Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 177
Wakuu habari zenu na poleni na harakati za kupambana na maisha,
Naombeni msaada wenu kwa wale wazoefu katika sekta ya ujenzi kuhusu mabati ya Kiboko. Jana nimeenda kwa wakala nimekuta yanauzwa 27,000 bati moja la msouth 30G na Alaf wanauza 37,000pc 30G difference ya Tshs. 10,000 nikahoji kuhusu ubora wa chapa kiboko muuzaji akaniambia ni mazuri sana na hayapauki na watu wengi sana wamenunua kutoka maeneo mbalimbali na hawajawahi kurudi kwake kulalamika kuhusu kupauka.
Naombeni ushauri wenu tutani nisije kuingia chaka nikatamani kung'oa paa huko mbeleni.
Naombeni msaada wenu kwa wale wazoefu katika sekta ya ujenzi kuhusu mabati ya Kiboko. Jana nimeenda kwa wakala nimekuta yanauzwa 27,000 bati moja la msouth 30G na Alaf wanauza 37,000pc 30G difference ya Tshs. 10,000 nikahoji kuhusu ubora wa chapa kiboko muuzaji akaniambia ni mazuri sana na hayapauki na watu wengi sana wamenunua kutoka maeneo mbalimbali na hawajawahi kurudi kwake kulalamika kuhusu kupauka.
Naombeni ushauri wenu tutani nisije kuingia chaka nikatamani kung'oa paa huko mbeleni.