mitandao ya kijamii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Utafiti usio rasmi kuhusu mitandao ya kijamii na watumiaji wake

    UTAFITI USIORASMI; KUHUSU MITANDAO YA KIJAMII NA WATUMIAJI WAKE TANZANIA Kwa Mkono wa, Robert Heriel Leo nitaleta kautafiti kadogo nililokafanya ambako sio rasmi. Mitandao ya kijamii Kwa hapa Nchini ambayo ni Maarufu ni Facebook, Instagram, WhatsApp, Jamii forum, Twitter's, Tiktok, ambayo hii...
  2. Sam Gidori

    Ongezeko la Watumiaji wa Mitandao ya Kijamii Tanzania ni fursa kibiashara

    Mitandao ya kijamii imekuwa nyenzo muhimu ya biashara katika karne ya 21 hasa kutokana na urahisi wa kufanya biashara na kuongezeka kwa fursa ukilinganisha na biashara nje ya mitandao. Zaidi ya nusu ya watu bilioni 7.8 duniani wanatumia mtandao wa intaneti, ambapo kwa jicho la kibiashara, hiyo...
  3. L

    Usimamizi na matumizi bora ya mitandao ya kijamii vitaleta manufaa zaidi kwa jamii

    Wakati dunia inaadhimisha siku ya mitandao ya kijamii, kumekuwa na maswali mengi kuhusu matumizi na matokeo yake kwa jamii. Kuna wanaoona mitandao ya kijamii imekuwa na manufaa sekta nyingi kama habari, biashara, sanaa na fedha, kuna wengine wanaona kuwa imeleta janga na changamoto nyingi, hasa...
  4. Roving Journalist

    Kanusho la kuwepo kwa Mayai ya Kuku kutoka nje ya Nchi yaliyosababisha kushuka kwa bei ya Mayai Nchini

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Dodoma, Juni 17, 2021 A: UVUMI KUHUSU TAARIFA ZINAZOZUNGUKA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII (SOCIAL MEDIA) JUU YA UWEPO WA MAYAI YA KUKU KUTOKA NJE YA NCHI YALIYOSABABISHA KUSHUKA KWA BEI YA MAYAI NCHINI Ndugu waandishi wa Habari, Tarehe 14/06/2021 Wizara ya...
  5. ndenjii handsome

    Fahamu kwamba yanayovuma sana kwenye mitandao ya kijamii hayana ukweli

    Nimekuwa mfuatiliaji sana wa mambo kwa uhalisia wake kwa kipindi kirefu nilichogundua zile taarifa muhimu zinapotolewa kwenye hatua moja na kupelekwa hatua nyingine zimekuwa na chumvi nyingi na sijui wahusika wanafanya haya kwa maana gani. Siku moja nikiwa mkoa fulani likatokea tukio moja hivi...
  6. beth

    Nigeria yazitaka kampuni za Mitandao ya Kijamii kusajiliwa na kupata leseni

    Serikali imesema Kampuni za Mitandao ya Kijamii zinazotaka kuwepo Nchini humo zitalazimika kusajiliwa kama Kampuni ndani ya #Nigeria na kupata Leseni. Imeelezwa, baadhi ya kampuni tayari zimepewa Notisi na haijaelezwa ni lini zoezi la usajili na upataji leseni litamalizika. Serikali imesema...
  7. babu M

    Marekani: Mitandao ya kijamii, tovuti za Serikali na vyombo vya habari zaathiriwa na kukatika kwa mtandao

    Multiple outages hit social media, government and news websites across the globe on Tuesday morning, with some reports pointing to a glitch at U.S.-based cloud computing services provider Fastly. Reuters could not immediately confirm the issue affecting the sites. Fastly said it was...
  8. Youth Worker Tanzania

    Haya ndio ya kuzingatia katika akaunti zako za mitandao ya kijamii

    Wakuu Habari, Nimeona nikushirikishe wewe kijana mwenzangu ambae bado uko Chuo, Mtaani au tayari kwenye suala la Ajira. Ni muhimu kuzingatia ni kwa njia gani unaishirikisha jamii ili tu uweze kutoka sehemu moja kwenda nyingine kimaisha. Mfano mzuri, kama unatafuta kazi kwa njia ya kutuma...
  9. J

    Alipokufa Sokoine hapakuwepo mitandao ya kijamii lakini kuna Wanasiasa wawili walisingiziwa kuhusika. Hii tabia ilianza zamani

    Kwa wale wahenga akina Pascal Mayalla, Mrangi, Mmawia na mzee Mgaya mtakumbuka baada ya aliyekuwa waziri mkuu hayati Sokoine kufa kwa ajali ya gari Morogoro kuna wanasiasa wawili walisingiziwa kuhusika na kifo chake. Wakati ule hapakuwepo mitandao ya kijamii lakini uzushi ule ulisambaa nchi...
  10. Soma Vitabu Tanzania

    Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

    Jukumu letu kubwa ni kuwa bora leo zaidi ya tulivyokuwa jana. Njia pekee ya kuwa bora ni kujifunza kupitia usomaji wa vitabu. Vipo vitabu vya aina nyingi ambavyo vinaweza kukupa maarifa mbalimbali. Lakini vitabu vya maendeleo binafsi (personal development) vinakupa maarifa, mbinu na hamasa ya...
  11. Poppy Hatonn

