Msaada wa battery ya Nokia 2.1

Agera 1

JF-Expert Member
Jun 5, 2014
4,080
4,184
Za asubuhi wakuu


Naulizia kwa hapa bongo wapi nitapata battery ya simu tajwa

Naipenda huwa kanatunza chaji Sana toka 2019 mwanzoni Hadi Sasa . Week ya pili Sasa nasikia harufu Kama ya lithium battery karibu na port ya kuchajia simu na naona Kama self discharge Ni kubwa Sana ..an average of 5%/h

Matumizi full charge to 30% sio zaidi ya 5hrs ( screen on Ni 90% ya hayo masaa ) kifupi muda mwingi kioo kinawaka inatumika


Naona Kama imeanza vimba ukiangalia ncha ya kava la ku protect battery

Msaada nitapata wapi Hilo battery
 
Back
Top Bottom