sana Sasa nikaambiwa masega yameibwa ndio maana Iko hivyo Sasa swali langu Kwa wataalam, Hivi vibuyu ninavyoviona...
  3. M

    Msaada anayejua tiba ya flatulence/ tumbo kujaa gesi

    Jamani anayejua tiba ya tumbo kujaa gesi naomba anisaidie
  4. R

    Anayejua swift code ya NMB Bank naomba msaada.

    Habari wakuu Nahitaji swift code ya benki ya NMB .Inasomeka NMIBTZTZ. Hiyo character ya tatu ni namba 1 au ni herufi I ? Napiga namba zao za customer care hakuna option ya kuongea na mhudumu!
  5. Kelela

    Msaada: Naomba kujua chuo cha udereva wa pikipiki na kupata leseni

    Habari wana JF, Naomba kujulishwa mambo yafuatayo kwa wanaofahamu. 1. Chuo kinachotoa mafunzo ya udereva wa pikipiki Dar es salaam (Specifically wilaya ya Temeke). 2. Jinsi ya Kupata Leseni ya Kuendesha Pikipiki na Gharama zake. 3. Jinsi ya Kubadili Plate number kutoka Nyeupe kuwa njano...
  6. D

    Jamani inawezekana vipi nikachaguliwa chuo ambacho sikukiomba

    Jamani inawezekana vipi nikachaguliwa chuo ambacho sikukiomba Yan nilichaguliwa chuo Cha Kampala dirisha la kwanza na mimi sijawahi kukuomba hiki chuo niliomba udsm ,ardh na mzumbe lakini sikuchaguliwa. Nilirudia dirisha la pili tena ndo nasubilia matokeo Sasa Leo napigiwa na chuo Cha Kampala...
  7. luangalila

    Msaada wa Kampuni za Mabasi zinazo kwenda Shinyanga kutokea Dsm

    Wadau kwemaa ? Naomabmsaada kujua kampuni za mabasi zinazo kwenda Shinyanga kutokea Dsm. Basi quality na Mwendo Mwendo mzuri, naomba msaada wadau mnijuze.
  8. NetMaster

    Ni kitu gani ulikifanya kwa kutumia nguvu nyingi, muda mrefu au kuomba msaada usaidiwe kabla hujagundua mbinu rahisi ya kukifanya kwa wepesi

    Kwa muda mrefu sana nimekuwa naweza kunyoosha mashati na makoti lakini linapokuja suala la kunyoosha suruali za vitambaa na kadeti ilinitesa sana kwakweli, nilikuwa naotea otea tu mpaka kuna muda narudia mara tatu kunyoosha suruali moja. Yaani kulinganisha tu upanga wa suruali ilikuwa mtihani...
  9. Felixtz

    Msaada wa Nguo za dukani (readymade)

    Habali zenu wanajf, ni matumaini yangu mpo salama kwa kudra zake Mwenyez Mungu, nami ni mzima wa afya Alhamdullilahi. Poleni na majukumu ya kila siku katika kutafuta riziki. Mimi nipo Mwanza karibu na stendi ya Buzuruga, nina mtaji wa milioni 2.5, sasa wazo langu la biashara ilikua ni kuuza...
  10. thee kid

    Nisome kozi Gani kati ya hizi nitakazozi orodhesha hapa chini?

    Habarini wakuu, poleni na majukumu mbalimbali yanayowakabili. Samahanini nimeandika Uzi huu kuomba ushauri nahitaji kwenda kuongeza elimu ya vitendo kidogo katika vyuo vya VETA infact kwa sasa hivi Mimi ni mhitimu wa shahada ya Manunuzi na ugavi kutoka chuo fulani hapa nchini. Nilkuwa...
  11. APPROXIMATELY

    Ndugu zangu, naombeni msaada kwa hili...

    Habari za humu ndani wana Jamiii Forums? Niende moja kwa moja kwenye mada husika, nina jamaa yangu anaomba apewe ushauri kwa hili, ame ishi na mwanamke toka 2018 kipindi chote hicho amebahatika kupata watoto wawili, ameishi naye mda wote huo hata hakuwahi kujitambulisha kwa ndugu zake maana...
  12. Brown Mduma

    Msaada Kuhusu ufugaji wa kuku wa mayai

    Wakuu mwenye kujua changamoto za ufugaji wa kuku wa Mayai na namna kuzikwepa anipe muongozo kidogo kwasababu kuna jamaa mmoja alinisimulia juu juu tu kuhusu ufugaji huo akidai nikiwa na kuku 300 niweza pata hadi trey 18 kwa siku kuku wa kishaanza kutaga sasa kwa upande wangu nimeona ni fursa...
  13. Myahudi Jr II

    Watabe wa Physics naombeni msaada haya maswali chap chap, sijiamini na majibu

    Note: Swali la 3 nishagugo nikapata
  14. Burnaboy

    Msaada ninunue sm gani kama upgrade ya Oppo A93?

    Solved
  15. S

    Kati ya Gender Development na Social Development ipi ni kozi nzuri kusoma

    Habari zenu wakuu Jaman naomba msaada kozi gani nzuri ya kusomea kati ya gender and development na management of social development Na vipi kwenye upande wa kujiajiri au kuajiriwa je ipi ni makertable? Asanteni
  16. Chomo

    MSAADA: Nahitaji ushauri ni friji aina ipi bora kati hii HISENSE au BRUHM

    Wakuu salaam, Nahitaji kununua friji kwa bei ya hizi zetu watu wa hali ya kawaida,sasa ktk pita zangu nimeona angalau HISENSE na BRUHM ni bora kidg kulingana na pesa niliyonayo naomba ushaur je ipi ni bora kati izo ya izo mbili hapo je zile za condeser nje yaan nyuma ya friji na zile...
  17. J

    Wakuu naomba msaada kwa anaejua jinsi ya kufungua website na kulipia domain

    Wakuu naomba msaada kwa anaejua jinsi ya kufungua website na kulipia domain. Hela ya vocha ipo
  18. Saa 7 mchana

    Msaada wa kuscrape instagram account.

    naweka dau kwa mtaalam atakaye weza kunisaidia kuscrape followers katika account yenye followers 51k kama unaweza tupatane PM kwa mazungumzo ya kina. Asante:
  19. WIMICKY

    Msaada: Moderm inajidisconnect

    Habari wakuu naomba msaada kwa anayeweza elewa tatizo la moderm kujidisconnect yaani nikiweka inafanya kutoa kamlio kanakoashilia inaconnect na kujidisconnect. Hata kusoma kwenye window haionyeshi kama imesoma nimejaribu kubadili window ila bado shida nimechukua mordem nyingine na kuijaribu...
  20. msaranga1

    Msaada format ya username kwa Non Necta apllicant HESLB

    Mwenye kujua format ya username kwa non-necta applicant wa mkopo bodi ya mikopo elimu ya juu anisaidie tafadhali, mfano format ya necta applicant ni S0143.0078.1990. Je ya Non Necta ikoje?
Back
Top Bottom