    Rais Samia awaasa viongozi wa dini, "Simameni tuwapige vita wazandiki katika mitandao ya kijamii"

    "Hawa watu wakifikiria tu vitu vichwani mwao,wanaandika",amesema Mama Samia. Wanamtaka kuwaaminisha mambo mengine ambayo siyo ya kweli. Wanawalinganisha Magufuli na Samia. Kwa nini? Samia na Magufuli ni kitu kimoja. Ni kitu kimoja? We hope not. Kwa sababu hii ni Awamu mpya na wananchi wanataka...
  12. J

    CAG aongea na waandishi wa habari - Aprili 8, 2021

    CAG Kicheere anaongea na waandishi wa habari muda huu. Updates; ======== CAG: NILIBAINI WAKALA NNE ZA SERIKALI ZILIKUWA ZINADAIWA BILIONI 783.39 TANROADS ilikuwa na deni kubwa lenye thamani ya bilioni 770.1 kutoka kwa wakandarasi na wahandisi washauri kutokana na kuchelewa kupata fedha za...
  13. Stroke

    Nashauri Rais awekwe mbali au apunguziwe access na mitandao ya kijamii

    Kwa mtazamo wangu ili kumuwezesha kufanya maamuzi akiwa na fikra huru wampunguzie access au kumuweka mbali na mitandao ya kijamii. Lisipofanyika hilo utendaji wake utaathirika pakubwa kwani maamuzi yake yanaweza athiriwa na opinions za watu ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza zisiwe...
  14. B

    TCRA; Rais anatumia mitandao ya kijamii kuwasiliana na wananchi. Kuendelea kuzuia mitandao ni kimhujumu yeye na sisi wananchi

    Mhe. Rais anatumia akaunti zake za mitandao ikiwemo Twitter kuweka video na maelekezo mbalimbali kwa ajili ya wananchi hasa wale ambao hawakupata muda kumsilikiza live. Ili tupate taarifa hizi lazima mitandao iwe inafanya kazi la sivyo Kama mitandao itaendelea kuzimwa Mhe. Rais hatoweza kutimuza...
  15. Jackal

    Trump kurejea katika mitandao ya kijamii na mtandao wake mwenyewe

    President Donald J. Trump gives a fist bump to the press. (Official White House Photo by Tia Dufour) Former President Donald Trump is planning to launch his own social media platform within the next few months, one of the 45th president’s senior advisors told Fox News Sunday. “I do think...
  16. Chagu wa Malunde

    Kama kweli huwa mnaibiwa kura, mnadhani kulalamika kwenye mitandao ya kijamii ndio suluhu?

    Kila baada ya uchaguzi mkuu imekuwa ni jambo la kawaida kusikia wapinzani wa wakilalamika kuwa wameibiwa kura. Jambo ambalo W anaCCM huwa wanakanusha. Lakini hiki kilio cha wizi wa kura ni cha muda mrefu. Mwaka 1995 mtifuano mkali kati ya mgombea uraisa wa NCCR Mageuzi na CCM ulisababisha...
  17. Sam Gidori

    India kutunga sheria kubana zaidi mitandao ya kijamii baada ya kutunishiana misuli na Twitter

    Baada ya msuguano baina ya serikali na mtandao wa Twitter kufuatia maandamano ya wanaharakati wanaotaka mageuzi ya kilimo kuhusu kuondolewa kwa maudhui yanayodaiwa kupotosha na kuhatarisha usalama wa taifa, serikali ya India sasa inatunga mswada utakaolazimisha mitandao ya kijamii kukubaliana na...
  18. S

    Corona imethibitisha nguvu ya mitandao ya kijamii nchini

    Wakati serikali imekuwa ikisisitiza kuwa Corona haipo nchini, Wananchi wamekuwa wakitumia mitandao ya kijamii kuelezana hali ilivyo juu ya ugonjwa huu na imefika hatua hata Kanisa Katoliki limeshituka na kutoa tamko la kutahadharisha jamii juu ya uwepo wa ugonjwa huu. Hali hii inadhihirisha...
  19. J

    Watu watatu wahukuiwa kifo kwa kumkashifu Mtume Muhammad kwenye mitandao ya kijamii

    Watu watatu wamehukumiwa adhabu ya kifo kwa kumkashifu mtume Muhammad kwenye mitandao ya kijamii. Kitendo hicho ni kufuru kwa mujibu wa Katiba ya Pakistan na adhabu take ni kifo. ======== Pakistan court sentences three to death for blasphemy Fourth accused, a college teacher, sentenced to...
  20. Dr. Wansegamila

    Matokeo ya utafiti kuhusu madai ya wanawake wa Kitanzania kujiuza katika mitandao ya kijamii

    Wakuu salama? Kuanzia mwezi Septemba mwaka huu, niliongoza utafiti usio rasmi juu ya madai ya mabinti wa Kitanzania kujiuza kwenye mitandao ya kijamii ya Badoo, Tinder na Hitwe. Maswali ya utafiti (Research questions): 1. Je, ni kweli kuwa mabinti wa Kitanzania walio katika mitandao ya Badoo...
Back
Top Bottom