Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,920
- 14,819
Mlalamikaji: Money Penny bwana huku kwenye ndoa yangu changa kuna shida mno
Tumefunga harusi mwezi uliopita, Eti mume kagoma kuzama chumvini kwasababu yeye ana cheo kazini NI Boss kubwa
mimi namwuliza kuzama chumvini na cheo kazini kinaingiliaje hataki kusema
Money Penny: haya mambo kwanini hamkuongelea kabla hamjaoana?!
mlalamikaji: kusema ukweli tangu tuoane tulizini mara moja Tu ambayo wiki iliofuata tulifunga ndoa
Money Penny: anti mlipo du alikutoa Bikra au wote mlikuwa mmekubuhu
mlalamikaji: sote tulikuwa tushabikiriwa zamani
Money Penny: samahani WADAU huku JF, wale Wana Yanga na Wana Simba Naombeni mumshauri anti mlalamikaji 🚶🚶🚶🚶
Tumefunga harusi mwezi uliopita, Eti mume kagoma kuzama chumvini kwasababu yeye ana cheo kazini NI Boss kubwa
mimi namwuliza kuzama chumvini na cheo kazini kinaingiliaje hataki kusema
Money Penny: haya mambo kwanini hamkuongelea kabla hamjaoana?!
mlalamikaji: kusema ukweli tangu tuoane tulizini mara moja Tu ambayo wiki iliofuata tulifunga ndoa
Money Penny: anti mlipo du alikutoa Bikra au wote mlikuwa mmekubuhu
mlalamikaji: sote tulikuwa tushabikiriwa zamani
Money Penny: samahani WADAU huku JF, wale Wana Yanga na Wana Simba Naombeni mumshauri anti mlalamikaji 🚶🚶🚶🚶