Nahitaji msaada wenu kuhusu Mkopo wa Elimu ya Juu

alex001

Member
Nov 23, 2022
20
10
Mimi nimemaliza kidato cha Sita mwaka huu na nimechaguliwa chuo cha st. Francis course ya MD Lakini sikubahatika kupata mkopo wa Ada maana nimepewa boom peke yake na kutokana na Ada ya chuo hiki kuwa juu hivyo bado sijaripoti chuoni na sijasajiljwa

Je, nifanye nini ili kufuta admission na niwe mwanfunz huru ili niweze kuapply chuo kingine tofauti na hicho mwakani.?

Je, vipi kuhusu mkopo nitapewa niki apply tena mwakani.??
 
Usiporipoti chuo ina maana hutosajiliwa na usiposajiliwa ina maana hutambuliki kama ni mwanafunzi wa hapo, kwahiyo wewe usiporipoti chuo hutotambulika kama ni mwanafunzi wa hapo
 
Ila ni bora ungeripoti chuo kisha uappeal kuliko kuacha uombe mwakani hujui mwakani hali ya mkopo itakuwaje, inaweza ikawa mbaya zaidi
 
Mimi nimemaliza kidato cha Sita mwaka huu na nimechaguliwa chuo cha st. Francis course ya MD Lakini sikubahatika kupata mkopo wa Ada maana nimepewa boom peke yake na kutokana na Ada ya chuo hiki kuwa juu hivyo bado sijaripoti chuoni na sijasajiljwa

Je, nifanye nini ili kufuta admission na niwe mwanfunz huru ili niweze kuapply chuo kingine tofauti na hicho mwakani.?

Je, vipi kuhusu mkopo nitapewa niki apply tena mwakani.??
Kwani hujaapeal
 
Mimi nimemaliza kidato cha Sita mwaka huu na nimechaguliwa chuo cha st. Francis course ya MD Lakini sikubahatika kupata mkopo wa Ada maana nimepewa boom peke yake na kutokana na Ada ya chuo hiki kuwa juu hivyo bado sijaripoti chuoni na sijasajiljwa

Je, nifanye nini ili kufuta admission na niwe mwanfunz huru ili niweze kuapply chuo kingine tofauti na hicho mwakani.?

Je, vipi kuhusu mkopo nitapewa niki apply tena mwakani.??
Hapo ulipo ni mwanafunz,i huru haina haja ya kufuta admission na mwakani ukiomba tena unaweza ukapewa pia ila ningekushauri mwakani utafute fomu za udhamini, yaani ionekane wewe huko nyuma ulifadhiliwa masomo ama tafuta mtu mwenye tasaf document uattach na maombi yako mwakani ili maombi yako yawe na nguvu.
 
Ila ni bora ungeripoti chuo kisha uappeal kuliko kuacha uombe mwakani hujui mwakani hali ya mkopo itakuwaje, inaweza ikawa mbaya zaidi
tatizo ni uchumi maana ili nisajiliwe chuoni ni lazma nilipe Ada nusu pamoja na direct cost zote na ukizingatia heslb kwenye kipengele cha Ada hawajanipa chochote
 
Kwani hujaapeal

Hapo ulipo ni mwanafunz,i huru haina haja ya kufuta admission na mwakani ukiomba tena unaweza ukapewa pia ila ningekushauri mwakani utafute fomu za udhamini, yaani ionekane wewe huko nyuma ulifadhiliwa masomo ama tafuta mtu mwenye tasaf document uattach na maombi yako mwakani ili maombi yako yawe na nguvu.
Sawa mkuu nitajitahidi nifanye hivyo
 
Back
Top Bottom