EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Mimi sihangaiki na mwizi wangu maana huenda amedanganywa kwamba manzi yangu ipo singo, namuanzishia mpenzi wangu na kumfungashia virago kuanzia dakika hio
NB: Kama mwizi wangu ni mshkaji ua jamaa anayejua nina uhusiano na huyo manzi hapo patawaka moto kwa wote wawili.
We tuambie utapambana na nani kama ukifuania uhusiano wa nje wa mpenzi wako??
Uzi yatari
wale wazee wa kuwahi siti andaeni viti msome comments
NB: Kama mwizi wangu ni mshkaji ua jamaa anayejua nina uhusiano na huyo manzi hapo patawaka moto kwa wote wawili.
We tuambie utapambana na nani kama ukifuania uhusiano wa nje wa mpenzi wako??
Uzi yatari
wale wazee wa kuwahi siti andaeni viti msome comments