Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,500
- 9,279
Gertrude Ngoma (26) amefungua kesi akidai kupotezewa muda na kuchoka kusubiri kuolewa na Herbert Salaliki ambaye wamekuwa kwenye Uhusiano wa kimapenzi kwa miaka 8
Getrude amelalamika pamoja kuwa na mtoto na Salaliki lakini bado alikuwa anaishi na wazazi wake badala ya kuungana na mumewe.
"Mheshimiwa, hajawahi kuwa 'serious' ndio maana nimemleta mahakamani kwa sababu ninastahili kujua mbele na future yangu nae.
Katika utetezi wake, Salaliki aliiambia mahakama kuwa angelipenda kumuoa Getrude lakini hana pesa ya kufanya hivyo. Pia aliiambia mahakama kwamba hakukuwa na mawasiliano baina yao kwa sababu mpenzi wake Getrude hajawahi kumpa 'attention'
=========
WOMAN of Mushili in Ndola has sued a man she was engaged to for reconciliation after complaining that he had taken eight years without marrying her.
Gertrude Ngoma, 26, bought the matter before Kabushi Local Court accusing Herbert Salaliki, 28, of taking long to marry her despite promising to do so.
Ngoma complained that she had a child with Salaliki but she was still living with her parents instead of joining her husband.
She told the court that the two had never stayed together despite dowry being paid.
โYour honour, he has never been serious that is why I bought him to court because I deserve to know the way forward and my future with him,โ she said.
Ngoma also told the court that Salaliki was involved with another woman whom he exchanged texts with.
In defence, Salaliki told the court that he wanted to marry Ngoma but had no money to do so.
He also told the court that there was no communication between the two because, Ngoma, never gave him attention.
Presiding magistrate Evelyn Nalwize advised the woman to sue for breach of marriage contract and further advised her that the court could not do anything because there was no marriage though dowry was paid.
She said reconciliation is for people in marriage.
(Source: Sunday Times of Zambia)
Getrude amelalamika pamoja kuwa na mtoto na Salaliki lakini bado alikuwa anaishi na wazazi wake badala ya kuungana na mumewe.
"Mheshimiwa, hajawahi kuwa 'serious' ndio maana nimemleta mahakamani kwa sababu ninastahili kujua mbele na future yangu nae.
Katika utetezi wake, Salaliki aliiambia mahakama kuwa angelipenda kumuoa Getrude lakini hana pesa ya kufanya hivyo. Pia aliiambia mahakama kwamba hakukuwa na mawasiliano baina yao kwa sababu mpenzi wake Getrude hajawahi kumpa 'attention'
=========
WOMAN of Mushili in Ndola has sued a man she was engaged to for reconciliation after complaining that he had taken eight years without marrying her.
Gertrude Ngoma, 26, bought the matter before Kabushi Local Court accusing Herbert Salaliki, 28, of taking long to marry her despite promising to do so.
Ngoma complained that she had a child with Salaliki but she was still living with her parents instead of joining her husband.
She told the court that the two had never stayed together despite dowry being paid.
โYour honour, he has never been serious that is why I bought him to court because I deserve to know the way forward and my future with him,โ she said.
Ngoma also told the court that Salaliki was involved with another woman whom he exchanged texts with.
In defence, Salaliki told the court that he wanted to marry Ngoma but had no money to do so.
He also told the court that there was no communication between the two because, Ngoma, never gave him attention.
Presiding magistrate Evelyn Nalwize advised the woman to sue for breach of marriage contract and further advised her that the court could not do anything because there was no marriage though dowry was paid.
She said reconciliation is for people in marriage.
(Source: Sunday Times of Zambia)